Vinícius Jr awapiku Ronaldinho na Kaká

Vinícius Jr awapiku Ronaldinho na Kaká

Kwa mpira gani alionao wa kumfikisha hatuna ya 32 Bora? Au umekariri drool ya bahati nasibu aliyopata dhidi ya Spain basi unajiaminisha kwamba soccer wanaliweza?
Kati ya mimi na wewe ni nani aliyekariri?

Kama mtu mwenyewe unaamini issue za "Bahati nasibu" kwenye soka sidhani kama una uwezo wa kujadili soka na mimi,

Kwahiyo walifikaje WC? Au ndio walitumia hiyo bahati nasibu unayoiamini wewe sio?
 
Kati ya mimi na wewe ni nani aliyekariri?

Kama mtu mwenyewe unaamini issue za "Bahati nasibu" kwenye soka sidhani kama una uwezo wa kujadili soka na mimi,

Kwahiyo walifikaje WC? Au ndio walitumia hiyo bahati nasibu unayoiamini wewe sio?
Hata mm nawaza swali kama lako, imekuwaje timu mbovu kama capo Verde kushiriki kombe la dunia? Hata hivyo safari Yao ipo ukingoni na itaanza kuhitimishwa na kichapo kutoka Kwa Uruguay
 
nilimanisha ilikua ngumu Ronaldinho kufunga magoli mengi wakati Ronaldo delima yupo (namba9)

Na kazi ya gaucho haikua kufunga kufunga ilikua panapolazimika
Soka la zamani lilikuwa la burudani na ushindani mzuri. Timu za taifa kama Brazil, German, France, Italy, Greece, Portugal n.k zilikuwa na vipaji haswa.

Sasa hivi vipaji vinahesabika saana, average player kama Dembele eti ndiye mchezaji bora wa dunia!!!!!!
 
Hata mm nawaza swali kama lako, imekuwaje timu mbovu kama capo Verde kushiriki kombe la dunia? Hata hivyo safari Yao ipo ukingoni na itaanza kuhitimishwa na kichapo kutoka Kwa Uruguay
WApi nimesema kua;

"nawaza imekuaje timu mbovu kama cape verde kushiriki kombe la Dunia?"

Unaiita timu mbovu kwa matokea gani?

Hata mechi yao na Spain wapo waliosema Cape verde watafungwa nyingi,

Kusema watafungwa na Uruguay huo ni utabiri tu,ni sawa na wale wanaobeti,hiyo ni wishful result.
 
Kati ya mimi na wewe ni nani aliyekariri?

Kama mtu mwenyewe unaamini issue za "Bahati nasibu" kwenye soka sidhani kama una uwezo wa kujadili soka na mimi,

Kwahiyo walifikaje WC? Au ndio walitumia hiyo bahati nasibu unayoiamini wewe sio?
Hao Cape Verde wamebania nafasi ya Nigeria tu.
 
Soka la zamani lilikuwa la burudani na ushindani mzuri. Timu za taifa kama Brazil, German, France, Italy, Greece, Portugal n.k zilikuwa na vipaji haswa.

Sasa hivi vipaji vinahesabika saana, average player kama Dembele eti ndiye mchezaji bora wa dunia!!!!!!
Hiyo ya Dembele imeniuma na imagine eti anapewa nafasi tena ya kuchukua kwa mara ya pili.
 
Vinícius Jr ameendelea kuandika historia yake taratibu ndani ya kikosi cha Brazil baada ya kuweka rekodi mpya kwenye World Cup kufuatia ushindi wa Brazil dhidi ya Haiti June 19, 2026 (Friday)

Kupitia mechi hiyo, Vinícius sasa amefikisha mabao 4 kwenye World Cup na hivyo kumpita Ronaldinho ambaye alimaliza career yake ya World Cup akiwa na mabao 3.

Lakini si hilo pekee;
Nyota huyo wa Brazil sasa pia amefikisha goal contributions 9 kwenye World Cup:
Mabao 4
Assists 5
Hii inamaanisha kuwa tayari amempita Kaká ambaye alihusika kwenye mabao 8 pekee katika historia yake ya World Cup:
Mabao 5
Assists 3

Rekodi hizi zinaonyesha namna Vinícius anavyozidi kuwa sehemu muhimu ndani ya mfumo wa Brazil kwenye mashindano makubwa huku akiwa bado kijana mdogo.
Mpira wa zamani ni mastreika tu ndio walikua wana jukumu la kufunga. Wanaocheza namba zingine kufunga ilikua ziada tu. Kwahiyo tunakosea kuwafananisha na wachezaji wa sasa kwa kigezo cha namba. Kusema Vini kampiku Gaucho ni matusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom