Sijutii kupata D katika somo la Kiswahili mtihani wa kidato cha 4 miaka hiyo ya Kapuya. Mkuu naomba ufafanuzi kidogo hapo kwenye BOLD maana yake ni nini? na utofauti wake na King'amuzi ni nini?Maana hivi karibuni nimekuwa nalisikia sana hili neno lakini silielewi maana yake
Hii ndio kwakizungu inaitwa DECODER, wewe utakuwa unajua kingámuzi lakini kiswahili fasaha ni kisimbusi
Bora Aisee maana hawa jamaa wanachukua channel za bure hewani(Free to Air) wao wanatuuzia kwa bei kuuuuubwa, Mungu afanye wepesi wenye haraka katika kufanikisha hili092013
KAMPUNI YA SSB KUPITIA AZAM WANATARAJIA KULETA KING'AMUZI KIPYA NA CHA BEI POA AMBACHO KITAUZWA TSHS 30,000 NA MALIPO YAKE KWA MWEZI NI TSHS 2000. Kwasasa nasikia kipo kwenye majaribio kwa baadhi‎![]()
Miaka 50 ya Muungano kuna Mtanganyika yoyote aliyevuna MALI ZNZ na Pemba kama BAHRESA alivyovuna Bara?
Miaka 50 ya Muungano kuna Mtanganyika yoyote aliyevuna MALI ZNZ na Pemba kama BAHRESA alivyovuna Bara?
092013
[h=3][/h]
KAMPUNI YA SSB KUPITIA AZAM WANATARAJIA KULETA KING'AMUZI KIPYA NA CHA BEI POA AMBACHO KITAUZWA TSHS 30,000 NA MALIPO YAKE KWA MWEZI NI TSHS 2000. Kwasasa nasikia kipo kwenye majaribio kwa baadhi‎![]()
wivu haulipi shemeji.
Unasema ni Mkombozi, kwa taarifa yako huyu ni bepari amekuja kukumaliza. Kama anatengeneza CHAPATI na sasa hivi akina mama majumbani wamekosa soko kwa sababu ya bidhaa zao kuingiliwa na AZAM kwa AZAM CHAPATI, AZAM TUI LA NAZI huyu anakusaidie wewe Mtanzania au anakuua???
Vitu vingine serikali imemwachia mno familia masikini zimezidi kudidimia kwa sababu yake. Kila kitu anataka yeye, jamani kuwe na breki wengine watafanya nini sasa??? UCHOYO HUO!!!
Unasema ni Mkombozi, kwa taarifa yako huyu ni bepari amekuja kukumaliza. Kama anatengeneza CHAPATI na sasa hivi akina mama majumbani wamekosa soko kwa sababu ya bidhaa zao kuingiliwa na AZAM kwa AZAM CHAPATI, AZAM TUI LA NAZI huyu anakusaidie wewe Mtanzania au anakuua???
Vitu vingine serikali imemwachia mno familia masikini zimezidi kudidimia kwa sababu yake. Kila kitu anataka yeye, jamani kuwe na breki wengine watafanya nini sasa??? UCHOYO HUO!!!