Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
watu wanafanya bakhresa kama vile ni serikli wamesahau kwamba na yeyey ni mfanyabiiasharakuna watu ata ni kero kwa kweli,huyu anayepinga hili la mzee bakhresa ni mpuuzi no moja
watu wanafanya bakhresa kama vile ni serikli wamesahau kwamba na yeyey ni mfanyabiiasharakuna watu ata ni kero kwa kweli,huyu anayepinga hili la mzee bakhresa ni mpuuzi no moja
092013
[h=3][/h]
KAMPUNI YA SSB KUPITIA AZAM WANATARAJIA KULETA KING'AMUZI KIPYA NA CHA BEI POA AMBACHO KITAUZWA TSHS 30,000 NA MALIPO YAKE KWA MWEZI NI TSHS 2000. Kwasasa nasikia kipo kwenye majaribio kwa baadhi‎![]()
Ni habari njema lakini pia itategemea ataweka channel gani.
KIKUBWA ALETE CH ZA MUVI ZA MAANA LIGI ZA ULAYA NA DOCUMENTARY cartoon kwa ajili ya watoto Chanel 4 zadin ya islamic na 4 za dini ya kristo Atateka xoko
USHAURI wangu kwa vile anatumia dish arushe Na HD.
Wengi tutaachana Na DSTV Na hizi channel za wababaishaji
Mimi nitakuwa wa kwanza kuachana na DSTV wametunyonya vya kutosha,kuna wengine wanarusha ligi zote ni ya Kutoka Dubai ada ya kujisajili mpaka wanamaliza kukufungia ni sh.500,000 baada ya hapo unalipa dola 120 kwa mwaka mzima tofauti na DSTV ambao wanakamua sh.120,000 kila mwezi.ukienda city centre,Arusha,Klimanjaro hakuna anayeijua DSTV zaidi ya hiyo channel ligi zote Duniani unaziona,hawa jamaa wapo kariakoo karibu na opp.na kariakoo sokoni wanauza mbaya tuwaunge mkono tuachane na DSTV ambao hata local chanel ambazo zinatakiwa zionekane free wamegomea hata serikali kuzionyesha.Chonde chonde AZAM tuwekee tuweze kuangalia chanel zote za michezo tumkimbie DSTV
Mkuu na mimi nilitaka kuuliza hili swali! Wadau tusaidieni jamani ule mpango wa mabasi 300 ya kwenda mikoani umeishia wapi au zilikuwa ni stori tu za kilingeni?
Atajaza chaneli za dini yake na labda za michezo
Usitarajie Emmanuel tv and the like
Nkt!
Kuna habari kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.
Kna channel 100+
Wafanyakazi wake anatulipa 150,000 kwa mwezi wakati mengi anawalipa wafagiaji 400,000!
inaingia sokoni siku gan