Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Ha ha aa kama ndivyo basi safi. Sema kuna wakati zilivuma habari kuwa bakhresa angekuja na mtandao wa simu uitwao mycell.Mpaka leo kupo kimya.Nawasiwasi pia na hili.

...Kulikuwa na taarifa nyingine pia kuwa Mzee wetu alikuwa analeta Magari kuanzisha Kampuni ya Usafirishaji wa Abiria, Sijui amefikia wapi katika hilo???
 
Are you serious? kweli mbongo ukimwalika hata maji atakunya katoni nzima!

mkuu hivi ungekuwa wewe ungekunywa zaid ya hizo kwa jins zilivo unlimited na alinipa katon 3 za kunywa home.
 
mkuu hivi ungekuwa wewe ungekunywa zaid ya hizo kwa jins zilivo unlimited na alinipa katon 3 za kunywa home.

Hahahaaaa, noumer! Hizo malt unameza 13 mzee tumbo lako hilo?
 
Najua 2 lazma ataintrojuz televishn yake mpya NGANO Tv ila jamaa mbunif xana naamn kama watanzania tungekuwa hv 2ngekuwa high. ila naomb acje akaanzsh chama cha siasa maana mpaka mtt wa miaka 12(vijoti) watashrk kwenye kampen zake
 
Isije ikawa ni kwa ajili ya kuonyesha unga na biscut!

pouwa tu chamsingi ushindani uongezeke ili hawa wanaoshikiliwa na sirikali wajue kuwa watanzania tunaweza.Watajuta kweli.
 
Najua 2 lazma ataintrojuz televishn yake mpya NGANO Tv ila jamaa mbunif xana naamn kama watanzania tungekuwa hv 2ngekuwa high. ila naomb acje akaanzsh chama cha siasa maana mpaka mtt wa miaka 12(vijoti) watashrk kwenye kampen zake
hivi shule mnafungua lini vile?
 
Safi, nami nitaleta changu, sijui wateja mtakuwepo!
 
bora anawekeza tz kuliko wale walioficha pesa benki za kigeni
 
Kuna habari kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye habari zaidi atujuze.
Huyu mtu ni makini sana ktk biashara atasaidia sana kuondoa huu ikiritimba uliopo!
 
Ha ha aa kama ndivyo basi safi. Sema kuna wakati zilivuma habari kuwa bakhresa angekuja na mtandao wa simu uitwao mycell.Mpaka leo kupo kimya.Nawasiwasi pia na hili.
Mycell ni ya Manji na leseni toka TCRA anayo sijui kwanini hajaanza operation.
 
Mimi nilikuwa nafahamu kuwa wanazindua kituo cha televison hivi karibuni (AZAM TV).
Inawezekana kabisa katika kuendana na teknolojia mpya (kidigitali zaidi) wakaamua kuja na kisimbusi chao, nadhani chaneli nyingi zaidi zitakuwa za kimichezo (sports & entertainment) kitu ambacho naamini kitakuwa ahueni kwa wapenda michezo nchini.


Sijutii kupata D katika somo la Kiswahili mtihani wa kidato cha 4 miaka hiyo ya Kapuya. Mkuu naomba ufafanuzi kidogo hapo kwenye BOLD maana yake ni nini? na utofauti wake na King'amuzi ni nini?Maana hivi karibuni nimekuwa nalisikia sana hili neno lakini silielewi maana yake
 
eeh bana eeh itakuwa bonge la king'amuzi, ile mi channel ya uarabuni ya muvi na sports tutaifaudu
 
Back
Top Bottom