Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Source please

Ni habari nliyoipata toka kwa bosi mmoja startimes ambao wametahadharishwa kuwa yamkini wakapigwa sana chini kimasoko kutokana na ujio huo.Hivyo wajiandae na ujio huo.
 
Mimi nilikuwa nafahamu kuwa wanazindua kituo cha televison hivi karibuni (AZAM TV).
Inawezekana kabisa katika kuendana na teknolojia mpya (kidigitali zaidi) wakaamua kuja na kisimbusi chao, nadhani chaneli nyingi zaidi zitakuwa za kimichezo (sports & entertainment) kitu ambacho naamini kitakuwa ahueni kwa wapenda michezo nchini.
 
nilikuwa karibu na meneja masoko alinialika kunywa azam malt juzi pale bandani kwao 7 7 nilisikia hiyo habar wakizungumzia bt mda huo azam malt kama 13 hiv kichwani ngoja niconfirm tena.
 
Mimi nilikuwa nafahamu kuwa wanazindua kituo cha televison hivi karibuni (AZAM TV).
Inawezekana kabisa katika kuendana na teknolojia mpya (kidigitali zaidi) wakaamua kuja na kisimbusi chao, nadhani chaneli nyingi zaidi zitakuwa za kimichezo (sports & entertainment) kitu ambacho naamini kitakuwa ahueni kwa wapenda michezo nchini.

Ha ha aa kama ndivyo basi safi. Sema kuna wakati zilivuma habari kuwa bakhresa angekuja na mtandao wa simu uitwao mycell.Mpaka leo kupo kimya.Nawasiwasi pia na hili.
 
ni kweli yupo kwene mchakato wa kuleta hivo visimbuzi ila suala la bei bado hawajafix na kwa wapenzi wa movie mjiandae kuacha kaz zenu maana kutakuwa na movie na tamthilia za hatareeeee..
 
Kuna habari kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye habari zaidi atujuze.
afadhali maana tunaonewa sana
 
Back
Top Bottom