Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

Kuna habari kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.

Kna channel 100+

habali nilizo zipata kutoka kwa wadau wa kalibu ni kuwa matangazo yataanza OCTOBER na malipo ya mwezi ni tsh 12,500
 
habali nilizo zipata kutoka kwa wadau wa kalibu ni kuwa matangazo yataanza OCTOBER na malipo ya mwezi ni tsh 12,500

kama bei ndo hiyo bora kichelewe tu. Sisi wa mikoa cable kwenda mbele
 
Hii startimes siiipendi, tulipata za kuchakachua za dini na nyingine za kawaida, wenyewe wanazipata bure lakini wakagundua tunaangalia bure wakazufunga,
 
Back
Top Bottom