Vinegaaaass ILI FUNIKAAAA ile mbaayaaa!

shoo ya clouds ilifunika we acha ..












 
7 - 1 ni matokeo tu, picha inaeleza kila kitu.
 
shoo ya clouds ilifunika we acha ..












Tahadhari kwa wana JF wote, huyu aliepost bandiko hili ndio wale VIRUS tunaowascan, hizi picha sio za show ya jana ya clouds, jana Fally Ipupa alikuwa na show Washington DC Marekani.
wasengge kama hawa ni wa kupuuzwa, hakuna mtu yeyote ambaye yuko Dar ambaye hajui aibu waliopata kwa mara ya kwanza Redio ya wafu pale Leaders club, na hata huyo mla unga DMX amewatosa hakuja kwenye show ya kishamba.
 
Asante mkuu.........
 
Kwakweli tamasha lilipooza sana.
 
Faida ya Majaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ndio hiiiiiiiiiiiiiiiiiii kesho majani yakitoka kichwani sijui utamwambiaje mwanao ama utakuwa unamfundisha nn mwanao pindi akiona picha ya mzazi wake kavua ngua hadharani!!

[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…