akina dada wa dizaini hii ni hatari sana kwani wanashawishi wenzao kuenda dhambi muhimu ni kutoa kanuni za kuzuia mavazi mabaya kanisani , nakumbuka kipindi fulani nikiwa mwanza kuna mapadri fulani wa parokia moja ya mjini walikuwa wana watoa nnje wale wote wanaovaa mavazi yasiokuwa ya heshima hata wavulana waliokuwa wanavaa milegezo walitolwa pia.
kanisani ni sehemu ya ibada na ni mahali patakatifu lazima paheshimiwe ni sehemu ya ibada,
ila duh juzi nimemuona na chenge nae alikuwa church tena akishiriki karamu ya bwana kwenye mazishi ya askofu mayala mhhh sijui ningekuwa paroko ningemtoa nduki akatubu kwanza.
kanisani ni sehemu ya ibada na ni mahali patakatifu lazima paheshimiwe ni sehemu ya ibada,
ila duh juzi nimemuona na chenge nae alikuwa church tena akishiriki karamu ya bwana kwenye mazishi ya askofu mayala mhhh sijui ningekuwa paroko ningemtoa nduki akatubu kwanza.