Vimini makanisani

Huwezi kulinganisha ughaibuni na hapa. Wewe ulishawahi kuona watu wantembea na chupi na brazia hapa bongo. Kanisa ni nyumba ya Mungu siyo mahali pa kuvaa nguo za disco. Usiege majuu huko hawanazo.
 
'You all have spiritual problems. Those who truly believe in GOD, have the spirit and power to withstand all the temptations of this world. MATESO, I pray for you that GOD gives you all that you need to defy the temptation triggered by the kind of dresses (skirts) your sisters in Christ put on. Moreover, you need not to take time soliciting views from other people. What you need to do as a Christian is to faithfully go straightforward to them and sincerely tell what you think they need to do as daughters of GOD. I think that's what GOD told us. That is, when you see you relative, friend, or any other person doing things which does not praise the His name, don't hesitate, go and tell him or her but also pray for him/her. However, you need first to pray so that GOD gives you His Holy spirit to guide you in the entire exercise.

GOD blesses you as you prepare to take that step. AMEN.[/QUOTE]

Thanks a lot for your good idea. Keep on praying for me so that I can fulfil well what you have suggested by the help of Almighty Father. May God bless you.
 
Amwangaliaye mwanamke kwa kumtamani tayari ameshazini nae so wewe katubu kwanza maana ushazini na wanawake wote hapo, Ukienda kanisani kama uvumilivu wako mdogo kwanini usikae upande wa wanaume peke yake? Halafu unapotembea si unawaonaga wengi wamevaa vimini sasa mbona hujasema wasiwe wanavaa? Hebu kajiandae vizuri ndo ulete mada yako hiyo haijatulia
 
kanisa litunge sheria kali kuzuia mavazi mafupi kanisani. kwani wanaogopa nini?
 
We Mateso! Sentensi yako umeianza vibaya, ukienda kanisani unakwenda kusali na kumwomba Mungu, sasa wewe unapata muda wapi wa kuangalia wasichana? Hayo mambo ya Macho hayana pazia ni excuse ya kizamani sana. Kama nia yako ni kusali huwezi kuangalia angalia wasichana, unless wewe pia unakwenda kuangalia madada.

Kuhusu wakina dada kuvaa nguo fupi mie naomba tu kusema kwamba, kila vazi lina mahali pake. Beach, disco, kazini, kanisani, etc. Kila mahali kuna mavazi rasmi, basi tujitahidi kuvaa kuendana na mazingira tunayokuwemo

Wewe kama unalifahamu kanisa la UDSM kuna pande huwa zinakaa kwa kutizamana sasa kama binti atakaa mbele na kimini chake na wewe unaangalia upnde huo ukamwona huko ni kuchungulia? Be reasonable.
 
Hakuna anayemtamanisha mwenzake, kiini cha tamaa kipo na hutoka ndani ya atamaniye. tamaa huletwa na fikra na hisia na malengo ya mtu. Wapo wanaume wengine ambao huwatamani wanawake wa kiislamu kwa mavazi yao ya baibui. Mwanamume anajenga hisi kwa kuutazama mwonekano wa mwanamke mwenye kuvaa baibui na kufikiria atakachokuwa anakiona wakati anapoitoa hiyo baibui. Fikra zake zinamwelekeza kuwa kitu kilichofichwa ndani ya hilo vazi jeusi lazima kitakuwa kizuri na chenye thamani kubwa. Baada ya hapo anapata matamanio na kuweka lengo la kumtafuta na kumnasa mhusika.

Lakini ikiwa wakati unatoka nyumbani kwako mawazo na fikra zako umezielekeza na kuzikita kwenye Ibada ya Misa. Utakapokuwa ndani ya Kanisa au nyumba nyingine ya Ibada hutaviona vimini, Skintaiti, bikini wala mapaja. Hebu fikiria watu wanavyoweza kuwa na mawazo kiasi cha kutojuwa kuwa anavuka barabara au mtu unamsalimia lakini hakusikii. Vivyo hivyo tukizamisha fikra zetu kwenye kuwasiliana na mungu hatutakwazika kamwe

Hata wewe unatamaa ambayo hujengwa na fikra zako, na maanisha kila binadamu. Hebu fikiri mdada ameacha matiti wazi, kitovu kinaonekana, kimini kimeishia chini ya ******,na labda hata chupi hajavaa na wewe ndiyo padre au muudumu wa pale altare, utajisikiaje?. Ndiyo maana wazee wa kilutheri wanaamua ama kurudisha hawa watu nyumbani au kuwapa kanga wajisitiri. Hakuna mzazi anyeruhusu binti yake atembee uchi!!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom