Mwanakijiji unaanza tabia mbaya ya kuchafua viongozi wa serikali. Unakumbuka ulianzisha thread ya picha ya ngono za Kikwete na matokeo yake ukasababisha mmoja wa wachangiaji humu amchafue Rais wetu kwa ujumbe wake hapa: http://66.102.9.104/search?q=cache:...php?p=148313+Kikwete+Ngono&hl=en&ct=clnk&cd=1
Mjadala huu wa kuchafua viongozi ndio ukafuatiwa na kukamatwa kwa wanaJF. Sasa msiseme hamkuonywa.
PM
What are you trying to say now ? Kwamna kundi la CCM kutukana watu ni sawa na leo hawa kuambiwa ukwlei itakuwa ni kutukana viongozi ? Uongozi ni maadili na matendo pia .