Vimada wa Vigogo Mafisadi..

Nimetazama neno fisadi kwenye kamusi ya kiswahili sanifu :

fisadi:mtu mbaya;mtongozaji;mpotevu;MWASHERATI.
 
Hivi kwenye post ya kwanza nimetoa ahadi ya kufanya nini na nimeipa muda gani? Whatever I got to do it'll be at my own discretion and at a place, means and time of my own choosing.

sawa mwkjj nimekupata lkn hebu ulete basi huo muziki utuburudisha kwanini ufaidi pekeyako tuu mwisho vionjo vya utamu vyaisha sasa
 
aiii wewe mwkjj wenzako tuko anxious hivyo, tuambie basi internet zenyewe c unajua za kulipia, basi whenever your ready to drop the bombshell, mie nasubiri.
 
Sidhani kama kuna mtu atapona asilimia 90 ya wanasiasa nchini Tanzania wana vimada si upinzani si ccm!yakianza kutajwa majina na vimada wao humu ndani hapatakalika!!!Mzee mwanakjiji wastiri wazee wetu!!!

Hii ni kweli Mzee kwani katika mitihani yote, huu wa nyumba ndogo/vimada ni wachache wanaoweza kupona kwani hata walokole kama kina Pombe Magufuli nasikia wamo. Eee.. nisitaje majina inabidi kuwahifadhi au nsubiri Mwanakijiji aweke hiyo orodha na atapoowasahau nimkumbushe.
 
Hii ni kweli Mzee kwani katika mitihani yote, huu wa nyumba ndogo/vimada ni wachache wanaoweza kupona kwani hata walokole kama kina Pombe Magufuli nasikia wamo. Eee.. nisitaje majina inabidi kuwahifadhi au nsubiri Mwanakijiji aweke hiyo orodha na atapoowasahau nimkumbushe.

hapo kweli umesema, nadhani kuwa na ki/vimada hiyo ni sera ya wanaume walio wengi.

binafsi sioni haja ya kujadili vimada wa viongozi hapa unless kama hao vimada nao kwa kiasi fulani wanahusika na ufisadi.
 
hapo kweli umesema, nadhani kuwa na ki/vimada hiyo ni sera ya wanaume walio wengi.

binafsi sioni haja ya kujadili vimada wa viongozi hapa unless kama hao vimada nao kwa kiasi fulani wanahusika na ufisadi.
HAYO NI TATIZO HUKO CHADUMA,CCM NI MAMBO YA KAWAIDA TOKA ENZI NA ENNI.UNAKUMBUKA WAKATI MZEE KAWAW ANAGOMBANA NA MSEKWA KWA AJILI YA ANNA ABDALA NA WOTE WAWILI WALIKUWA WAMEOA
 
Nimetazama neno fisadi kwenye kamusi ya kiswahili sanifu :

fisadi:mtu mbaya;mtongozaji;mpotevu;MWASHERATI.

Mimi nafikiri bado waswahili inabidi waongoze uzito kwenye neno FISADI ni pamoja na Jitu lisiloshiba, Lenye tamaa, lifuja mali, kama Li-FISI FISI hivi.
 
mwanakjj, wenzio tumekaa kama tumeajiriwa humu; kuna mtu alipewa jukumu la kuangalia kama mzee "fulani" anatajwa! Tafadhali taratibu kaka kuna watu na ndoa zao na mambo mengine yakijulikana zitakuwa hatarini.

Hivi unafikiri ni wewe tu unajua wakubwa wanakojipongeza pembeni? Sisi wengine kutwa kucha tunaishi nao na kusafiri nao, tunayoyaona si madogo lakini ndiyo hivyo tunawavumilia tu.

Mbona kuna Waziri ambaye miaka michache iliyopita alikuwa anaopoa mtoto wa Kifungilo akijifanya ni mzazi wake? Tena binti mwenyewe sasa ana mtoto na ameshindwa hata kwenda Chuo lakini anapata kila aina ya huduma?

Sasa, tuyaache tu haya.

Asante.
 
mwanakjj, wenzio tumekaa kama tumeajiriwa humu; kuna mtu alipewa jukumu la kuangalia kama mzee "fulani" anatajwa! Tafadhali taratibu kaka kuna watu na ndoa zao na mambo mengine yakijulikana zitakuwa hatarini.

Hivi unafikiri ni wewe tu unajua wakubwa wanakojipongeza pembeni? Sisi wengine kutwa kucha tunaishi nao na kusafiri nao, tunayoyaona si madogo lakini ndiyo hivyo tunawavumilia tu.

Mbona kuna Waziri ambaye miaka michache iliyopita alikuwa anaopoa mtoto wa Kifungilo akijifanya ni mzazi wake? Tena binti mwenyewe sasa ana mtoto na ameshindwa hata kwenda Chuo lakini anapata kila aina ya huduma?

Sasa, tuyaache tu haya.

Asante.

My god Msamehe aliteleza tu!
 
Lo! watu wanazidi kukaa tayari kushangilia wakubwa watakapovuliwa nguo.Tahadhari kwa yeyote atakayeshangilia asiinue mikono juu bila kuwa na uhakika wa uimara wa mkanda wa suruali au sketi yake. Maana unaweza ukajikuta katika kushangilia nawe uko uchi.
Bado naendelea kujiuliza, ni jinsi gani mtu asiyekuwa mwaminifu kwa mtu mmoja(mkewe au mumewe) anavyoweza kuwa mwaminifu kwa watu milioni arobaini(watanzania)
 
Back
Top Bottom