Vile vifaru pale Lugalo jeshini vinatisha

Vile vifaru pale Lugalo jeshini vinatisha

Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
KIfaru ni silaha nzito, uitumue kwa waandamani wale wako mikono mitupu ?
 
Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Inawezekana watu wakabaki nyumbani kwa kuogopa vifaru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom