Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,740
- 27,104
hawa madogo wa chadema ni wakushushwa bega kabla hawajakomaaAsee hivi vyombo vimejipanga hayo manadamo hamna kitu maneno tuu
hawa madogo wa chadema ni wakushushwa bega kabla hawajakomaaAsee hivi vyombo vimejipanga hayo manadamo hamna kitu maneno tuu
Hakuna cha maneno ya kwenye kanga hapa, ni lazima mnyonyolewe manyoya na mama yenu.Pole sana
Tuone kama kuna atakae toka sasa.
Maneno ya kwenye kanga
Mimi nikitoa muongozo wa maandamano hakuna wa kuzuia ...sema nataka watz wajifunze kwa upumbavu wao wa kukubali kutumiwa na wahuni kina Rostam Aziz dhidi ya jpm wakiwatetea mafisadi kuwa JPM anapora mali za matajiri na madini ....😁 ila kuhusu huyu mpumbavu samia bushiri sina shaka naye ni lazima mwisho wake uwe mbaya tu na wakutisha sana 100%Karibuni sana
Wewe wahi Mirembe...Mimi nikitoa muongozo wa maandamano hakuna wa kuzuia
Hayo maandishi yako ya kichoko ndiyo vifaru?Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Kura yako haitaleta utofauti upige usipige yote sawa. Mazingira yote yamesetiwa kumrudisha sa10x10.Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
..Wewe wahi Mirembe...
Alaahh!! Picha ya hivyo vifaru ikwapi sasa??Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Wewe ni mwehu...Unajua maandamano ya magari ? Kisha yanafuatiwa na maandamano ya watu ...kisha maandamano ya watu yanaingia kwenye kambi za jeshi na makazi ya familia zao na kuwapeleka mstari wa mbele ...kisha maandamano yanakuwa zigizaga mtaa kwa mtaa chochoro kwa chochoro ....kisha maandamano yanafanyika kama wapiga kura kwenye vituo vyote vya kupigia kura huone kama uchaguzi utafanyika
Mimi nikitoa muongozo wa maandamano hakuna wa kuzuia ...sema nataka watz wajifunze kwa upumbavu wao wa kukubali kutumiwa na wahuni kina Rostam Aziz dhidi ya jpm wakiwatetea mafisadi kuwa JPM anapora mali za matajiri na madini ....ila kuhusu huyu mpumbavu samia bushiri sina shaka naye ni lazima mwisho wake uwe mbaya tu na wakutisha sana 100%
Yaani kifaru kilipue raia?Nimepita hai hai nimeshidw hata kupiga picha kwa mshangao
Tupo humu akina naniMtu kaona vifaru Moja Kwa Moja akili yake imewaza ni Kwa ajili ya wanao andamana... Kwa Nini hujawaza vinaandaliwa kuwatoa wenye uchu na madaraka endepo watagoma?
Ila sishangai Kwa Nini mpo humu makonda aliwaambia mje mitandaoni kumtetea mama yenu Kwa posho za bando mnasaliti utu wenu..
Mnatakiwa mkumbuke nguvu ya uma ni asili na siku zote asili haijawahi kushindwa.
Il likifanya kazi unafyataTamko la kupiga mkwara wananchi wanaopaza sauti kupinga usenge unaoendelea, ila kufukuza hao wezi watapanya hela yetu wameshindwa ? Hakuna jeshi hapo ni upuuzi mtupu.