Viktor Orban Ashindwa Uchaguzi huko Hungary

Viktor Orban Ashindwa Uchaguzi huko Hungary

Voting was extended for another day after a lack of ballot papers disrupted voting,[18][19] with some voters being forced to queue overnight to cast their ballots.[20] There were reportedly delays of up to 10 hours in opposition stronghold areas.[21] The Zimbabwe Electoral Commission acknowledged the late distribution of ballot papers at some polling stations and blamed it on printing delays "arising from numerous court challenges".[22] Forty-one poll monitors were arrested during the election, being accused of illegally attempting to announce results before the state elections body.[23] Accusations of vote rigging were made by the opposition.

Hii ndio hali ilivyo sasa hivi Zimbabwe.

Nadhani hauelewi maana ya "independence". Independence sio tu kumtangaza mpinzani kuwa mshindi bali namna uchaguzi mzima ulivyoendesha. Hata Tanzania kuna wakati wapinzani walitangazwa kuwa washindi. Na hiyo ndio argument ya watetezi wa hali ilivyo Tanzania. Kuwa mbona wakina Lissu, Mbowe, Lema, Sugu, Ruge n.k. wote waliwahi kuwashinda wagombea wa chama tawala na kutangazwa washindi. Wengi tunasema kuwa kutangazwa baadhi kushinda sio uthibitisho wa uhuru wa tume ya uchaguzi.

Mara nyingi kinachotokea katika hizo nchi ulizodai kuwa zina Tume Huru za Uchaguzi ni kuwa wananchi wanalazimisha matokeo sahihi kutangazwa kutokana na wingi wao na kuonyesha kuwa hawatakubali usanii wa aina yeyote kufanyika. Imekuwa hivyo Hungary, ilikuwa hivyo Zambia, ilikuwa hivyo Malawi.

Amandla...
Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni ya utawala wa Magufuli na Samia wameamua sasa kuteua baadhi ya wabunge wachache wa vyama tanzu na ccm lkn chama wanachokiona kama cha upinzani kweli kama Chadema kamwe hawaruhusu wapate mbunge hata mmoja wa dawa.

Tanzania hamna tena kitu kinachoitwa uchaguzi ni maigizo tu yanafanywa na ccm kikishirikiana na vyombo vya dola vitiifu kwake kisha kinajitangazia ushindi basi biashara imekwisha.
 
Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni ya utawala wa Magufuli na Samia wameamua sasa kuteua baadhi ya wabunge wachache wa vyama tanzu na ccm lkn chama wanachokiona kama cha upinzani kweli kama Chadema kamwe hawaruhusu wapate mbunge hata mmoja wa dawa.

Tanzania hamna tena kitu kinachoitwa uchaguzi ni maigizo tu yanafanywa na ccm kikishirikiana na vyombo vya dola vitiifu kwake kisha kinajitangazia ushindi basi biashara imekwisha.
Sahihi kabisa...

Watawala wameivuruga hii nchi kwa maslahi ya kikundi kidogo cha walaji.

Wananchi wasipoikataa hii hali, hawa makatili watalisambaratisha hili Taifa.
 
Bado Trump anaenda kupigwa chini kwenye chamber zote mbili za Congress. Inabidi insane leaders wote waondolewe
Itakuwa jambo jema sana kama hilo litatokea.

Kitendo cha wahafidhina wa MAGA kumpinga waziwazi ni dalili nzuri

Sema democrats kama kina Biden nao wameangukia kwenye Ushawishi wa Israel lobby (AIPAC), hicho kibabu (Biden) kilinikera mno kilipofumbia macho unyama wa Israel kule Gaza

...labda angalau wapatikane kina "Bernie Sanders" au MAGA wasiopenda sera za Israel wawe wengi ndio Netanyau atadhibitiwa.

Kichuguu Nguruvi3
 
Back
Top Bottom