Uchaguzi wa Hungary umekwisha na aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 16, Viktor Orban, kipenzi cha Trump na Putin, na mwiba mkali kwa European Union na Ukraine amepigwa chini vibaya sana.
Kwenye bunge lenye viti 199, chama cha mpinzani wake, Péter Magyar, kimejizolea zaidi ya viti 135 ambayo ni...