Vikosi na makambi JKT

Vikosi na makambi JKT

841kj mafinga ..bravo coy OC ruteni muhuva noma sana jamaa alikuwa na Roho ngumu nilidoji kumbe ilikuwa ndo siku ya posho ckupata kwenye 50 inakatwa unabaki na 31 jamaa akaacha ujumbe hio 31 kama naitaka ninywe maji mengi moyo uelee ndo niifate nikaipotezeaaa
 
Maana ya KJ ni nini?? Na hizi no mbona zinaanza na 800+ na siyo chini ya hapo ufafanuzi plz maafande
 
Maana ya KJ ni nini?? Na hizi no mbona zinaanza na 800+ na siyo chini ya hapo ufafanuzi plz maafande
KJ ni kikosi cha jeshi

hizo namba kuanza na 800+ ni maamuzi tu sawa na tigo kuanza na 071...
 
Mgambo JKT TANGA, makuruta wa MUNGU tulilima sana mashamba ya Gendagenda na komsanga bila kusahau kuvuna ekari 78 za machungwa
 
askari wa kileo ni Rais kutoa sir I za jeshi sana nahisi hata tukiwauliza idadi ya wanajeshi,silaha,ramani ya kambi na etc mtataja wote mulio komenti mjitafakari ni wepesi kununuliwa na age zenu ni 22-30
 
841kj mafinga ..bravo coy OC ruteni muhuva noma sana jamaa alikuwa na Roho ngumu nilidoji kumbe ilikuwa ndo siku ya posho ckupata kwenye 50 inakatwa unabaki na 31 jamaa akaacha ujumbe hio 31 kama naitaka ninywe maji mengi moyo uelee ndo niifate nikaipotezeaaa
***** utakuwa mujibu wewe
 
Back
Top Bottom