Vikosi na makambi JKT

Vikosi na makambi JKT

842KJ Mlale JKT, sitopasahau hapa, wangoni walitukoma miaka hyo.

Masangu, Mlandizi, Lusonga, Ruvu kituo cha umeme kule, mlima Zuhura, Magagura..... wacha kabisa, mbura, miwa, masuku, mihogo.... tulitesa sana.

Baadae nikahamia 843KJ Nachingwea JKT. Huko nako, acha tu siwezi sahau yale maisha.
Mkuu, embakasi unapakumbuka?
 
Mkuu, embakasi unapakumbuka?
Aisee ogopa ile "run way ya ndege!" Ile ni noma, ingawa sijajila sana kule maana mimi nilikuwa tengo la ufundi. Lakini kipindi cha "six week" nmejilajila kule

Naikumbuka sana Embakasi, na kipindi cha OP yetu tuliitanua maradufu, na tukafungua kitu kingine cha Masangu
 
825 KJ Mtabila--Kigoma I won't forget u... Chini ya makamanda James,Soudy,Mkude na Mkuu wa kambi Major GB kazaula
 
Umenikumbusha na haka ka wimbo wakati kwa kwenda usawa wa gudulia ( hasa kwa wale walipitia Makutupora)

niende mafinga nibaki makutu.....(mwimbishaji)

yote makambi makubwaa (kiitikio wote)
Amri ya jeshii iiii inanichungulia
Hata kama nikijongooo oooo inanichungulia....


duh, those days!! huwezi kusahau. Kwa ambao hamjapitia jeshini, kujongo ni kujongomea aka kutoroka. Usawa wa gudulia (sufulia kuwa la msosi)
Kurutaaa! Afande!
Kamata mustini wako
Kwa mwendo wa kunyakua, usawa wa gudulia mbeleee kimbia. KUNYAKUA BALAA.
 
834 Kikosi Cha Jeshi
Bios Gas
Kwa Mbuzi
Bustani
Zabibu
Acha Kabisa Kitu Matupora Dodoma
Kwenye Mitunduru Ya Kila Kona Ya Kikosi
Mzakwe weweee! Mtunduruni. Bustanini. Kwa CO.
Nilipewa nickname CI Chief Instructor.
 
842KJ Mlale JKT, sitopasahau hapa, wangoni walitukoma miaka hyo.

Masangu, Mlandizi, Lusonga, Ruvu kituo cha umeme kule, mlima Zuhura, Magagura..... wacha kabisa, mbura, miwa, masuku, mihogo.... tulitesa sana.

Baadae nikahamia 843KJ Nachingwea JKT. Huko nako, acha tu siwezi sahau yale maisha.
mlale jkt kuna jamaa lilikua linatoroka kila siku kwenda lusonga hadi tukamtungia wimbo.
 
Back
Top Bottom