Vikosi na makambi JKT

Vikosi na makambi JKT

BULOMBOLA JKT KIGOMA

RWAMKOMA JKT MARA

MSANGE JKT TABORA

KANEMBWA JKT KIGOMA

MTABILA JKT KIGOMA

MGULANI JKT DAR ES SALAAM

RUVU JKT PWANI

OLJORO JKT ARUSHA

MAKUTUPORA JKT DODOMA

MGAMBO JKT TANGA

MBWENI JKT DAR ES SALAAM

CHITA JKT MOROGORO

MALAMBA JKT TANGA

MAFINGA JKT IRINGA

MLALE JKT SONGEA

NACHINGWEA JKT LINDI

ITENDE JKT MBEYA

CHUO CHA UONGOZI JKT DAR ES SALAAM

MAKAO MAKUU JKT DAR ES SALAAM

KIKOSI GANI UNAKIKUMBUKA KAMA ULISHAWAI PITIA JKT

BINAFSI KANEMBWA JKT KIGOMA
unakumbukumbu gan na kanembwa?
 
Mm nilikuwa 833kj oljoro jkt kipindi icho tunaenda kitundu,mti wa shetani,shamba dunia duka la mbao embakasi hatari tupu uko.Kuna kijiji flan ivi uko kuna wamang'ati awo wana vaa semi nacked hatari uko nilipiga pale jkt na tpdf the same palepale na nikapangiwa kikosi kilekile.........nakumbuka kuna cku nilikuwa ulinzi main gate kuna kamanda mmoja iv officer luten alikuja na gari yake usiku nikamwambia zima taa zako akawa anaweweseka nikamwambia aisee ww kamanda wangu ndio ila niko ulinzi nw zima taa kamanda akawa anazingua ataki eti kisa yy anacheo kikubwa mm private yy luten nilienda nikamtoa kwnye ndinga nilimlolisha mpaka akakoma mwnyewe kesho yake nikapelekwa mahabusu nilipigwa extra drill iyo hatari bada ya wiki moja nikala uhamisho Chita nikapelekwa Mlimba uko Morogoro mana nilikuwa askari mkorofi sana hahahaha but nw nimekuwa mtumzima ule ulikuwa utoto....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Natamani kwenda jkt na mimi
Hiko kiduku chako kitanyolewa na Panga
a59833b21fbd22560a7b98381e831ad1.jpg
 
Mm nilikuwa 833kj oljoro jkt kipindi icho tunaenda kitundu,mti wa shetani,shamba dunia duka la mbao embakasi hatari tupu uko.Kuna kijiji flan ivi uko kuna wamang'ati awo wana vaa semi nacked hatari uko nilipiga pale jkt na tpdf the same palepale na nikapangiwa kikosi kilekile.........nakumbuka kuna cku nilikuwa ulinzi main gate kuna kamanda mmoja iv officer luten alikuja na gari yake usiku nikamwambia zima taa zako akawa anaweweseka nikamwambia aisee ww kamanda wangu ndio ila niko ulinzi nw zima taa kamanda akawa anazingua ataki eti kisa yy anacheo kikubwa mm private yy luten nilienda nikamtoa kwnye ndinga nilimlolisha mpaka akakoma mwnyewe kesho yake nikapelekwa mahabusu nilipigwa extra drill iyo hatari bada ya wiki moja nikala uhamisho Chita nikapelekwa Mlimba uko Morogoro mana nilikuwa askari mkorofi sana hahahaha but nw nimekuwa mtumzima ule ulikuwa utoto....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha mbali sana
 
askari wa kileo ni Rais kutoa sir I za jeshi sana nahisi hata tukiwauliza idadi ya wanajeshi,silaha,ramani ya kambi na etc mtataja wote mulio komenti mjitafakari ni wepesi kununuliwa na age zenu ni 22-30
Tulia wewe
 
Back
Top Bottom