nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.
nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.
Naipenda nchi yangu Tanzania.
unashindwa nini kusema unatamani Jk awe mumeo kwa jinsi unampenda? Wanaoipenda nchi hii ni wale wanaoipigania, na wanaonyesha kwa vitendo
Ukiichukia unazidi kujiumiza tu mwenyewe. Bora ukubaliane na hali halisi.
nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.
Ni kuingia barabarani tu.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kimeitisha kikao cha dharura cha Baraza kuu la Taifa kutoa maamuzi mazito kuhusiana na kitendo cha serikali kushindwa kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kisheria mawaziri wazembe na waliofisidi wizara zao.
Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala.
Source:Mwananchi na John Mnyika.
Naipenda nchi yangu Tanzania.
Kimbunga,
Inaonyesha CHADEMA walishapanga huu mchezo kabla, watakuwa wamewatuma wabunge wake kufanya vile bungeni. Kwenye taarifa yao kwa vyombo va habari baada ya kamati kuu yao iliyokaa Arumeru walisema "Maamuzi ya Kamati Kuu katika mikutano iliyopita ya kutoa rai kwa Rais Kikwete kuziba ombwe la uongozi lililopo na kufanya mabadiliko ya msingi katika serikali yanapaswa kutekelezwa kwa haraka katika kipindi hiki ambapo vyombo vya serikali likiwemo Baraza la Mawaziri vinadhihirisha kutokuwa na uwezo, umakini na uwajibikaji wa pamoja
Kamati Kuu imeielekeza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Chadema kuisimamia kwa karibu serikali kupitia Mkutano wa Saba wa Bunge unaotarajiwa kufanyika kuanzia Aprili 10, mwaka huu na kuwasilisha taarifa kwenye mkutano ujao wa Baraza Kuu la chama kwa ajili ya hatua zaidi iwapo mabadiliko ya msingi hayatafanyika kwa njia za kawaida za kibunge na kiserikali.
Gazeti la Nipashe liliandika haya wakati huo.
PM
CCm kimetulea mpaka sasa, heshimuni
Naipenda nchi yangu TanganyikaNaipenda nchi yangu Tanzania.
Monoama mbonyi nsafo