Vikao vya NEC na Baraza Kuu CDM kujadili hali tete ya nchi!

nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.

Hata kama litavunjwa kesho bado ni matokeo ya shinikizo la umma.
Ni mafanikio.
 
nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.

Mpeni muda mpaka siku ya jumatano,kikao kifanyikea maazimio yawekwe under carpet then subirini kama kweli kauli ya rais inayosemwa itatekelezwa ya kuvunja baraza lake la mafisadi.(mawaziri)
 
unashindwa nini kusema unatamani Jk awe mumeo kwa jinsi unampenda? Wanaoipenda nchi hii ni wale wanaoipigania, na wanaonyesha kwa vitendo

mme kama huyo hata bure simtaki maana utazaa vichwa nazi tu
 
Raisi alitumia busara na hekima kuiacha issue ya kuwafukuza mawaziri wake.Akiwa kama Raisi wa nchi kama angemruhusu Pinda awatimue wale mawaziri kwa sababu ya kutii shinikizo la wabunge basi ndio kabisaa angeloba stepu.Kwamba kama Raisi wa nchi angeonyesha udhaifu wa hali ya juu.Pia ingekuwa ni Political gain ya Chadema na mahasimu wake ndani ya chama.Pia kujishushia hadhi sana tuu kimataifa.Pia alijua akitoa ruhusa wale mawaziri nane watimuliwe ndio kwanza angejiweka kwenye wakati mgumu zaidi maana ungekuwa ndio mchezo wa wabunge.kwamba angebidi aje kufikia hatua ya kuvunja baraza la mawaziri kila wakati au mpaka kufikia sehemu wabunge watataka kumpigia kura ya kutomwamini yeye Raisi. Naamini kabisa kinachofuatia ni yeye kulivunja baraza la mawaziri soon.anajua effects zitakazo tokea kama hatavunja baraza.hivyo kisiasa nampa hongera kwa kungamua mtego uliokuwepo mbele yake.kwa wanaotambua siasa wanajua tuu issue haikuwa kuwafukuza tu wale mawaziri
 
Hamna kitu hapo, jamaa wanataka kula posho za kikao tu, kwani nchi hii ipo katika hali nzuri sana.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 

Mkutano wa Jumamosi siyo wa dharula. Umepengwa tangu January mwaka huu.

Quality
 

Mkuu Paparazi Muwazi sawa nimekuelewa kwamba hicho kikako si cha dharura ila kilipangwa siku nyingi.

Pamoja na hayo sasa taarifa gani itawasilishwa kwenye kikao hicho ili hali mchakato wa kutokuwa na imani na Waziri Mkuu bado haujatolewa maamuzi (rejea blue hapo)? Kwa nini wasisubiri mchakato huo ufike mahala ndio wakutane na kutoa tamko?

Najua Zitto amewasilisha taarifa ya kupeleka hoja ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (Msimamizi was shughuli za serikali) na pia amewasilisha ombi kwamba kuwe na kikao cha dharura cha Bunge kushughulikia suala hilo; sina hakika kama Spika ameishayatolea maamuzi hayo maombi leo CDM wanakuja tena na kikao cha kutaka kutoa tamko.
 
Last edited by a moderator:
Wewe punguani kabisa.Hivi unajua maana ya kulea.Chama cha Magamba hakijakulea.Uliona wapi mlezi akaua,akafukarisha tena kwa makusudi,akaibia,akalaghai,akalawiti na kila aina nyingine ya ushenzi kwa anayemlea?
CCm kimetulea mpaka sasa, heshimuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…