Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,380
Wamepita wanafunzi 2:Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.
Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Ule uwanja wa ndege Chato sasa hivi hataki hata kuusikia umemcost kisiasa big time.Mwizi anakimbizwa kimya kimya.
Huyu aliyekaa kimya anawakilisha walio wengi kwenye jamii na ndio wana hatima ya uchaguzi wa 28 oktoba.Eti uje kuwaambia hawa kura za
Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya
Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
Ni Yeye 2020 hazikutosha. Uwaeleze Kilatin labda watakuelewa.
Vitambulisho navyo vimemkalia kooniUle uwanja wa ndege Chato sasa hivi hataki hata kuusikia umemcost kisiasa big time.
Ni kweli chini ya kura halali kabisa 3m hapati.yaani hata katibu mkuu Ndugu Bashiru kura yake atapiga kwa Lissu
jiwe akipata kura milioni3 narudi kuwa mvulana
Kaumbuka!Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya
Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
Huna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGAUle uwanja wa ndege Chato sasa hivi hataki hata kuusikia umemcost kisiasa big time.
Matusi ni defence mechanism ya mtu mwoga.Huna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGA
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukataeKampeni au tuseme mikutano ya Lissu inathibitisha hilo na mimi binafsi nimeliona hilo na hata leo Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameongelea swala hili katika hii tweet yake hapa chini:
Vijijini mwamko ni mkubwa mno....mijini ndiyo kabisa.
Tunashukuru sana kila mtanzania anayejitokeza kuja kusikiliza wagombea wetu kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Huu ni ujumbe siasa ni maisha...ujumbe tunahitaji kuwa na fursa ya kuzungumza na wananchi.
*Kata ya Ruhembe
View attachment 1602480