Ile kazi wanaiweza?Tatizo ni UVIVU tu kwa hao vijana.
Ile kazi wanaiweza?Tatizo ni UVIVU tu kwa hao vijana.
Hao baba zenu wanatunzwa na nani? Mnanchekesha!
Ile kazi wanaiweza?
- majimama hayatoshelezwi na majibaba yao - tatizo la nguvu za kiume, tofauti ya umri kati ya mume na mke ambayo baadae inasababisha baba kuwa kachoka/mzee na hajiwezi na mama kuwa bado kijana.
- Tamaa kwa majimama
- tamaa ya fedha kwa vijana
- Haki sawa; kulipa kisasi kwani majibaba nao huchukua vijisichana vidogo
- mambo ya kisasa; mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio
Baba anajitunza na anamtunza mama pia
hasa hapo kwenye red ndo panahusika sanaTamaa ya vitu na kutaka kumiliki vitu wasivyokuwa na uwezo navyo,Uvivu wa kufanya kazi na kupenda vitu vya dezo,kuiga mambo ya magharibi,na kutokuwa na hofu ya mungu!
maisha magumu. kijana unaweza kuwa na wazo la kufanya kitu fulani lakini mtaji wakufanyia hicho kitu huna. hata ukiomba ukope hupati. sasa njia rahisi ni kutumia mashine kupata mtaji. hivyo wengi wanawapiga mashine majimama ili wapte mtaji wa kuondokea. ndio maana hata hao majimama wanao watunza si makabwela.Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?
FF ni lijimama nini?
Tena la uhakika.
Wanawake wakiwezeshwa wanawezaKwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?
Hata mie nashangaa, maana siku hizi utasikia mijimama, mijimama, mijimama... kwa ni mapenzi yanaangalia umri?mapenzi hayajali umri wandugu mbona tunarudi ujima bila kujijua?
mimi huwa natunza mijimama....unasemaje?????