Vijana wanaopendwa kutunzwa na Mimama

HorsePower

JF-Expert Member
Aug 22, 2008
3,612
2,566
Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?
 
Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?

Mambo ya Beijing.
 
Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?

Tatizo maduu wengi wanapenda mshiko hayo mamamaa hayapendi mshiko kiviiile.
Alafu maduu nao wanalelewa na vibabu.,
 
Hivi toka mimba inapotungwa tumboni huwa inatunzwa na nani na mpaka mnapozaliwa mpaka kukuwa kwenu na mpaka mnapozeeka mnatunzwa na nani? kuweni wa kweli. Mijanadume kutunzwa na "mi mama" hakukuanza leo wala hakutakwisha leo, ni "nature". Ni nani kati yenu toka anapokuwa tumboni mpaka hapo alipofika ambae hajawahi kutunzwa na "miji mama". Hiyo "miji mama" ndio mama zenu hao na mkiwaongea mfanye heshima na adabu, msijione leo mna uwezo wa kubofya hizi keyboard mkasahau waliowatunza toka tumboni.

Hao baba zenu wanatunzwa na nani? Mnanchekesha!
 
Tamaa ya vitu na kutaka kumiliki vitu wasivyokuwa na uwezo navyo,Uvivu wa kufanya kazi na kupenda vitu vya dezo,kuiga mambo ya magharibi,na kutokuwa na hofu ya mungu!
 
Hivi toka mimba inapotungwa tumboni huwa inatunzwa na nani na mpaka mnapozaliwa mpaka kukuwa kwenu na mpaka mnapozeeka mnatunzwa na nani? kuweni wa kweli. Mijanadume kutunzwa na "mi mama" hakukuanza leo wala hakutakwisha leo, ni "nature". Ni nani kati yenu toka anapokuwa tumboni mpaka hapo alipofika ambae hajawahi kutunzwa na "miji mama". Hiyo "miji mama" ndio mama zenu hao na miwaongea mfanye heshima na adabu, msijione leo mna uwezo wa kubofya hizi keyboard mkasahau waliowatunza toka tumboni.

Hao baba zenu wanatunzwa na nani? Mnanchekesha!

tehetehetehe...mmh
 
Hivi toka mimba inapotungwa tumboni huwa inatunzwa na nani na mpaka mnapozaliwa mpaka kukuwa kwenu na mpaka mnapozeeka mnatunzwa na nani? kuweni wa kweli. Mijanadume kutunzwa na "mi mama" hakukuanza leo wala hakutakwisha leo, ni "nature". Ni nani kati yenu toka anapokuwa tumboni mpaka hapo alipofika ambae hajawahi kutunzwa na "miji mama". Hiyo "miji mama" ndio mama zenu hao na miwaongea mfanye heshima na adabu, msijione leo mna uwezo wa kubofya hizi keyboard mkasahau waliowatunza toka tumboni.



Hao baba zenu wanatunzwa na nani? Mnanchekesha!

leooooo leo leooooo leo, mtajiju mlioshabikia uzi huu,mi simo,byeeeeeeee
 
kwa upande mwingne, mijimama hyo ndo inayowatafuta vjana kwa bidii zote! Hcho ndo knachowashawsh vjana wawakbal krahc, coz hawana usumbufu kama hawa bnt wa kileo. .
 
Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina ya vijana kadhaa mtaani wenye tabia kama hizi. Mnaweza kunisaidia sababu za tatizo hili?

Rafiki yangu HP...binadamu ana viungo vingi sana mwilini mwake ambavyo anaweza kuvitumia kupata/kujiongezea kipato, sio lazima mikono tuu!
 
tatizo ni ufinyu wa fikra na kupenda mkato katika maisha ...
 
Duh FF vipi tena mbona mkali kulikoni !.

Hivi toka mimba inapotungwa tumboni huwa inatunzwa na nani na mpaka mnapozaliwa mpaka kukuwa kwenu na mpaka mnapozeeka mnatunzwa na nani? kuweni wa kweli. Mijanadume kutunzwa na "mi mama" hakukuanza leo wala hakutakwisha leo, ni "nature". Ni nani kati yenu toka anapokuwa tumboni mpaka hapo alipofika ambae hajawahi kutunzwa na "miji mama". Hiyo "miji mama" ndio mama zenu hao na mkiwaongea mfanye heshima na adabu, msijione leo mna uwezo wa kubofya hizi keyboard mkasahau waliowatunza toka tumboni.

Hao baba zenu wanatunzwa na nani? Mnanchekesha!
 
Duh FF vipi tena mbona mkali kulikoni !.

Watu wanashindwa kuelewa kuwa kupenda mijimama ni process inayoanzia kutoka tumboni, mtu wa kwanza duniani unaeijuwa harufu yake na kuipenda ni ya "ji mama" hiyo hata iwe mbaya vipi, kwako ni njema. Imprint isiyofutika. Kwa mwanamme, awe mtoto, kijana au mzee kupenda mijimama ni "nature" na "mijimama" kulea awe mtoto, kijana au mzee ni nature yao. Cha ajabu ni nini? Mnanshangaza!
 
Back
Top Bottom