Vijana wamsimamisha Kikwete Mwanjelwa; wazomea "fisadi fisadi"

Mwikimbi,
Asante kwa maelezo mazuri. Tatizo ni kuwa, wengine hatuamni sana hii miamko ya Wananchi. Tunaogopa sana NGUVU YA SODA. Tunaogopa sana kujiaminisha sasa watu wameamka kumbe wapi. Inanikumbusha kisa kimoja huko Korea. Wakorea waliwachoka USA na wakaanza fujo kwa kila kitu cha USA. Hali ilikuwa mpaya sana hasa ukichukulia hawa jamaa ni washiriki wa karibu wa USA yaani Seul. CIA kuona hivyo, walimpeleka Michael Jackson na vibendera kibao vya USA. Vijana hao hao wakawa kwenye concert na bendera hiyohiyo ambayo jana walikuwa wakichoma. Sasa hawa vijana mie siwaamini sana. Naona ni kama nguvu ya soda tu. Pia sijui idadi yao iko kubwa kiasi gani.
Sasa kwa hili labda tu tuseme kuwa "time will tell". Kwangu mie SIPINGI ila siwaamini jamaa. Tutaona itakuwaje huko mbeleni.
 
Gottee,

Ni kweli JK kafika Mbeya jana na leo ndio kaelekea Rungwe. JK hana ziara ya wilaya ya Mbeya mpaka Jumatatu. Sasa hii ya kuzomewa inatoka wapi?

Msafara wa rais unapopita barabarani watu wanajipanga na kila mtu kuongea la kwake. Sasa kama huko ndio kuzomea, basi kazi ipo. Vipi na wanaoshangilia mbona hukuelezea?

Ulivyoandika ilikuwa inaleta impression kwamba rais alikuwa anazomewa kama walivyofanyiwa wale mawaziri mwaka jana kitu ambacho sio kweli. Vijana walikuwa wanatoa dukuduku zao kama ambavyo wanatoa sehemu mbalimbali ambako JK anapita.

Mtanzania,

Sasa dukuduku za hao vijana si zinaweza kuwakilishwa kwa kuzomea ?!
 
Tatizo Mtanzania anajiona yeye ndiye bingwa wa siasa za Mbeya na yeye ndiye mwenye habari za uhakika kuhusu Mbeya.
Kingine Mtanzania pamoja na kuwa mshabiki mzuri wa Mwandosya na pamoja na kujua kuwa lile jinamizi la vikao vya CCM vya mchujo wa mgombea wao wa urais 2005 bado linaitafuna CCM(Mbeya),lakini anajifanya kuwa hakuna mgogoro kama huo Mbeya na watu wa Mbeya waachwe wajadili maendeleo ya mkoa wao(hataki wengine waseme CCM mbeya imegawanyika na kuna fitna,visasi nk kati ya kambi ya Kikwete na Mwandosya)
Mtanzania siyo kwamba anachukia Kuzomewa kwa Kikwete(kama kweli),la hasha!Anachofanya ni kuzuga na moyoni mwake anatamani leo kesho Mwandosya awe Rais wa Tanzania,kitu ambacho hakitakuja kamwe kutokea.
Kwahiyo ukiwa unabishana na mtanzania kuhusu Mbeya basi uyajue na haya pia!
 
Watanzania wenzangu nawapa pole hatuna Rais tuna Ze Comedy tu hapa, Jk hata akizomewa na wa Tz hajali, kwa kuwa anapokelewa vizuri kule USA.
 
Lazy Dog.

Ni hivi, "inasemekana" ina maanisha yeye mwenyewe hana uhakika.

I don't care what the Kamusi says. Mimi ni mswahili, na mtu akinitamkia neno "inasemekana" ina maana hana uhakika. Hajui. Mwisho wa hadithi. Au sio hivyo Lazydog?

Kaanza subject matter ya thread kwa maneno very authoritative "nimepata habari za uhakika." Sentensi ya pili akaanza "Inasemekana." Nikaona oooh yale yale! Sentensi ya tatu akasema "Yasemekana." Nikaona tumekwisha!

Najua lolote linawezekana chini ya jua, lakini ukisema kitu improbable, kama sio outlandish, kama vile watu walilala chini kuzuia motorcade ya Rais isitembee kuna wengine tunategemea utupe zaidi ya habari za uhakika zinazosemekana.

Jamii Forums hapa imekataa kujikita katika mjadala ambao suject matter yake haijulikani kama ni kweli. Kabla ya kusema heko waliomzomea Rais, au kusikitika kwanini Rais wetu amezomewa, watu wametaka kujua kwanza nini kilijiri. Sio ku waste cerebral resources kujadili ma hypothetical na ma habari ya uhakika inayosemekana.



All right man.

But I think he stated the truth toka rohoni mwake, kwa hilo namsifu sana maana haionyeshi popote kwamba ametaka au kujaribu kupotosha. Kama asingetumia neno "inasemekana", ni dhahiri angepotosha, pengine bila kukusudia. Mimi nimeupata ujumbe sahihi kwa jinsi alivyoandika.

Inawezekana kabisa aliamua kutumia maneno "Habari za uhakika" kwa sababu alijua reaction ya watu hapa - wasiotaka tetesi, kwa hiyo akaona haja ya kuitofautisha taarifa yake, na utaona kuna mahala kasema aliskiza hizo kelele kwenye simu, kwa hiyo kuna jambo ana hakika nalo lakini sio yote maana hakuwepo kwenye tukio na hapo ndipo "inasemekana" ilipoingia kwenye picha. Nampa pongezi pia kwa kutumia muda wake kufafanua maelezo yake pale ilipohitajika.


Hii habari ingeletwa na Invisible naamini watu wangeichukulia tofauti. Hivyo basi, tusiwatendee tofauti wengine, na zaidi sana wale walio na post zisizozidi 50.



.
 
Here is the story...

JAPHET SANGA in Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:24

A rowdy mob yesterday briefly heckled President Jakaya Kikwete's motorcade at Mwanjelwa – a brisk business centre here as he started his ten-day tour of the region.

President Kikwete, who was heading to Rungwe district to inspect various development projects, found a crowd waiting for him at Mwanjelwa, demanding that he address them.

The crowd, mainly youths, were chanting songs of discontent that they were jobless and that the cost of living was unbearable – to which the president pledged prompt action but asked them to form a committee that should meet him on October I7 to facilitate such action.

Surprisingly, the rowdy youths could not calm down – even after the president had taken time to listen to their grievances and having asked a leader from the locality to enumerate their problems at length.

"I have heard some of your problems … I advise you to form a committee so that we can meet on October I7 and sort them out," President Kikwete implored who later resumed his journey.According to insiders from the locality, most youths at Mwanjelwa are currently jobless, following an inferno that burnt down the major market in the region in 2006.

"We have no problem with the president, but at least we just wanted to draw his attention that life is unbearable … especially after our major market was gutted by fire and nothing has been done so far."The market was our source of livelihood, but since our merchandise was destroyed by the fire, we have been rendered jobless with no capital to start business again," lamented one youth.

In Rungwe district, Mr Kikwete inaugurated a credit and savings society at Lufingo village and later proceeded to launch the rehabilitation of the Mwakaleli Tea Factory.He was later expected to address a public rally at Tukuyu sports ground. He is scheduled to visit Kyela district this morning.

Meanwhile, President Kikwete has called for increased use of Artificial Insemination (AI) in Mbeya region to raise productivity in the livestock sector.The president, who began his ten-day visit of the region on Thursday, said Mbeya had all the potential of producing quality dairy and poultry products.

He said Mbeya was endowed with a good climate that could facilitate a thriving livestock sector in the production of quality beef, milk and hides.The president made the call in reaction to the regional commissioner's status report on Thursday evening after his arrival in the region.

Habari leo wa wameripoti hivi

Mgaya Kingoba, Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:04

Vijana wa eneo la Mwanjelwa, Manispaa ya Mbeya, jana walitoa kilio chao kwa Rais Jakaya Kikwete, wakitaka awasaidie suala la ajira pamoja na matatizo ya maji.

Vijana hao walilazimika kuingilia kati msafara wa Rais uliokuwa ukitokea mjini Mbeya jana asubuhi kwenda Rungwe kuanza ziara yake ya kikazi ya siku 10 mkoani hapa.

Makundi ya vijana hao waliingia barabarani na kumtaka Rais Kikwete asimame ili azungumze nao baada ya kuona msafara ukipita maeneo hayo bila kusimama. Hali hiyo ililazimu JK na msafara wake kusimama na kusikiliza kero za vijana hao waliojitokeza kwa wingi katika pande mbili zote za barabara.

Katika kero zao, kijana aliyejitambulisha kama Katibu wa Mwanjela, alisema tatizo kubwa linalowakabili ni ukosefu wa ajira pamoja na maji. Baada ya kupokea kero hizo, Kikwete aliwataka vijana hao kuunda kamati yao ambayo atakutana nayo Oktoba 17, mwaka huu, ili kuzungumza nao na kuona ni namna gani wanaweza kutatua matatizo hayo.

"Nawaomba muunde kamati yenu ambayo nitakutana nayo Oktoba 17, mwaka huu, hivi sasa nakwenda wilayani Rungwe hivyo nitakaporejea nitazungumza nanyi," alisema. Rais Kikwete amepangiwa kutembelea jiji la Mbeya Oktoba 13, mwaka huu keshokutwa.

Vijana hao kabla ya Rais Kikwete na msafara wake kusimama, walisikia wakipaza sauti wakitaka maneno, " ajira… ajira na fisadi.. fisadi". Eneo la Mwanjelwa linaweza kufananishwa na eneo maarufu la Manzese Dar es Salaam kwa kuwa na vijana wengi ambao wanajishughulisha na shughuli mbalimbali, wengi wao wakitoka maeneo mbalimbali ndani na nje nchi kama vile Malawi, Zambia na Burundi.

Akiwa katika ziara yake wilayani Rungwe, Kikwete alisimama katika kijiji cha Ntokela, Kiwira Mwankenja, Kiwira Kati na Kimo ambako alizungumza na wananchi na kuahidi kushughulikia matatizo yao mbalimbali yakiwamo maji na suala la pembejeo hasa mbolea na bei yake.

Aidha alifungua Saccos ya Lufingo na baadaye alizindua ukarabati wa kiwanda cha Chai cha Mwakaleli kinachomilikiwa na wakulima wadogo wa Chai wa Rungwe pamoja na kampuni ya Chai ya Tatepa.

Baadaye jana jioni alitarajiwa kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Tandale mjini Tukuyu. Leo Rais Kikwete ambaye amefuatana na mkewe Salma pamoja na mawaziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mwantumu Mahiza, leo atakuwa wilayani Kyela.
 
Kama unaona zaidi ya Pua yako inapoishia, au wewe ni kijana, au una watoto wako au wa ndugu yako, au kijijini kwenu kuna watoto.... hutadhubutu hata siku moja kumsifia Kikwete.

Timu yote ya CCm ni watu wazima waliokwishastaafu na wanaotakiwa kwa lazima kustaafu. They must die while we may die. Hao sio ndugu zetu.

Shame upon our poor sight!

Hii haimaanishi hata hivyo kuwa wajinga wote wataisha.
 
Here is the story...

JAPHET SANGA in Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:24

A rowdy mob yesterday briefly heckled President Jakaya Kikwete’s motorcade at Mwanjelwa – a brisk business centre here as he started his ten-day tour of the region.

President Kikwete, who was heading to Rungwe district to inspect various development projects, found a crowd waiting for him at Mwanjelwa, demanding that he address them.

The crowd, mainly youths, were chanting songs of discontent that they were jobless and that the cost of living was unbearable – to which the president pledged prompt action but asked them to form a committee that should meet him on October I7 to facilitate such action.

Surprisingly, the rowdy youths could not calm down – even after the president had taken time to listen to their grievances and having asked a leader from the locality to enumerate their problems at length.

“I have heard some of your problems … I advise you to form a committee so that we can meet on October I7 and sort them out,” President Kikwete implored who later resumed his journey.According to insiders from the locality, most youths at Mwanjelwa are currently jobless, following an inferno that burnt down the major market in the region in 2006.

“We have no problem with the president, but at least we just wanted to draw his attention that life is unbearable … especially after our major market was gutted by fire and nothing has been done so far.“The market was our source of livelihood, but since our merchandise was destroyed by the fire, we have been rendered jobless with no capital to start business again,” lamented one youth.

In Rungwe district, Mr Kikwete inaugurated a credit and savings society at Lufingo village and later proceeded to launch the rehabilitation of the Mwakaleli Tea Factory.He was later expected to address a public rally at Tukuyu sports ground. He is scheduled to visit Kyela district this morning.

Meanwhile, President Kikwete has called for increased use of Artificial Insemination (AI) in Mbeya region to raise productivity in the livestock sector.The president, who began his ten-day visit of the region on Thursday, said Mbeya had all the potential of producing quality dairy and poultry products.

He said Mbeya was endowed with a good climate that could facilitate a thriving livestock sector in the production of quality beef, milk and hides.The president made the call in reaction to the regional commissioner’s status report on Thursday evening after his arrival in the region.

Habari leo wa wameripoti hivi

Mgaya Kingoba, Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:04

Vijana wa eneo la Mwanjelwa, Manispaa ya Mbeya, jana walitoa kilio chao kwa Rais Jakaya Kikwete, wakitaka awasaidie suala la ajira pamoja na matatizo ya maji.

Vijana hao walilazimika kuingilia kati msafara wa Rais uliokuwa ukitokea mjini Mbeya jana asubuhi kwenda Rungwe kuanza ziara yake ya kikazi ya siku 10 mkoani hapa.

Makundi ya vijana hao waliingia barabarani na kumtaka Rais Kikwete asimame ili azungumze nao baada ya kuona msafara ukipita maeneo hayo bila kusimama. Hali hiyo ililazimu JK na msafara wake kusimama na kusikiliza kero za vijana hao waliojitokeza kwa wingi katika pande mbili zote za barabara.

Katika kero zao, kijana aliyejitambulisha kama Katibu wa Mwanjela, alisema tatizo kubwa linalowakabili ni ukosefu wa ajira pamoja na maji. Baada ya kupokea kero hizo, Kikwete aliwataka vijana hao kuunda kamati yao ambayo atakutana nayo Oktoba 17, mwaka huu, ili kuzungumza nao na kuona ni namna gani wanaweza kutatua matatizo hayo.

“Nawaomba muunde kamati yenu ambayo nitakutana nayo Oktoba 17, mwaka huu, hivi sasa nakwenda wilayani Rungwe hivyo nitakaporejea nitazungumza nanyi,” alisema. Rais Kikwete amepangiwa kutembelea jiji la Mbeya Oktoba 13, mwaka huu keshokutwa.

Vijana hao kabla ya Rais Kikwete na msafara wake kusimama, walisikia wakipaza sauti wakitaka maneno, “ ajira… ajira na fisadi.. fisadi”. Eneo la Mwanjelwa linaweza kufananishwa na eneo maarufu la Manzese Dar es Salaam kwa kuwa na vijana wengi ambao wanajishughulisha na shughuli mbalimbali, wengi wao wakitoka maeneo mbalimbali ndani na nje nchi kama vile Malawi, Zambia na Burundi.

Akiwa katika ziara yake wilayani Rungwe, Kikwete alisimama katika kijiji cha Ntokela, Kiwira Mwankenja, Kiwira Kati na Kimo ambako alizungumza na wananchi na kuahidi kushughulikia matatizo yao mbalimbali yakiwamo maji na suala la pembejeo hasa mbolea na bei yake.

Aidha alifungua Saccos ya Lufingo na baadaye alizindua ukarabati wa kiwanda cha Chai cha Mwakaleli kinachomilikiwa na wakulima wadogo wa Chai wa Rungwe pamoja na kampuni ya Chai ya Tatepa.

Baadaye jana jioni alitarajiwa kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Tandale mjini Tukuyu. Leo Rais Kikwete ambaye amefuatana na mkewe Salma pamoja na mawaziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mwantumu Mahiza, leo atakuwa wilayani Kyela.

...and this is from the Daily News? A pro government newspaper? Case closed!
 
Walizomea au hawakuzomea?

Walizomea.
Hawakuzomea.
Walilala babarani.
Gazeti halikusema hivyo.

Umbeya mtupu.

Nani mbeya?? Koma!!

Pangu pakavu niwekee mchuzi na kipande cha finyango.
 
...and this is from the Daily News? A pro government newspaper? Case closed!

Bila kupinga ufisadi, vyeti feki hakuna maendeleo yoyote yatakayo pigwa tanzania hii, hata kama watu wakijitahidi namna gani, maana ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo yenye matundu
 
Habari za uhakika nilizozipata kutoka Mbeya zinasema Rais JK leo ameanza kuonja joto ya jiwe pale alipokuwa akipita maeneo ya Mwanjelwa. Inasemekana msafara wa Rais ulisimama na Rais akajitokeza kwa juu kuwasalimia wananchi. Mara alipomaliza kuwasalimia wananchi walianza kuzomea huku wakisema: 'Mafisadi, Mafisadi, Mafisadi!' Msafara ulipoanza kuondoka wananchi waliendelea kumsindikiza Rais na huku wakiendelea kuzomea neno 'Mafisadi' Yasemekana Rais aliambiwa kuwa anasubiriwa pia kule Uyole!


Mkuu gottee,

Heshima mbele sana bro, hapa tupo ukurasa mmoja, tena ninakuaminia na hii habari ni ukweli ulio 100%, maana nimethibitisha mwenyewe kutoka huko Mbeya kwenye msafara.

Naomba uendelee kuleta vitu zaidi kutoka huko Mbeya, maana wengi tunakuaminia.
 
Here is the story...

JAPHET SANGA in Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:24

A rowdy mob yesterday briefly heckled President Jakaya Kikwete's motorcade at Mwanjelwa – a brisk business centre here as he started his ten-day tour of the region.

President Kikwete, who was heading to Rungwe district to...
#
#
#
#
#





....was endowed with a good climate that could facilitate a thriving livestock sector in the production of quality beef, milk and hides.The president made the call in reaction to the regional commissioner's status report on Thursday evening after his arrival in the region.

Habari leo wa wameripoti hivi

Mgaya Kingoba, Mbeya
Daily News; Friday,October 10, 2008 @20:04

Vijana wa eneo la Mwanjelwa, Manispaa ya Mbeya, jana walitoa kilio chao kwa Rais Jakaya Kikwete, wakitaka awasaidie suala la ajira pamoja na matatizo ya...



Small error?



.
 
Mimi naona ya kusema Raisi wetu kazomewa haija ka-sawa, ni vizuri tuka sema Raisi ashangiliwa Fisadi... Fisadi ( Mafisadi.... Mafisadi), hii kidogo hai-haribu jina na heshima ya kiongozi wetu
 
Kuhani ni vema kurekebishana lugha pale inapobidi..........however, kitu gani kisichoeleweka hapa? usichanganye watu.......wewe kama hujui sarakasi za lugha usibabaishe watu hapa............kwa ufupi alivyoeleza......gotte ni kuwa kilichosemekana ni cha uhakika........so whats the freak here!!!!

kuna section ya Lugha hapa JF, "just chop off the paragraph unayoona imeleta incoherent ya habari nzima" peleka kule tukafundishane kiswahili

Kuhani,
1........kuna kabila wanasema "Mbuzi amekula mahindi"..........na kabila jengine wanasema "mahindi amekula Mbuzi".....the fact ni kuwa either kuna kiumbe kinaitwa mahindi kimekula mbuzi au ni mbuzi ndie aliyekula mahindi

2.gotte angeweza vile vile kutumia neno "imeelezwa" badala ya neno "inasemekana"
....endapo kwenye habari yake angeanza kwa kusema "habari zisizothibitishwa" still angekuwa sahihi.......

once again kilichosemakana kimethibitishwa na yeye sasa kasema habari za uhakika.....
 
wamejitahidi kidogo kufanya hivyo na wenyewe wanaonyesha kuwa hawapo chini wanajua kila kitu kinachoendelea duniani...Na jinsi zinavyoliwa na wenyewe wanajua pia
 
lazydog : lazydog is thinking of change
JF Senior Expert Member Join Date: Thu Apr 2008

Re: Kikwete Azomewa Mwanjelwa

Quote:
Originally Posted by Kuhani
Lazy Dog.

Ni hivi, "inasemekana" ina maanisha yeye mwenyewe hana uhakika.

I don't care what the Kamusi says. Mimi ni mswahili, na mtu akinitamkia neno "inasemekana" ina maana hana uhakika. Hajui. Mwisho wa hadithi. Au sio hivyo Lazydog?

Kaanza subject matter ya thread kwa maneno very authoritative "nimepata habari za uhakika." Sentensi ya pili akaanza "Inasemekana." Nikaona oooh yale yale! Sentensi ya tatu akasema "Yasemekana." Nikaona tumekwisha!

Najua lolote linawezekana chini ya jua, lakini ukisema kitu improbable, kama sio outlandish, kama vile watu walilala chini kuzuia motorcade ya Rais isitembee kuna wengine tunategemea utupe zaidi ya habari za uhakika zinazosemekana.

Jamii Forums hapa imekataa kujikita katika mjadala ambao suject matter yake haijulikani kama ni kweli. Kabla ya kusema heko waliomzomea Rais, au kusikitika kwanini Rais wetu amezomewa, watu wametaka kujua kwanza nini kilijiri. Sio ku waste cerebral resources kujadili ma hypothetical na ma habari ya uhakika inayosemekana.



All right man.

But I think he stated the truth toka rohoni mwake, kwa hilo namsifu sana maana haionyeshi popote kwamba ametaka au kujaribu kupotosha. Kama asingetumia neno "inasemekana", ni dhahiri angepotosha, pengine bila kukusudia. Mimi nimeupata ujumbe sahihi kwa jinsi alivyoandika.

Inawezekana kabisa aliamua kutumia maneno "Habari za uhakika" kwa sababu alijua reaction ya watu hapa - wasiotaka tetesi, kwa hiyo akaona haja ya kuitofautisha taarifa yake, na utaona kuna mahala kasema aliskiza hizo kelele kwenye simu, kwa hiyo kuna jambo ana hakika nalo lakini sio yote maana hakuwepo kwenye tukio na hapo ndipo "inasemekana" ilipoingia kwenye picha. Nampa pongezi pia kwa kutumia muda wake kufafanua maelezo yake pale ilipohitajika.


Hii habari ingeletwa na Invisible naamini watu wangeichukulia tofauti. Hivyo basi, tusiwatendee tofauti wengine, na zaidi sana wale walio na post zisizozidi 50.

Simply idiotic and pure nonesense! Grow up man, stop this foolishness!
 
PM:Kalenge :Kalenge mpiganaji
Member Join Date: Sat Jul 2008

mjinga wewe

Inaonekana mama YAKO alikufundisha vizuri sana hili neno IDIOT/IDIOTIC.

KUNA WAKATI HUNA LA MAANA LA KUSEMA WEWE UNALAZIMISHA TU KUSEMA IDIOTIC

UNGEKUWA MODERATOR NAONA UNGEFUNGIA WENGI

KWA MFANO KATIKA HOJA ZAKO MTU AKIKOPY NA AKAMALIZIA F'U! UTASEMAJE?

HAYA SASA WEWE F'U? M'NGE,

UNAJI..VIDOLE

KAMA UNATAKA NIFUNGIE, MSHEZI MKUBWA WEWE.

UMEZALIWA

KOMA TENA UKOMAE KUITA WATU IDIOT,

WEWE NIMTU WA KIKWETE TUNAKUFAHAMU NA MUDA SIMREFU TUTA KU EXPOSE,

WEWE NDIO IDIOT WHO ARE YOU?

wewe jibu hii unone kuwa kuna ma expat wa matusi

hi wewe ni nani si taahira wewe?

More idiotic and pure nonesense! Too low kwa level yangu kwa sababu ni more idiotic!

Yaani na hili kumbe ni jina lako what an idiot! Siwezi kushuka kwenye level yako, na siwezi kukupa nafasi ya kuiharibu hii forum, never!

Unazidi kuji-expose yourself of how an idiot you are na matusi yako ya kibara! Nothing but a low creature!
 
PM :Kalenge

una standard gani wewe, kuwa JF una standard gani zaidi ya umaskini na kutaka hela za akina KiKWETE?

, hakuogopi mtu hapa , nina wewe mpaka nione mwisho wake, nitakunyima raha

Again too low, kwa level yangu at least now wana-JF watajionea ni kwa nini una hasira sana na mimi, kumbe una wivu wa hatari sana, ndio maana siku ile ya sherehe ya Mama Migiro kidogo upasuke kwa hasira unajua kila mtu aliyejua aliikuwa akikuangalia kwa huruma sana ulivyokuwa ukihangaika na wivu na hasira,

Bwa! ha! ha! ha! ha! ha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom