Gottee
R I P
- Sep 7, 2008
- 174
- 1
- Thread starter
- #61
Gottee,
Ni kweli JK kafika Mbeya jana na leo ndio kaelekea Rungwe. JK hana ziara ya wilaya ya Mbeya mpaka Jumatatu. Sasa hii ya kuzomewa inatoka wapi?
Msafara wa rais unapopita barabarani watu wanajipanga na kila mtu kuongea la kwake. Sasa kama huko ndio kuzomea, basi kazi ipo. Vipi na wanaoshangilia mbona hukuelezea?
Ulivyoandika ilikuwa inaleta impression kwamba rais alikuwa anazomewa kama walivyofanyiwa wale mawaziri mwaka jana kitu ambacho sio kweli. Vijana walikuwa wanatoa dukuduku zao kama ambavyo wanatoa sehemu mbalimbali ambako JK anapita.
NI MANENO YANGU AU YAKO MTANZANIA?
NINAWASIHI WATANZANIA KUWA WENYE NIDHAMU NA KUHESHIMIANA KWA MDOGO NA MKUBWA.
FDR.Jr
Hao ni kina Spin doctors on duty!!!