Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Nakusalimia Kidumu Chama Cha MapinduziMisukule huwa haijitambui wala kujali na nyie vijana wa chama zee mpo hivyo hivyo watu wa mserereko na ukiwaangalia ni watu wa kanda flani flani.
Nyie endeleeni kuteseka sisi tunadunda tuuuWalisombwa na mabadiliko hewa hadi leo akili hazijawakaa sawa
Miaka 50+ halijafika tu hiyo sikuTeseni kwa zamu, ipo siku yenu.
Kweli mkuuBavicha waongoza kwa sonona
Walisombwa na mabadiliko hewa hadi leo akili hazijawakaa sawa
Mwanaume uko CCM tena kijana kwakweli nakuona kama demu wangu Suzy mwenye GonoreaHabari ndo hiyo, yaani hata huku jukwaani nyuzi za vijana wa BAVICHA ni zakinyonge mno, mara hawaiamini tume hii iliyowatangaza Sugu, Mbowe, Lema, Msigwa na wengine kuwa wabunge.
Mara hawawaamini polisi wanaolinda raia na mali zao mara wanadai katiba
Kwakifupi hawa machalii wa BAVICHA wanaishi kwa hofu na mashaka kama mashetani
Upande wapili vijana wa UVCCM ni shangwe tu kila kukicha.
Sasa nyie BAVICHA sikieni niwaambie, furaha inaongeza umri wa kuishi, CCM ni chama chenye furaha ndomaana kimeshika dola kwa miaka zaidi ya 50 na kinadunda tu.
Fuatilia utajua vyama vya upinzani vinajiua kwa manung'uniko kila kukicha.
Msalimieni DJ Gambe yeye ndo mtu pekee mwenye furaha huko ufipa wengine wote ni huzuni tu.
Dada ako mbona yupo bavicha?Hivi icho kikundi kinachojiita Bavicha ni kikundi gani...?kundi halina hata kadi...genge la wahuni.
Ni mjinga mwenzakoDada ako mbona yupo bavicha?
Lini utateuliwa mkuu?Ni mjinga mwenzako