Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Habari ndio hiyo, yaani hata huku jukwaani nyuzi za vijana wa BAVICHA ni zakinyonge mno, mara hawaiamini tume hii iliyowatangaza Sugu, Mbowe, Lema, Msigwa na wengine kuwa wabunge.
Mara hawawaamini polisi wanaolinda raia na mali zao mara wanadai katiba😂😂😂😂
Kwakifupi hawa machalii wa BAVICHA wanaishi kwa hofu na mashaka kama mashetani😂😂😂
Upande wapili vijana wa UVCCM ni shangwe tu kila kukicha.
Sasa nyie BAVICHA sikieni niwaambie, furaha inaongeza umri wa kuishi, CCM ni chama chenye furaha ndio maana kimeshika dola kwa miaka zaidi ya 50 na kinadunda tu.
Fuatilia utajua vyama vya upinzani vinajiua kwa manung'uniko kila kukicha.
Msalimieni DJ Gambe yeye ndio mtu pekee mwenye furaha huko Ufipa wengine wote ni huzuni tu.
Mara hawawaamini polisi wanaolinda raia na mali zao mara wanadai katiba😂😂😂😂
Kwakifupi hawa machalii wa BAVICHA wanaishi kwa hofu na mashaka kama mashetani😂😂😂
Upande wapili vijana wa UVCCM ni shangwe tu kila kukicha.
Sasa nyie BAVICHA sikieni niwaambie, furaha inaongeza umri wa kuishi, CCM ni chama chenye furaha ndio maana kimeshika dola kwa miaka zaidi ya 50 na kinadunda tu.
Fuatilia utajua vyama vya upinzani vinajiua kwa manung'uniko kila kukicha.
Msalimieni DJ Gambe yeye ndio mtu pekee mwenye furaha huko Ufipa wengine wote ni huzuni tu.