Vijana wa Tanzania wanawaza Fiesta - Samwel Sitta

fiesta, ngono, ulevi ndio vinawabamba halafu baadae wanalalamika serikali haiwafanyii kitu. lets change with the world men!
<br />
<br />
Kama fiesta ni vyote hivyo serikali inampango gani?
 
Tz yetu sasa yaendeshwa na malumbano kuliko vitendo je tuseme ndo mwisho wakufikiri?
 
Jk anawaza nini zaidi ya mafiesta? Six asitufananishe na hao wahuni wenzake. Lini wamejaribu kuwawezesha vijana wa kitanzania kiuchumi na kimaisha? Akili za kukopa jamani!
 
Kasema ukweli mtupu,yan wanafunz wa tz mambo ya kipuuzi ndio wanajua,mf.kile kipindi cha skonga cha Eatv,madenti wakiulizwa maswali ya msingi hawajui kabisa,wanajiumauma tu,ila pale mwshon kwny kuchagua nyimbo zinazotamba ndio utawaona vizuri.
<br />
<br />
hapo umeongea na kile kipindi kipo kwa ajili ya kuelimisha na kulinganisha wanafunzi wanao soma st kayumba na shule private wajione wako sawa.

hiki kipindi bora sana na jamaa anakubalika sana kutokana na kuwa uliza vijana chemsha bongo kibao ka enzi za abdalah majura na kipusa..
 
Tz yetu sasa yaendeshwa na malumbano kuliko vitendo je tuseme ndo mwisho wakufikiri?
<br />
<br />
unajua nini mkuu shine kama mtu anaona hanajipya na roho yake ipo kimaslahi zaidi ndio hapo sasa anapoaanza na mambo ya majungu na umbea tu baada ya kufanya kazi na hapa inaonekana kabisa viongozi wetu wanafikiri kwa kutumia masaburi zaidi kuliko akili..
 
WAKUU KINGINE CHA WATANZANIA KUTO KUAMINIKA NI WIZI.
- WATANZANIA NI WEZI SANA, MIMI NITATOA MFANO WA MASHILIKA KADHAA.

1. Worldvision ni shilika la kimataifa ni linaoperate katika nchi nyingi sana na hata kenya lipo,Hili shilika huongozwa na Raia wa nchi husika yaani Mkurugenzi mkuu wa Worldvison Tanzania au Kenya razima awe mzawa. But kwa Tanzania imeshindikana kisa wizi wameamua kumuweka mkenya kama sikosei ndo Directa wa Worldvison Tanzania

2 Kuna mashirika kibao ya kimataifa c tayataja majina ambayo Kaimu Mkurugenzi wa mashirika hayo katika nchi husika lazima awe Raia wa hiyo nchi but Mengi ya hayo mashirika na NGOs za kimataifa imeshindikana kuwaweka wa Tanzania kisa Wizi.

3. Ukiona Makampuni mengi yanaajiri wahasibu na wafanya kazi wakigeni c kwamba watanzania c competent no ni wizi. watanzania wanaaminka kwa kuiba.

4. Wafanya kazi wakitanzania wanaofanya kwenye mahoteri ya kitarii ukienda nyumbani kwakwe utakuta glass, vikombe, mataoro, mashuka na kazalika vyenye nembo ya hotel hapo ndo unaishiwa nguvu,

WIZI NAO NI SABABU KUBWA SANA, MADREVA WATANZANI WANAPIGA NYOKA MAFUTA C MCHEZO NA HIVI SASA HATA MADREVA WANATOLEWA KENYA.
 
watachangamkaje wakati english yenyewe ni ya ...i was,..i is...iam going yesterday....tujifunze this language of her majesty ndio tunaweza kucompete na waganda na wakenya,..hautasahau kiswahili chako kwa kujifunza hii lugha yao
<br />
<br />
Big up man, mawazo chanya hayo lugha pia ni kikwazo katika ushindani.
 
Sasa kama ndio ukweli wenyewe mlitaka aseme nini?
<br />
<br />
Huo ni Ukweli mtupu! Fiesta ni upuuzi mtupu na maangamizi kwa Taifa la leo na kesho. Hii kitu inapaswa ipigwe marufuku, vijana wa Tanzania hawajui matatizo yanayowaandama, hawajui haki zao, hawana ujasiri ktk kutetea maslahi yao! Tofauti na Wakenya wanaochangamkia kila nafasi bora wanayoiona! Watz waulize Pamba na kujirusha, wakiwa wataalam sana wanaongeza ushirikina. Hata kwenye michezo ushirikina tu.
 
Hapa yapo maeneo mawili ya kuyaangalia

Kwanza : Serikli ilitakiwa iandae mazingira mahususi kwa vijana ili kuweza kukabili soko la EA ,sasa utashangaa viongozi wanwalaumu vijana (wananchi) wakati mikakai mahusus haipo ya kumwezesha huyu kijana ku-overcome hizi challenges! mfano mmojawapo ni elimu mbovu inayotolewA na mitaala yetu mashuleni kuanzia pr. hadi vyuoni, huku wao wakiwapeleka watoto wao nje ya nchi kupata elimu bora.

Pili: Vijana wanatakiwa waamke kisiasa kubadilisha serikali iliyopo maaaana inaonekana sio sikivu kwa kelele zote hizi zinazopigwa ,tufanye mapinduzi kuweka serikali itakayojali maslai ya taifa kwanza na sio mtu mmoja mmoja.
 
<br />
<br />
big up man, mawazo chanya hayo lugha pia ni kikwazo katika ushindani.

una data za hiki unacho sema? Rwanda kingereza hawajui wanatumia sana kinyarwamda na kifaransa. Wachina pale kariakoo mbona wanaongea kichina tu?
 
Kweli Vijana wa Tanzania wanaweza Fiesta tu.
Mfano si tumeona wakati wakupiga kura wamejitokeza wazee tu, lakini kwenye Fiesta mpaka nafasi zikakosekana vijana walivyokuwa wengi
 
Hapa yapo maeneo mawili ya kuyaangalia

Kwanza : Serikli ilitakiwa iandae mazingira mahususi kwa vijana ili kuweza kukabili soko la EA ,sasa utashangaa viongozi wanwalaumu vijana (wananchi) wakati mikakai mahusus haipo ya kumwezesha huyu kijana ku-overcome hizi challenges! mfano mmojawapo ni elimu mbovu inayotolewA na mitaala yetu mashuleni kuanzia pr. hadi vyuoni, huku wao wakiwapeleka watoto wao nje ya nchi kupata elimu bora.

Pili: Vijana wanatakiwa waamke kisiasa kubadilisha serikali iliyopo maaaana inaonekana sio sikivu kwa kelele zote hizi zinazopigwa ,tufanye mapinduzi kuweka serikali itakayojali maslai ya taifa kwanza na sio mtu mmoja mmoja.

MITARA YA ELIMU YA BONGO NA KENYA AU UGANDA HAZITOFAUTIANI LABDA KWENYE SWALA LA KINGEREZA.

1. Watanzania tumeharibiwa na Ujamaa, kila kitu tunataka serikali ifanye, kenya huwezi kuta watu wanasema serikali haijafanya, wanakomaa wenyewe.

2 Hivi ishu kama ya biashara tunataka serikali ndo itutafutie masoko cc tumelala?

3. Watanzania hatukuwahi Kupata matatizo that is whay, Mfano wa huku Arusha utakuta mtanzania kafungua hotel yake kajaza ndugu kibao unahudumiwa wakati huo mhudumu ameweka headphone masikioni au anakuhudumia wakati huo anasikiliza simu. JE GAVAMENT INAHUSIKA VIPI HAPO?

4. Ishu ya mfano Masupermaket kuagiza Matunda kutoka nje ya nchi mfano South Africa ni swa kabisa. Cheki kule mheza, ukienda kununua machungwa unatakuta mazima ni robo tu mengine yote feki, HAPO JE?

5. wizi wa wafanyakazi wakibongo. Hili mimi ninauhakika nalo 100% watanzania wengi wakiwekwa hata kwenye nafasi ya uhasibu ni kuiba tu. Makampuni ya watalii yanafikilia kuwatumia wakenya na waganda kwenye ishu za kuendesha magari kisa watanzania wanapiga nyoka mafuta si mchezo. HAPA GAVAMENT INAHUSIKA VIPI? AU INALAUMIWA VIPI?

WATANZANIA TUSIPO BADILIKA TULIA
 
Kweli Vijana wa Tanzania wanaweza Fiesta tu.
Mfano si tumeona wakati wakupiga kura wamejitokeza wazee tu, lakini kwenye Fiesta mpaka nafasi zikakosekana vijana walivyokuwa wengi

MKUU NI SAHIHI KABISA, watanzania tunapenda starehe kuliko kitu chochote kile.
. VIJANA MTAANI HUWEZI HATA SIKU MOJA WAKUTA WANAONGELEA JINSI YA KUJIKWAMUA NA UMASIKINI AU MIKAKATI YAO YA KUFANYA MABADILIKO, UTAWAKUTA WANAZUNGUMZIA BONGOFREVA, MACHESTA, ARSENAL, BACELONA NA KAZALIKA.

- MAGAZETI UTAKUTA VIJANA NA HATA WAOMI MAGAZETI YOA NI YA UDAKU TU NDO WANASOMA, MAGAZETI MENGINE YENYE MAKALA NZURI KWA FAIDA ZAO HAWANUNUI.

- TAARIFA ZA HABAR HAWAANGALII, WANACHEKI, MIZIKI TU. NA TAMTHILIA
 
hiyo ni kweli kabisa vijana wengi wanwaza upuuzi kama fiesta, nini umuhimu wa fiesta katiaka maisha ya nchi kama hii ambayo kila mwaka ni bora ya mwaka jana, wafanya biashar wanatumia uwezo mdogo wa vijana wa TZ kufiliria ili kupata ela. just wait hard life is gaining its momentam under ccm gvnt.
 
hiyo ni kweli kabisa vijana wengi wanwaza upuuzi kama fiesta, nini umuhimu wa fiesta katiaka maisha ya nchi kama hii ambayo kila mwaka ni bora ya mwaka jana, wafanya biashar wanatumia uwezo mdogo wa vijana wa TZ kufiliria ili kupata ela. just wait hard life is gaining its momentam under ccm gvnt.

true kabisa mkuu.
 
Sitta is an intrepid character and never misses his words, however, relating youth indolence with FIESTA was rather uncorrelative comparison.

Wewe acha kuonesha jinsi unavyo meza maneno magamu ya kiingereza,andika kingereza rahisi kinacho eleweka tena fasaha,vinginevyo unajribu kujioneyesha kwamba unajua sana kingereza kumbe wapi! Usipoeleweka vizuri basi ujue hiyo huijui na si sifa kufanya hivyo!

Unanichekesha kweli aisee na maneno ya kutafuta kwenye kamusi.haya bwana tumekusikia mzee wa intrepid aka indolence!
 
Wewe umeelimika? habu tupe maana ya neno hilo nililokuwekea nyekundu, na ni neno lipi hilo?

Wewe ndiyo umeelimika usielewa hata maana ya kuelevuka!ila ukweli uko palepale! na wewe unipe maana ya neno habu uliloandika!
 
Sitta amekurupuka,

Kama vijana wa kitanzania wameweza kujikuza na kujiajiri katika sanaa ya kimuziki na kuwashinda hata wakenya bila ya msaada wa serikali alitakiwa awasifie badala ya kuwakandia.

Vijana wengine nao waige mfano wa wasanii wakazane katika nyanja nyingine kama sayansi na teknolojia ya mawasiliano, utalii n.k.

Akumbuke kuwa haitawezekana watanzania wote wakawa ma-engineer au ma-daktari, au wana-michezo.
 
WAKUU KINGINE CHA WATANZANIA KUTO KUAMINIKA NI WIZI.
- WATANZANIA NI WEZI SANA, MIMI NITATOA MFANO WA MASHILIKA KADHAA.

1. Worldvision ni shilika la kimataifa ni linaoperate katika nchi nyingi sana na hata kenya lipo,Hili shilika huongozwa na Raia wa nchi husika yaani Mkurugenzi mkuu wa Worldvison Tanzania au Kenya razima awe mzawa. But kwa Tanzania imeshindikana kisa wizi wameamua kumuweka mkenya kama sikosei ndo Directa wa Worldvison Tanzania

2 Kuna mashirika kibao ya kimataifa c tayataja majina ambayo Kaimu Mkurugenzi wa mashirika hayo katika nchi husika lazima awe Raia wa hiyo nchi but Mengi ya hayo mashirika na NGOs za kimataifa imeshindikana kuwaweka wa Tanzania kisa Wizi.

3. Ukiona Makampuni mengi yanaajiri wahasibu na wafanya kazi wakigeni c kwamba watanzania c competent no ni wizi. watanzania wanaaminka kwa kuiba.

4. Wafanya kazi wakitanzania wanaofanya kwenye mahoteri ya kitarii ukienda nyumbani kwakwe utakuta glass, vikombe, mataoro, mashuka na kazalika vyenye nembo ya hotel hapo ndo unaishiwa nguvu,

WIZI NAO NI SABABU KUBWA SANA, MADREVA WATANZANI WANAPIGA NYOKA MAFUTA C MCHEZO NA HIVI SASA HATA MADREVA WANATOLEWA KENYA.
Hayo mashirikika ya nje si yanadili na serikali yetu?Wanawachukulia hao kama reflection ya wananchi.Viongozi wangekuwa honest,basi mashirika na makampuni hayo yasingefanya wanavyofanya.Wanapiga deals na serikali wanaijuwa inside out ilivyo chafu.

Hata watanzania nao wangekuwa na uwezo nadhani wangeajiri serikali ya watu kutoka nje iwafanyie safisha safisha na kulijenga Taifa.No wonder kuna mwana JF alisema tumwajiri RA kama rais wetu.
 
Back
Top Bottom