Vijana wa Tanzania wanawaza Fiesta - Samwel Sitta

Na ndiyo maana mimi siwazimii kabisa viongozi wetu,yani bure kabisa,na hawawezi kukwepa lawama.Nani kawaambia wawe viognozi kama hawajui maana halisi ya kuwa kiongozi?Waelezee ni mipango gani ama hatua gani ambazo wameshawahi kuzichukua ili kuliondoa tatizo hilo na hapo ndo hutapata jibu.Ila ikija kwenye maneno ya kihuni hao ndo namba moja.Huwezi kupewa madaraka na wananchi halafu ukashindwa kuwapa mwongozo na badala yake unawalima vijembe kana kwamba wao ndo wanawatumikia ninyi viongozi badala ya nyie viongozi kuwatumikia wananchi.Nchi hovyo kabisa na viongozi ndo wamesababisha.
hiyo miwani na hayo maneno maana yake nini? AMKA WEWE
 
Wachangiaji wengi ni sisi vijana kwa hiyo dongo hilo letu tusikasirike jamaa wanakuja kasi. Rwanda na Burundi wametangaza nafasi 1000 za walimu wa kiswahili, hawajabahatisha wanataka wasomi wao wakijue kiswahili kusudi wakija kuomba kazi bongo iwe rahisi kwao kujua mazingira mapema.
Na kwa tabia zetu mgeni akija kwetu anajua kiswahili tunamkumbatia kama mtoto wa mjomba, na ardhi tutampa sisi wenyewe.
Jamaa wapo kimkakati zaidi miaka minne kwao au nane si tija wanajua wanachokitaka.
Hao warundi na wanyarwanda hizo nafasi 1000 wanazozitoa zinahusianaje na uchamgamfu wa wananchi wao?Si ni maono ya viongozi wao na ndiyo maana wanatayarishwa?Uongozi wetu nauchukia sina words.Angalia mikakati ya viongozi wa nchi za wenzetu.Sasa wananchi hao wangeambiwa tu wachangamke wajifunze kiswahili wao wenyewe?

Nafikiria kuachana na uraia wa bongo.Seriously!Nikirudi labda niwe mpiganaji wa porini kuwaondoa hao wanaojiita viongozi.I would rather be a freedom fighter,otherwise denouncing my citizenship is the other option i am contemplating.Damn it!
 
hiyo miwani na hayo maneno maana yake nini? AMKA WEWE
Wewe umekufa kimawazo.Yani una fikra mfu.Hakuna msaada.Ni bora wa kuamshwa kuliko marehemu wa kimawazo.Mi sifwati mkumbo eti kwasababu almost wachangiaji wote wanafagilia upupu!Only a dead fish goes with the flow.
 
Wewe umekufa kimawazo.Yani una fikra mfu.Hakuna msaada.Ni bora wa kuamshwa kuliko marehemu wa kimawazo.Mi sifwati mkumbo eti kwasababu almost wachangaiaji wote wanafagilia upupu!Only dead fish goes with the flow.
the live fish cut across the flow that is total gentletism. im not a dead samaki to follow the water stream. my fins a steady enough.
 
Hili ndio tatizo laku-reform Private sector before Public Sector; ingetakiwa tuombe wawekezaji kwenye sector za Umeme, Maji, Elimu, Afya, kabla ya kutafuta uwekezaji kwenye makampuni ya Bia, Sigara, Simu za mkononi, DSTV.... the result is a nation of uneducated but exposed youth society... sasa what do you think they are more interested in Economics or Big Brother?????
Point noted CottonEyeJoe,
Hayo ndo maneno.Na si hizi blah blah.Mkuu usipotee kiasi hicho.Nimeupenda mchango wako huu.
 
NO REASERCH NO RIGHT TO SPEECH Mheshimiwa alikurupuka kama those days wapizani wanamambo ya KINAFIKINA
 
the live fish cut across the flow that is total gentletism. im not a dead samaki to follow the water stream. my fins a steady enough.
Rudi kwenye pointi sasa,hao waalimu 1000 wanaohitajika Burundi na Rwanda si mipango ya viongozi wao?
 
Ipogolo et al,nasubiri jibu,nimesubiri for two hours,ama wale wenye mawazo sawa na ya kwako wakusaidie.Kuna mwenye maswali,maoni nk?Mko wapi pro viongozi,pro mafisadi waliotuletea umasikini huku wao wakiwa matajiri?Ama uchangamfu wa wizi?
 
I don't think I should respond to this crown but lets say the do has brain in his nails. Tell him to get out with his stupidity and go take care his kids. Tired of criminals try to speak as leaders, who gave him those positions? Everyday we are learning more and more about ccm brains ....
 
Watanzania wanadhani kuchangamka ni kuwa na madegree na Ma CPA unakuta mtu ana li MBA lakini output ya form IV. Katika ulimwengu wa sasa issue sio madegree watanzania tunakosa ''soft skills'' ndizo kasema Sitta kwa lugha nyingine. Madegree na mavyeti tunayo kama Waganda na wakenya. Lakini jiulize kwa nini foreign embassy, international NGOs na UN agencies mabwana fedha wengi ni wakenya?

Hata Star Times kampuni ya kigeni bongo imeajiri front office staff kutoka Kenya. Mbona ofisi za Star Times pale Upper Hill Nairobi hakuna Mbongo? licha ya ofisi hizo kuwa mtaa wa Kilimanjaro................ Hata wachina wanatudharau...............inauma sana.
 
Watanzania wanadhani kuchangamka ni kuwa na madegree na Ma CPA unakuta mtu ana li MBA lakini output ya form IV. Katika ulimwengu wa sasa issue sio madegree watanzania tunakosa ''soft skills'' ndizo kasema Sitta kwa lugha nyingine. Madegree na mavyeti tunayo kama Waganda na wakenya. Lakini jiulize kwa nini foreign embassy, international NGOs na UN agencies mabwana fedha wengi ni wakenya?

Hata Star Times kampuni ya kigeni bongo imeajiri front office staff kutoka Kenya. Mbona ofisi za Star Times pale Upper Hill Nairobi hakuna Mbongo? licha ya ofisi hizo kuwa mtaa wa Kilimanjaro................ Hata wachina wanatudharau...............inauma sana.
Ndiyo hivyo,quality ya elimu,nani alaumiwe?
 
Rejao ; Sample ya Vijana wanaowaza fiesta!
1. Zitto Kabwe
2. Sugu aka Mbilinyi
3. Halima mdee
4..........
Kweli Sitta mkaree!

I can see the politics self-pleasure is at work lol!
 
Kintiku; Watanzania wanadhani kuchangamka ni kuwa na madegree na Ma CPA unakuta mtu ana li MBA lakini output ya form IV. Katika ulimwengu wa sasa issue sio madegree watanzania tunakosa ''soft skills'' ndizo kasema Sitta kwa lugha nyingine. Madegree na mavyeti tunayo kama Waganda na wakenya. Lakini jiulize kwa nini foreign embassy, international NGOs na UN agencies mabwana fedha wengi ni wakenya?

Hata Star Times kampuni ya kigeni bongo imeajiri front office staff kutoka Kenya. Mbona ofisi za Star Times pale Upper Hill Nairobi hakuna Mbongo? licha ya ofisi hizo kuwa mtaa wa Kilimanjaro................ Hata wachina wanatudharau...............inauma sana
.

Nakubaliana na wewe kwa % kadhaa lakini hivyo vyeti navyo ni muhimu katika ajira. Kutegemea na aina ya kazi, zingine lazima uwe na hizo technical skills na hizo soft skills ni added advantages. Baadhi ya soft skills si lazima ufundishwe darasani ( km. Interpersonal skills, work ethics- time management, honest, integrity) unaweza kuvijenga wewe mwenyewe. Watu wengi hawataki kujiendeleza wakishatoka vyuoni wanadhani ndo kujifunza kumeisha na vitabu wanagawa kama siyo madesa lol! Kazi tunayo watz. Ukiongea kingereza utasikia wengine wanakubeza ''kingereza bongo'' bila kujua kama huwezi kuongea huwezi kuimarisha lugha. Kazi kwelikweli. Tubadilike
 
professionala smile ni kitu ambacho kinafundishwa jamani. sasa kama mtu kasomea udaktari au ualimu then kachukuliwa na ndugu yake na kupachikwa kwenye hoteli kufanya kazi unategemea nini hapa?
 
Natamani nchi ingekuwa ya kibepari toka tunapata uhuru labda tungekuwa na akili ya kutafuta na si kutegemea 'wajomba'. Sijui kwanza hata sahiv tunafuata sera gani kama nchi japo viongozi wanadai sera yetu ni ujamaa na kujitegemea.
 
Mawaziri watanzania wanawaza wizi tu.
Wenzao Kenya tunaona mabarabara ya lami yanachanua kila pembe ya Nairobi. foleni Nairobi itakua historia muda si mrefu.
Wenzao wa Kenya wanakuza uchumi kuelekea ' uchumi wa kati'.
Mawaziri wa Kenya hawana longolongo za upembuzi yakinifu, mikakati inaandaliwa, wafadhili wanatafutwa...
Mawaziri wa Kenya hawakai hoteli ya kitalii kwa miezi 10 wakati nyumba ya kukaa waziri ipo.
Mawaziri wa Kenya hawajajiuzia nyumba za serikali kana kwamba mawaziri watakaokuja WATAJIJU..
Mawaziri wa Kenya wanatanga kilimanjaro ipo kenya wakati waziri wa TZ anasema vijana wanawaza fiesta.
Mawaziri wa Kenya waliunga mkono katiba mpya , mawaziri wetu wanamsubiri Rais aongee.
Mawaziri wa TZ waoga mno wa maamuzi, kama Sitta anabisha muulize Lowassa.
Mawaziri wa Kenya hawajakodisha KIA kwa dola 1000 kwa mwaka.
Mawaziri wa Kenya wamehakikisha watoto wote wa shule wanakaa kwenye madawati.
Spika wa bunge la Kenya hakujenga ofisi ya mbunge ya milioni 300 kijijini kwake eti yenye hadhi ya spika, kana kwamba atakua spika milele.

Vijana wa Tanzania wanaweza kuwa wanawaza fiesta, lakini wanaweza kuwa na excuse kwamba bado wanakua, lakini nyinyi mna excuse gani?
Msitafute sababu za kijinga na sehemu ya kutupa lawama za uozo wenu.
 
Huyu Babu Sitta toka apewe uongozi Africa Mashariki amekua wa mipasho 2 cjui ubongo wake umepata mshituko gan!i cnt understand hm!ndo mana i hate politics,once he was a man of hs nation,now i cnt se it in hm,manake yeye b4 hajasema hayo amejichunguza ukamilifu wake?and then ku2kana vijana ndo majawabu?kwanini asiwape moyo vijana kwa lugha y kistaraabu thn is ash !?we ar tired wth these old skuls in our nation,real we nid 2 get rid of them
 
Kasema ukweli mtupu,yan wanafunz wa tz mambo ya kipuuzi ndio wanajua,mf.kile kipindi cha skonga cha Eatv,madenti wakiulizwa maswali ya msingi hawajui kabisa,wanajiumauma tu,ila pale mwshon kwny kuchagua nyimbo zinazotamba ndio utawaona vizuri.
 
fiesta, ngono, ulevi ndio vinawabamba halafu baadae wanalalamika serikali haiwafanyii kitu. lets change with the world men!
 
Huyu Babu Sitta toka apewe uongozi Africa Mashariki amekua wa mipasho 2 cjui ubongo wake umepata mshituko gan!i cnt understand hm!ndo mana i hate politics,once he was a man of hs nation,now i cnt se it in hm,manake yeye b4 hajasema hayo amejichunguza ukamilifu wake?and then ku2kana vijana ndo majawabu?kwanini asiwape moyo vijana kwa lugha y kistaraabu thn is ash !?we ar tired wth these old skuls in our nation,real we nid 2 get rid of them
<br />
<br />
kama keshaliona hilo basi angetoa njia mbadala kama ushaur kwa vijana
 
Back
Top Bottom