Vijana wa Lumumba, ni nani Kawadanganya Marekani kuna vyama viwili vya siasa?

Mkuu,tunapojaaliwa watoto tuwe makini kuwapa majina.Na vilevile,tuwakanye watoto wetu kujipa majina hata kama ya utani,yasiwe yanaakisi uhayawani.Maneno au majina huumba uhalisia.
Mkuu umenena kweli tupu kabisa..
La nyongeza kidogo...kama wewe ni mkazi wa hapo Dsm au hata nje ya Dsm jitahidi sana kutoa tahadhari kwa kizazi chako kutokupita Mtaa wa Lumumba karibu na ofisi za haya majamaa ili kuepuka kuambukizwa ujinga..
Watu wanaelekea kwenye utaahira pale Lumumba sasa ivi.
 
TUNAPOKOSOA KWA MLENGO WA KISIASA NDIYO TUNAVYOZIDI KUPOTEA. ZAIDI YA 50% YA WA TANZANIA WANAJUA MAREKANI KUNA VYAMA VIWILI VYA SIASA LAKINI SI WANALUMUMBA. TUKIWEKA SIASA PEMBENI TUNAWEZA KUJIKOMBOA. TUSIWEKE HATMA YETU MIKONONI MWA WANASIASA SI WATU WA KUAMINIKA
 
KWA wasiofuatilia vyema siasa za Marekani wanaweza wakadhani kuna vyama viwili tu vya siasa nchini humo; Democratic kinachotawala sasa na hasimu wake Republican, kumbe sivyo.

Taifa hilo lina vyama vingi ukiondoa hivyo viwili vinavyotawala kwa kupokeza, huku vyama maarufu zaidi vikiwa Libertarian, Kijani (Green Party) na Kikatiba (Constitutional Party).

Libertarian ni chama kinachopigania uhuru wa mawazo, dini, kufikiri na kutenda, ukombozi wa kiraia na kupinga vita.

Chama cha Kijani huendekeza siasa za mazingira, ukombozi wa kiraia na kupinga vita huku Chama cha Kikatiba kikiwa cha sera za uhafidhina wa kijamii na haki za kidini.
Lakini pia kuna vyama vingine vya siasa ambavyo vimeishia katika ngazi za majimbo, au ambavyo havina lengo la urais. Vyama vya aina hii si makusudio ya makala haya!

Hivyo basi, vyama hivyo katika umoja wao vinajulikana kama ‘Chama cha Tatu’ yaani baada ya Democratic na Republican na wagombea wake hujulikana kama wagombea wa ‘Chama cha Tatu’ bila kujali kama wanatokea vyama tofauti.

Kwa sababu hiyo wagombea kutoka vyama hivyo vidogo kwa kawaida huwa hawana athari kubwa katika chaguzi za urais nchini humo. sihusishi zile za majimbo!.

Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

Hata kama vyama vya siasa vinakuwa kwenye midomo ya watu kwa vipindi virefu vikilinda na kusisitiza masuala yaleyale, misingi ileile, takwimu ya idadi ya watu na kuungwa mkono, baadaye huchukiwa kutokana na sera mbovu au zilizopitwa na wakati na hupumzishwa. Hivyo ndivyo vyama vya ukombozi katika nchi za Kenya, Zambia, Malawi, Uganda, Rwanda, Burundi, Nigeria, India na kwingineko vilipumzishwa.


je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

Hata kama vyama vya siasa vinakuwa kwenye midomo ya watu kwa vipindi virefu vikilinda na kusisitiza masuala yaleyale, misingi ileile, takwimu ya idadi ya watu na kuungwa mkono, baadaye huchukiwa kutokana na sera mbovu au zilizopitwa na wakati na hupumzishwa. Hivyo ndivyo vyama vya ukombozi katika nchi za Kenya, Zambia, Malawi, Uganda, Rwanda, Burundi, Nigeria, India na kwingineko vilipumzishwa.

Tutazame Marekani. Marekani hakukuwa na vyama vya siasa kama ilivyo leo.

Historia inaonyesha Rais wa kwanza George Washington hakuwa mwanachama wa chama chochote, akiamini kuwa nchi inaweza kutawaliwa bila vyama vya siasa na alikuwa akihofia vyama kukwamisha mabadiliko aliyokusudia.

Hata hivyo, vyama vilianza enzi za utawala wake. Kati ya mwaka 1789–1797 aliyekuwa Waziri wa Fedha, Alexander Hamilton alianzisha chama cha Federalist, ilhali James Madison na Thomas Jefferson walijibu kwa kuanzisha chama cha Democratic-Republican. Rais Washington alishabikia Federalist.
Federalist ilipata wafuasi wengi waliounga mkono Katiba iliyoandikwa.

Pia, wafanyabiashara na maofisa wa mabenki waliunga mkono sera za uchumi za chama hicho, na madaraka kurundikwa katika serikali kuu.

Federalist ilitoa rais mara moja tu, John Adams (1797 – 1801) na iliondolewa na chama cha Democratic-Republican kilichotumia sera ya kupeleka madaraka majimboni.

Jefferson aliwania urais akashinda mwaka 1801 na 1804; Madison aliongoza mwaka 1808 na 1812; James Monroe akatawala 1816 na 1820.

Baada ya Federalist kuanguka iliibuka migogoro iliyosababisha kifo chake mwaka 1824.

Migogoro mingine iliibuka na kusababisha minyukano katika chama pinzani cha Democratic-Republican na kufikia mwaka 1828 kikagawanyika; kipande kimoja kikajiita Demoratic Party ambacho kipo hadi leo na kingine kilichoongozwa na John Quincy Adams na Henry Clay kikaitwa National Republicans na baadaye kikabatizwa jina la Whig.

mr mkiki.

Wapinzani ni watoa elimu.

Wanalumumba mmenipata.
Lumumba huko wao wanajua tumbo tu. Lakini uliwauliza kitu cha akili( mkichwa) utawatesa sana.
 
TUNAPOKOSOA KWA MLENGO WA KISIASA NDIYO TUNAVYOZIDI KUPOTEA. ZAIDI YA 50% YA WA TANZANIA WANAJUA MAREKANI KUNA VYAMA VIWILI VYA SIASA LAKINI SI WANALUMUMBA. TUKIWEKA SIASA PEMBENI TUNAWEZA KUJIKOMBOA. TUSIWEKE HATMA YETU MIKONONI MWA WANASIASA SI WATU WA KUAMINIKA
Mkuu kama umefatilia hotuba ya jana ya Obama unaweza kujifunza kitu ,na tatizo lipo hpo asilimia kubwa ya ccm hawakupenda maneno yale ndio msingi wa hoja yangu.
 
Mkuu umenena kweli tupu kabisa..
La nyongeza kidogo...kama wewe ni mkazi wa hapo Dsm au hata nje ya Dsm jitahidi sana kutoa tahadhari kwa kizazi chako kutokupita Mtaa wa Lumumba karibu na ofisi za haya majamaa ili kuepuka kuambukizwa ujinga..
Watu wanaelekea kwenye utaahira pale Lumumba sasa ivi.
Akili za kwenye ndizi hizi!
 
US kuna vyama viwili tu vya siasa. Wengine ni Independents.
hivyo vyama ulivyovitaja nobody cares about them, nobody talks about them.
Vyama vipo viwili tu, na Independents are not organized ni independents.
tunaongelea vyama vya siasa na sio who gives a damn about which party.
marekani kuna zaidi ya vyama viwili vya siasa
 
US kuna vyama viwili tu vya siasa. Wengine ni Independents.
hivyo vyama ulivyovitaja nobody cares about them, nobody talks about them.
Vyama vipo viwili tu, na Independents are not organized ni independents.
Mkuu ,history kwako ni mtihani sna....
 
Mkuu kama umefatilia hotuba ya jana ya Obama unaweza kujifunza kitu ,na tatizo lipo hpo asilimia kubwa ya ccm hawakupenda maneno yale ndio msingi wa hoja yangu.
HAO AMBAO HAWAKUPENDA WAO WANAPENDA WAAMBIWE KUWA WATAPIGIWA SHANGAZI ZAO HIZO KAULI KWAO NDIO ZINAWAFAA NA SIO ZA KIDIPLOMASIA.
PIA HAJAPENDA KWANINI MGENI AINGIE KWAKO AONANE NA HOUSE BOY BADALA MWENYEWE NYUMBA
 
HAO AMBAO HAWAKUPENDA WAO WANAPENDA WAAMBIWE KUWA WATAPIGIWA SHANGAZI ZAO HIZO KAULI KWAO NDIO ZINAWAFAA NA SIO ZA KIDIPLOMASIA.
PIA HAJAPENDA KWANINI MGENI AINGIE KWAKO AONANE NA HOUSE BOY BADALA MWENYEWE NYUMBA
Hakika
 
tunaongelea vyama vya siasa na sio who gives a damn about which party.
marekani kuna zaidi ya vyama viwili vya siasa
You are either a conservative or liberal. Republican or Democrat.
Na mtu kusema vyama viwili vipo States wala si ajabu kwa sababu hata Bernie Sanders ni Independent, lakini actually ni Democrat.
Ron Paul ni Libertarian, lakini ana caucus na kugombania Republican.
Sawa na mtu kusema binadamu either ni mwanamke au mwanaume. Lakini almost 1% ya binadamu ni third sex, but who think that people identifying animals based on binary sex is uninformed?
Hata hivyo vyama vingine huitwa third parties, ila US inajulikana vyama ni viwili, mnataka tu kulazimisha watu fulani waonekane wajinga.
 
You are either a conservative or liberal. Republican or Democrat.
Na mtu kusema vyama viwili vipo States wala si ajabu kwa sababu hata Bernie Sanders ni Independent, lakini actually ni Democrat.
Ron Paul ni Libertarian, lakini ana caucus na kugombania Republican.
Sawa na mtu kusema binadamu either ni mwanamke au mwanaume. Lakini almost 1% ya binadamu ni third sex, but who think that people identifying animals based on binary sex is uninformed?
Hata hivyo vyama vingine huitwa third parties, ila US inajulikana vyama ni viwili, mnataka tu kulazimisha watu fulani waonekane wajinga.
sema vyama vyenye wafuasi wengi ni viwili
is that too hard to take?
 
US kuna vyama viwili tu vya siasa. Wengine ni Independents.
hivyo vyama ulivyovitaja nobody cares about them, nobody talks about them.
Vyama vipo viwili tu, na Independents are not organized ni independents.
Hakuna unachojua wewe. Wana vyama zaidi ya thelathini, nyie mmekariri story za kwenye vijiwe tu.
 
You are either a conservative or liberal. Republican or Democrat.
Na mtu kusema vyama viwili vipo States wala si ajabu kwa sababu hata Bernie Sanders ni Independent, lakini actually ni Democrat.
Ron Paul ni Libertarian, lakini ana caucus na kugombania Republican.
Sawa na mtu kusema binadamu either ni mwanamke au mwanaume. Lakini almost 1% ya binadamu ni third sex, but who think that people identifying animals based on binary sex is uninformed?
Hata hivyo vyama vingine huitwa third parties, ila US inajulikana vyama ni viwili, mnataka tu kulazimisha watu fulani waonekane wajinga.
Tuambie vilivyokuwa registered, je ni viwili tu? Usitake kuchanganya akili za watu kwa kutwambia mambo ya independents wakati vilivyo registered ni zaidi ya thelathini.

Tabu yenu mnafikiri watu wote ni wajinga tu wa kudanganywadanganywa.
 
KWA wasiofuatilia vyema siasa za Marekani wanaweza wakadhani kuna vyama viwili tu vya siasa nchini humo; Democratic kinachotawala sasa na hasimu wake Republican, kumbe sivyo.

Taifa hilo lina vyama vingi ukiondoa hivyo viwili vinavyotawala kwa kupokeza, huku vyama maarufu zaidi vikiwa Libertarian, Kijani (Green Party) na Kikatiba (Constitutional Party).

Libertarian ni chama kinachopigania uhuru wa mawazo, dini, kufikiri na kutenda, ukombozi wa kiraia na kupinga vita.

Chama cha Kijani huendekeza siasa za mazingira, ukombozi wa kiraia na kupinga vita huku Chama cha Kikatiba kikiwa cha sera za uhafidhina wa kijamii na haki za kidini.
Lakini pia kuna vyama vingine vya siasa ambavyo vimeishia katika ngazi za majimbo, au ambavyo havina lengo la urais. Vyama vya aina hii si makusudio ya makala haya!

Hivyo basi, vyama hivyo katika umoja wao vinajulikana kama ‘Chama cha Tatu’ yaani baada ya Democratic na Republican na wagombea wake hujulikana kama wagombea wa ‘Chama cha Tatu’ bila kujali kama wanatokea vyama tofauti.

Kwa sababu hiyo wagombea kutoka vyama hivyo vidogo kwa kawaida huwa hawana athari kubwa katika chaguzi za urais nchini humo. sihusishi zile za majimbo!.

Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

Hata kama vyama vya siasa vinakuwa kwenye midomo ya watu kwa vipindi virefu vikilinda na kusisitiza masuala yaleyale, misingi ileile, takwimu ya idadi ya watu na kuungwa mkono, baadaye huchukiwa kutokana na sera mbovu au zilizopitwa na wakati na hupumzishwa. Hivyo ndivyo vyama vya ukombozi katika nchi za Kenya, Zambia, Malawi, Uganda, Rwanda, Burundi, Nigeria, India na kwingineko vilipumzishwa.


je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

Hata kama vyama vya siasa vinakuwa kwenye midomo ya watu kwa vipindi virefu vikilinda na kusisitiza masuala yaleyale, misingi ileile, takwimu ya idadi ya watu na kuungwa mkono, baadaye huchukiwa kutokana na sera mbovu au zilizopitwa na wakati na hupumzishwa. Hivyo ndivyo vyama vya ukombozi katika nchi za Kenya, Zambia, Malawi, Uganda, Rwanda, Burundi, Nigeria, India na kwingineko vilipumzishwa.

Tutazame Marekani. Marekani hakukuwa na vyama vya siasa kama ilivyo leo.

Historia inaonyesha Rais wa kwanza George Washington hakuwa mwanachama wa chama chochote, akiamini kuwa nchi inaweza kutawaliwa bila vyama vya siasa na alikuwa akihofia vyama kukwamisha mabadiliko aliyokusudia.

Hata hivyo, vyama vilianza enzi za utawala wake. Kati ya mwaka 1789–1797 aliyekuwa Waziri wa Fedha, Alexander Hamilton alianzisha chama cha Federalist, ilhali James Madison na Thomas Jefferson walijibu kwa kuanzisha chama cha Democratic-Republican. Rais Washington alishabikia Federalist.
Federalist ilipata wafuasi wengi waliounga mkono Katiba iliyoandikwa.

Pia, wafanyabiashara na maofisa wa mabenki waliunga mkono sera za uchumi za chama hicho, na madaraka kurundikwa katika serikali kuu.

Federalist ilitoa rais mara moja tu, John Adams (1797 – 1801) na iliondolewa na chama cha Democratic-Republican kilichotumia sera ya kupeleka madaraka majimboni.

Jefferson aliwania urais akashinda mwaka 1801 na 1804; Madison aliongoza mwaka 1808 na 1812; James Monroe akatawala 1816 na 1820.

Baada ya Federalist kuanguka iliibuka migogoro iliyosababisha kifo chake mwaka 1824.

Migogoro mingine iliibuka na kusababisha minyukano katika chama pinzani cha Democratic-Republican na kufikia mwaka 1828 kikagawanyika; kipande kimoja kikajiita Demoratic Party ambacho kipo hadi leo na kingine kilichoongozwa na John Quincy Adams na Henry Clay kikaitwa National Republicans na baadaye kikabatizwa jina la Whig.

mr mkiki.

Wapinzani ni watoa elimu.

Wanalumumba mmenipata.
Hao ni wamarekani, hivi unajua pia
1. Wanatetea ndoa za jinsia moja,
2. Pia kuna ubaguzi wa rangi jinsia na tamaduni,
3. Wana unyanyasaji wa polisi kwa raia weusi wa asili ya africa,
4. Magereza yao yamejaa waafrica kuliko weupe, pia
5. Hamna usawa wa kipato katika jamii matajiri wanasikilizwa kuliko masikini au watu wa kawaida,

Unafahamu kuna matabaka ya watu wakuu (decision makers) katika hivi vyama vikuu Democrats na Republicans ambao ni matajiri na wadhamini ndo wanaendesha vyama kutokana na misingi na misimamo ya United States of America

Unajua USA haina haja ya kumsikiliza jumuiya yoyote ya nchi au bara, juzi tu Trump kashafanya yake kujitoa kwenye umoja wa kutetea haki za binadamu, George Bush alipika data na kukataa kutii ombi la United Nations la kutoipiga nchi ya Iraq na akaipiga

America sio democratic country, America ni pure dictatorship, inafanya mambo yake kuinufaisha america haiangalii kama nchi yako itaumia au lah, angalia kilichoipata Libya.
 
Back
Top Bottom