Vijana wa kiume na pesa

Vijana wa kiume na pesa

Hakuna mwanamke nimewahi kumkopeshabpesa akanirusha, ila wanaume[emoji134][emoji134][emoji134]
Unadai hadi unachoka unaamua kuacha.
Acha masihara mwanaume asili yake ni kutoa ukimkopa analipa

Ila mwanamke sidhani kwakweli ukimkopa jihesabie maumivu
 
Kwahiyo ukihongwa naww unahonga c ndio...
Hapo hujahonga mkuu pesa ya kuhonga inabidi iwe yko ulioitolea jasho, yaan unayoa ppesa huku inakuuma sasa unapewa laki mbili na shga mumy unanakutana mpz wako unampa elfu50, hapo hujaonga mmegawana mkuu

Mwenyew napesa zangu mama, I make my money kibao tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawalegezea nyie jinsia tofauti, sisi tunalipana vizuri tu.
Hahahahahahahaah!!!!

Next time nkitaka kumkopesha mwanamke yeyote yule ntamwambia mimi sina, ila ngoja ninae rafiki yangu anaitwa Atoto Nkuchkulie kwake. Akisumbua tu kulipa ntakuwa nakushtua. Kiufupi uwe yono investment wangu halafu unakata commission yako huko huko
 
Vijana wa Siku hizi hawajafundishwa yale tuliyofundishwa sisi wakati wa Mwalimu Nyerere na hata dini zetu.
Nyerere alisema "Pesa siyo msingi wa maendeleo bali ni matokeo yake"
Neno la Mungu linasema." Ipende kazi kuliko pato lake"
Sasa hivi haya hayazingatiwi kuanzia kwenye ngazi za familia , shule za msingi hadi chuo kikuu.
Wakati wa Mwalimu Wanafunzi walikuwa hawapewi mikopo bali hugharamiwa kwa kila kitu na kupewa posho kidogo.
Wakitoka Chuoni hupewa mishahara ya kawaida ila kufidia gharama za kuwasomesha.
Sasa hivi Watanzania wanatofautiana sana kwa kipato hata kama wanalingana elimu.Kwa hiyo aliyeko chini naye anataka aishi sawa na yule wa kipato kikubwa na anaona uchungu kuona mwenzake ambaye wana elimu sawa anapata mshahara na marupurupu mengi wakati yeye anateseka kwa kipato kidogo.
Atatumia kila mbinu ili mradi apate pesa.
 
Vijana wa Siku hizi hawajafundishwa yale tuliyofundishwa sisi wakati wa Mwalimu Nyerere na hata dini zetu.
Nyerere alisema "Pesa siyo msingi wa maendeleo bali ni matokeo yake"
Neno la Mungu linasema." Ipende kazi kuliko pato lake"
Sasa hivi haya hayazingatiwi kuanzia kwenye ngazi za familia , shule za msingi hadi chuo kikuu.
Wakati wa Mwalimu Wanafunzi walikuwa hawapewi mikopo bali hugharamiwa kwa kila kitu na kupewa posho kidogo.
Wakitoka Chuoni hupewa mishahara ya kawaida ila kufidia gharama za kuwasomesha.
Sasa hivi Watanzania wanatofautiana sana kwa kipato hata kama wanalingana elimu.Kwa hiyo aliyeko chini naye anataka aishi sawa na yule wa kipato kikubwa na anaona uchungu kuona mwenzake ambaye wana elimu sawa anapata mshahara na marupurupu mengi wakati yeye anateseka kwa kipato kidogo.
Atatumia kila mbinu ili mradi apate pesa.
Kabisaaa mkuu, hongera kwa ufaham mkuu
 
Hata ww jiran angu wa Barbara za namba unaniambia hivyo jaman, sasa unataka niwapige kibesi atuumbwa hivyo jaman

KAMA HAMKUUMBWA HVYO MNADAI HAKI SAWA ZA NINI NA HAMKUUMBWA HVYO. AKILI ZENU NI ZERO MIKAHABA MIJINGA WAONE.
 
Sikuhizi wanaume wamegeuka magumegume na wameukataa uanaume wao na asili yao Pia wanatamani mpaka waanze kwenda mp ili tufanane vizuri, mungu awasaidie tu
wanaume wa wapi hao?
 
Back
Top Bottom