Vijana wa kiume na pesa

Vijana wa kiume na pesa

Haijawahi kuwa furaha kwa yeyote atoaye pesa na kumpa mwenzake, iwe kuhonga, kulipa deni etc. Zile noti au tarakimu zinanoga kuziona zikiongezeka na sio kupungua
 
Nakushauri kitu 1 ukizingatia hautapoteza tena rafiki wala ndugu usimkopeshe pesa rafiki wala ndugu nawe pia usipige mzinga maana itafika hatua unahitaji haki yako mtu anakuona mbaya ama kuna muda umemmis tu kwa vituko vyake unatamani kumpigia umsalimie mpige soga kdg ukija kukumbuka kwamba unamdai unajishtukia anaweza hisi nakumbushia hela kumbe sio umemmis tu ama ww uliwahi kumtumia mesej kuomba pesa akakausha asijibu mesej yako masiku yakapita ikawa yalishaisha siku umemmis tu unapiga anashindwa kupokea anahisi unataka hela so simple usitoe hela kwa matarajio ya kurejeshewa nawe pia usiombe pesa urafiki na udugu utadumu daima!
Fact mkuu, nimeichukua hii
 
Kabisaaa japo mnapokua marafik kuna vitu mnashare na sometimes inafika stage mnakopeshana kutokana na tatizo LA mtu Ila why wanaume wanakua wagumu kurudisha pesa au wanatuchukulia poa hatuwez wafanya chochote
Kila mtu akomae na pesa yake basi hivyo tu.pesa uleta uadui kwa mtu asiestaarabika
 
Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke labda useme hao wote ni ma x wako
Urafik upo inategemea mtu na mtu, na jins mnavyoelewana na damu zenu kuendana kuna best angu mmoja nimempotezea ila bado nampenda sna nikikumbuka vituko vyake nammiss sna ila ndo hivyoo pesa imeleta uadui kat yetu
 
ukitaka urafiki mwema, usikopeshe bali kama una imani gawa buree
Iman sina mkuu, hao matajir wenyewe hawagawi bure wanakupa kaz ufanye ndo upate pesa, sasa nyie vijana tabia hiyo ya kupenda kupewa buree bila kutoa jasho mmeitoa wap
 
Daaah yaaah unajisifia unahongwaaaaa, kwnn lakin nyie vijana mbona wanaume mnapotea kwa kasi sana tunabak na vijana wanao tupasua vichwaaaa
Dada unalalama kwa 100k na 30k?? Mwenzako ndani ya 3months nshamla zaid ya 7m na hata hana habr mke wa mtu mtarajiwa ananimwagia cash tu. Soon nadaka ndinga
 
Back
Top Bottom