Vijana wa Hong Kong ni balaa

Vijana wa Hong Kong ni balaa

Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Acha uboya wewe. Huyaoni yanayofanywa na serikali zetu dhalimu kwa wananchi. Utakua li-CCM limoja. Pumbafu!
 
Mzee hii ni organised and well planned.Pesa imetumika hapo na watu wakajiandaa.na kunakuwa na volunteers zaidi ya 20% kwa ajili ya hamasa.Kwa Bongo pia inawezekana ni swala la kujipanga tu
 
Acha uboya wewe. Huyaoni yanayofanywa na serikali zetu dhalimu kwa wananchi. Utakua li-CCM limoja. Pumbafu!


Mambo gani hayo?

Kama unahisi kuna jambo halipo sawa, kuna forum za malalamiko.

Bobu Chacha Wangwe kaenda mahakamani kulalamika kuhusu Wakurugenzi kusimamia uchaguzi na akashinda.

Sasa kwanini msiige mfano wake?

Mpompo tu mnalalamika badala ya kuchukua hatua kisheria.

Kimsingi, ukilalamika pembeni huko nyumbani na vijiweni haitawasaidia.

Huo ndiyo ukweli
 
Mambo gani hayo?

Kama unahisi kuna jambo halipo sawa, kuna forum za malalamiko.

Bobu Chacha Wangwe kaenda mahakamani kulalamika kuhusu Wakurugenzi kusimamia uchaguzi na akashinda.

Sasa kwanini msiige mfano wake?

Mpompo tu mnalalamika badala ya kuchukua hatua kisheria.

Kimsingi, ukilalamika pembeni huko nyumbani na vijiweni haitawasaidia.

Huo ndiyo ukweli
Haki ya Mungu mlaaniwe mnaoikumbatia na kuitetea CCM mnakera. Sitaki hata kujibu formally. Maana mnajifanya vipofu hamuoni.
 
Wenzenu kuandamana ni HAKI ya kikatiba.
Viongozi wao wanafata katiba. Sio hapa viongozi wetu wanafata amri ya ALIYE juu yake.
bora vijana waendelee kuwa hivi hivi. Maana siku wakiamka hapatakalika.
 
Haki ya Mungu mlaaniwe mnaoikumbatia na kuitetea CCM mnakera. Sitaki hata kujibu formally. Maana mnajifanya vipofu hamuoni.

Tunaona ndiyo maana tunasema.

Mazuri yapo, na changamoto zipo.

Ila ni ajabu kukataa mazuri na kutaja changamoto kama matatizo, hilo siyo sawa
 
AU badala ya raia kuandamana jeshi linaandamana kuwakilisha raia..!
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Hahahahahaha eti Hong Kong Wana Shida, Tanzania hatuna Shida hebu jiulize tena ndugu yangu kati ya Tanzania na Hong Kong Nani anashida, kwa kweli ndugu yangu bdo uko usingizini unaota amka ndugu
 
Kama unadhani amani hamna, mbona huondoki?
Mbona huandamani?
Amani na utulivu upo ndiyo maana huondoki na huandamani.
Wote wanaokimbia nchi zao wanakimbia vita na njaa..
Tz hamna vita wala njaa. Ndiyo maana upo hapo ulipo
Kwa hyo unasema hakuna watanzania waliokimbia Tanzania na kama jibu wako kwa hyo tz Kuna hakuna utlivu na Kuna njaa
 
Back
Top Bottom