mashoodjr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2016
- 2,222
- 1,512
Acha kuongea ujinga sasa
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?
Hong Kong wana shida zao na serikali zao.
Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?
Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.
Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi