Vijana wa Hong Kong ni balaa

Vijana wa Hong Kong ni balaa

Acha kuongea ujinga sasa
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
 
Si wanajua waoga.
Hong Kong huwezi kuifananisha na Tanzania. Kama unataka kufa andamana Tanzania, ila kama unataka kuishi andamana Marekani, Uingreza, Hong Kong na nchi zingine ambazo wanajua Demokrasia nini.
Lakini kwenye nchi ambazo wapo radhi waue, kuteka, waibe kura, kubadilisha katiba n.k ukiandamana ni sawa na bure sababu utaishia kuuliwa tu.
 
Hong Kong huwezi kuifananisha na Tanzania. Kama unataka kufa andamana Tanzania, ila kama unataka kuishi andamana Marekani, Uingreza, Hong Kong na nchi zingine ambazo wanajua Demokrasia nini.
Lakini kwenye nchi ambazo wapo radhi waue, kuteka, waibe kura, kubadilisha katiba n.k ukiandamana ni sawa na bure sababu utaishia kuuliwa tu.
Mkuu unakataa bure tu ila majamaa wameshatujua waoga na ndio maana hata tukiona wanajeshi wanafagia barabarani basi hiyo inatosha kuwa mkwara mzito tunaufyata.
 
Kama kuna yeyote anaefuatilia habari za kimataifa nadhani anaona kinachotokea sasa Kisiwani HongKong kundi la Vijana Waandamanaji wamevamia Jengo la Bunge na kuweka Kambi baada ya kutokubaliana na maamuzi yanayokuwa yakitolewa na Bunge hilo! Sasa najiuliza hivi Tanzania na hawa vijana wetu wanaoshinda kutwa kucha kugombea Likes na Followers Instagramu na kupiga umbea usio na manufaa wana uwezo wa kufanya mtiti kama huo??
Hapa najifunza kuwa Mabadiliko yanaweza kuletwa na Vijana na sio Wazee tuliowazoea kutupelekesha.

Nawasilisha!View attachment 1144132View attachment 1144133View attachment 1144134
WAZO LAKO NI ZURI KUHUSU VIJANA KIMAPINDUZI AU MABADILIKO NA MAENDELEO ILA KWA MFANO WA KINACHOENDELEA CHINA TENA HUKO HK NI JAMBO LA HOVYO KAMA UHUNI MWINGINE UNAVYOTEKELEZWA DUNIANI. NAWAONEA HURUMA SANA WAKIPOTEZA MDA NA MWISHONI NAHISI WATAAMBULIA KUBAYA TU NA KUTOFANIKISHA LA MAANA. IT'S A MATTER OF TIME MAMBO KUWA SAWA KAMA MAIN LAND CHINA WALIVYOSUBIRI KUKABIDHIWA JIMBO LAO NA WAINGEREZA. MWAKA 1989 VIJANA KAMA HAWA AMBAO NI WAZEE SASA ALIPATA TABU SANA NAKUAMBULIA PABAYA, KWA HAO VIJANA NA MAKUNDI TOFAUTI WASIO PENDA YANAYOENDELEA NCHINI KWAO WAELEKEE MATAIFA MENGINE TU.
 
Mkuu unakataa bure tu ila majamaa wameshatujua waoga na ndio maana hata tukiona wanajeshi wanafagia barabarani basi hiyo inatosha kuwa mkwara mzito tunaufyata.
NDUGU, KWA WATANZANIA SIO SWALA LA UWOGA, NAHISI WENGI WETU TUNAJUA THAMANI YA AMANI NA UTULIVU. UKITEMBELEA MATAIFA YENYE UBISHI NA MALUMBANO YANAYOZALISHA MACHAFUKO MARA KWA MARA NDIO UTAPATA PICHA HALISI YA KWANINI TUNAJIPENDA ZAIDI KUTOSHIRIKI VURUGU AU UZOZANO USIOKUWA NA MAANA NA VIONGOZI WETU PANDE ZOTE KISIASA, KIDINI N.K NAO WAKO MSTARI WA MBELE KUTOTUFIKISHA HUKO.
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Pungu1
 
Kumbe ndio maana nilikua najiuliza hivi China kabisa nchi ya kikomunisti tena Xi Jiping officially ni Rais wa kudumu mpaka atakapochoka yeye.. Iwaje kuwe na maandamano?

Baada ya kusoma hii nikaelewa


Hong Kong became a colony of the British Empire after Qing China ceded Hong KongIsland at the end of the First Opium War in 1842. ... The entire territory was transferred to China in 1997. As a special administrative region, HongKong maintains separate governing and economic systems from that of mainland China.

Hapo kwenye bold ndipo kwenye concern yangu.. Hong Kong inajitegemea kiutawala na kiichumi laiti ingekuwa inatumia tawala za China mainland
hao wajinga wangepigwa risasi mchana kweupe.

Kule hakuna issue hizo ni marufuku kazi kwenda mbele.
 
Kama kuna yeyote anaefuatilia habari za kimataifa nadhani anaona kinachotokea sasa Kisiwani HongKong kundi la Vijana Waandamanaji wamevamia Jengo la Bunge na kuweka Kambi baada ya kutokubaliana na maamuzi yanayokuwa yakitolewa na Bunge hilo! Sasa najiuliza hivi Tanzania na hawa vijana wetu wanaoshinda kutwa kucha kugombea Likes na Followers Instagramu na kupiga umbea usio na manufaa wana uwezo wa kufanya mtiti kama huo??
Hapa najifunza kuwa Mabadiliko yanaweza kuletwa na Vijana na sio Wazee tuliowazoea kutupelekesha.

Nawasilisha!View attachment 1144132View attachment 1144133View attachment 1144134
kitu kinacho itwa sheria aka mama katiba kina zingatiwa sana.uku tanzania ni maisha ya hamza kanuni utakufa mdomo wazi,sheria ccm wataki wa haki za binadamu ili waweze kuwa milele na milele
 
Hong Kong wana Elimu bora ni ngumu kufananisha na Nchi ambayo Elimu sio kipaumbele wao kila mwaka wanajadili na kutunga sheria ngumu za kuwakopesha vijana wasisome wakati wao hawakukopeshwa walisomeshwa buree kabisa ila kukopesha kwa wengine ni ngumu na inatengezwa hivyo ili wajinga wawe wengi waendelee kuwachagua bila kujali kuboresha maisha yao...
Halafu mtu ana hubiri uzalendo yani tunaishi kama zombies hamna kijana anaeipenda serikali wote ukiongea nao wanaonesha chuki kali dhidi ya serikali sijui tunaipeleka wapi hii Nchi
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Acha unafiki mkuu usijifanye hujui matatatizo ya serikali na vijana ndio nyie nyie kina Bashite mnaodhulumu haki za watu wanyonge
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
we fani yako kule jukwaa la akina dada kabishane kule la mpaenzi
 
Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?
Kweli ndugu, TZ hatuna shida kabisaa. Ndiyo maana tu watulivu kwa kuwa serikali yetu sikivu inatutimizia kila kila kitu. Asieee!
Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.
yatafananaje akati wao wako mashariki ya mbali na wakina sie tuko gizani huku. Loh! Inatia uchungu.
Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi.
ni kweli nchi yetu ina amani tele ya kutosha, na ndiyo maana watu hawatekwi hovyo, hawajajazwa hofu ya kujadili kwa utashi wao, umaskini hakuna tofauti na wao wenye umaskini uliokubuhu na kupelekea kukosa amani ya lishe ya uhakika.
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?
hakuna unachokipata zaidi ya kuambulia maumivu ya mabovu ya machozi na upotevu wa mda tu. Yaani ni upuuzi tu kuaandamana, pia hata yule aliyesema "no pain no gain" naye ni mpuuzi tu.
Hong Kong wana shida zao na serikali zao
ni kweli wale wanashida kweli kweli, ndiyo maana wanaonekana kama matahila wanavyoandamana sababu ya shida za serikali zao. Lakini nchii yetu iko shwari kweli kweli, nchi yetu ni donor country kila mwananchi ni tajiri. Sasa tunatembea kifua mbele bila shida yeyote hadi mabeberu wantuonea gere. So sad!
 
Back
Top Bottom