Vijana wa Hong Kong ni balaa

Vijana wa Hong Kong ni balaa

Mkuu usisahau Bongo ukiandamana Kuna kile kipengele Cha "Kupigwa Hadi Kuchakaa"
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Sudan nako wako vzr na sisi muda si mrefu JPM kaza buti kila kona tukose pakuhemea tukilipuka tutaelewananila na mm naomba tusifike huko japo sina namna ya kuzuia
 
Sudan nako wako vzr na sisi muda si mrefu JPM kaza buti kila kona tukose pakuhemea tukilipuka tutaelewananila na mm naomba tusifike huko japo sina namna ya kuzuia

Muda unaotumia kuomba dua la machafuko, ungekuta umeshaboresha maisha yako kwa kufanya kazi halali
 
Hii nchi siku ikitungwa sheria ya kuwafunga watu wenye umri zaidi ya miaka 18 na wakathibitika kuwa ni wajinga, hakika magereza yatajaa.
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Vumbapu
 
Ha ha ha ha ha ha
CCM Stars keshalia huko Misri. Ametekeleza ilani ya CCM kama vile CCM inavyoshinda kwenye chaguzi. Samatta naye badala aiwakilishe Tanzania anamwakilisha magufuli na serikali ya awamu ya tano. Matokeo yake
2-0
3-2
3-0
Ungekua karbu ningekulipa kifurushi cha mwezi
 
kwa vijana wa Tz tu hawa hamna kitu, labda kije kingine kabisa[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Kama kuna yeyote anaefuatilia habari za kimataifa nadhani anaona kinachotokea sasa Kisiwani HongKong kundi la Vijana Waandamanaji wamevamia Jengo la Bunge na kuweka Kambi baada ya kutokubaliana na maamuzi yanayokuwa yakitolewa na Bunge hilo! Sasa najiuliza hivi Tanzania na hawa vijana wetu wanaoshinda kutwa kucha kugombea Likes na Followers Instagramu na kupiga umbea usio na manufaa wana uwezo wa kufanya mtiti kama huo??
Hapa najifunza kuwa Mabadiliko yanaweza kuletwa na Vijana na sio Wazee tuliowazoea kutupelekesha.

Nawasilisha!View attachment 1144132View attachment 1144133View attachment 1144134
Wakwetu wako busy na dent kupata vocha za bure
 
Kwa hiyo ukiandamana unapata nini?

Hong Kong wana shida zao na serikali zao.

Sasa Tanzania tuna shida gani na serikali?

Ya Hong Kong hayafanani na ya Tanzania.

Tanzania tuna amani na utulivu, kikubwa tu ni kufanya kazi
Una akili sasa mkuu?
 
WAZO LAKO NI ZURI KUHUSU VIJANA KIMAPINDUZI AU MABADILIKO NA MAENDELEO ILA KWA MFANO WA KINACHOENDELEA CHINA TENA HUKO HK NI JAMBO LA HOVYO KAMA UHUNI MWINGINE UNAVYOTEKELEZWA DUNIANI. NAWAONEA HURUMA SANA WAKIPOTEZA MDA NA MWISHONI NAHISI WATAAMBULIA KUBAYA TU NA KUTOFANIKISHA LA MAANA. IT'S A MATTER OF TIME MAMBO KUWA SAWA KAMA MAIN LAND CHINA WALIVYOSUBIRI KUKABIDHIWA JIMBO LAO NA WAINGEREZA. MWAKA 1989 VIJANA KAMA HAWA AMBAO NI WAZEE SASA ALIPATA TABU SANA NAKUAMBULIA PABAYA, KWA HAO VIJANA NA MAKUNDI TOFAUTI WASIO PENDA YANAYOENDELEA NCHINI KWAO WAELEKEE MATAIFA MENGINE TU.
Inaonekana ww mlaji mzuri wa mirungi ndo hata ushauri wako wa kijinga. Ivi kama vijana wote wakihama nchi zao itakuaje mbeleni
 
Kama unadhani amani hamna, mbona huondoki?
Mbona huandamani?
Amani na utulivu upo ndiyo maana huondoki na huandamani.
Wote wanaokimbia nchi zao wanakimbia vita na njaa..
Tz hamna vita wala njaa. Ndiyo maana upo hapo ulipo
umetia nia ya kugombea uenyekiti? lakini kumbuka ni lazima kuwa na wanachama zaidi ya 50 ili kumuunga mkono jiwe..
 
Unalinganisha serikali ya HonhKong na hii ya bongo, kule ukimzaba mwandamanaji hata kibao tu utashangaa hiyo kesi ya madai utakayofunguliwa, huku mtavunjwa viuno na hutasikilizwa popote pale, acha kabisa huo upuuzi, sio huku wewe.
 
Back
Top Bottom