Wengi wanaumia Kwa sababu ya ulevi,na mimi day moja nilikuwa bwax Sana,Huwa hata nikiwa hivyo natumiaga ndomu,basi siku hiyo nilikuwa nakula bia na Malaya mmja ,mwishowe nikaenda nae shoo hyo demu ni WA Tanga,muheza,kwenye harakati na gemu nikasikia mpira para,kesho pombe zilivyonitoka nikaenda hospitali ya mkoa kukuaa pep,zinalewesha Sana siku ya kwanza nilihara ,mavi kama mekundu mekundu na full udingizi,nikagundua wanakula ARVS mziki wao SI wa kitoto,kula pep mwezi mmja nilinyoroka ,nikaacha upuuzi ,
Nikitaka kula demu ni mwendo wa vipimo tuu