Vijana tukemee uasherati wa hadharani ni aibu

Vijana tukemee uasherati wa hadharani ni aibu

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,775
Reaction score
3,842
1. Vijana hawana aibu tena ya kufanya uasherati hadharan (sehemu za starehe-Kitambaa cheupe Sinza)

2. Makahaba hadi mtaani na mitandaoni (Ubungo Riverside, GRINDR, Badoo na Tinder).

3. Madanguro rasmi na Polisi wanaona (Manzese Mferejini, Uwanja wa fisi, Mwananyamala Hospitali, Msasani, Temeke Sudani, Tandika Sokoni).

Tumche Mola
 
1. Vijana hawana aibu tena kuliwa jicho 0674404735

2. Makahaba Hadi mtaani na mitandaoni,

3. Madanguro rasmi na Polisi wanaona (Manzese Mferejini, Uwanja wa fisi, Mwananyamala Hospitali, Msasani, Temeke Sudani, Tandika Sokoni).
NO REFORM.....NO ELECTION..........Chizi huwa anachekesha kama hatoki nyumbani kwenu.........
 
downloadfile-5.jpg
 
1. Vijana hawana aibu tena kuliwa jicho 0674404735

2. Makahaba Hadi mtaani na mitandaoni,

3. Madanguro rasmi na Polisi wanaona (Manzese Mferejini, Uwanja wa fisi, Mwananyamala Hospitali, Msasani, Temeke Sudani, Tandika Sokoni).
Serikali haina ubavu wa kufanya lolote kwani hawa machangu wateja wao wakubwa ni viongozi serikalini pamoja na wabunge. Kuwakamata hawa machangu ni kujifukuzisha kazi, wabunge na viongozi serikalini watakojoa wapi kuondoa stress za kujitakia?
 
Hiyo ipo kula mji hapa nchini, nilikuwa nimepita benaco ngara kutokea Rwanda haya mambo yapo sana ... Kahama, mwanza, njombe, mafinga, Arusha, Moshi hakuna mahali sijakuta hiyo.... SEMA DAR NI POPULATION KUBWA ILA HAYA MAMBO MPAKA KIGALI YAPO.
 
Muulize bibi kidude ukikutana nae. Wewe bado mdogo ngoja ujue kwani ni vitu vya kawaida na ni huduma kama zingine una uamuzi wa kwenda au kutokwenda. Namba moja hiyo naona unatangaza biashara yako ya kuuza nyoro mtoto wa kiume hautaki kazi halali
 
Hayo maeneo uliyoyataja ni yale yale hakuna chimbo jipya hapo umesahau tu Keko kwa wahaya...
Kila mji mkubwa na midogo hizi mambo zipo kama tu Chunya,Tunduma na Geita nyama zinauzwa balaa unategemea nini kuhusu Daslm mazee..
 
Back
Top Bottom