Vijana tuache huu ujinga

Vijana tuache huu ujinga

Kuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizii vijana wa mjini kuzaa au kuzalisha alafu Watoto wanawapeleka kwa Bibi akawalelee, Ubaya haya hela za matumizi hawatumi watoto wanaishia kuzagaa mitaani na kuvizia chakula kwa watu akati Baba na mama zao wanapiga umalaya tu na kulewa mjini huku.

Kondomu zimejaa telee huwezi kumuhudumia mtoto ebu jitahidi usimlete dunia na kuanza kuwapa tabu bibi na babu wamekulea wewe kwa shida bado upeleke na wajukuu tena wawalelee?? Huku ni kujitafutia laana pia wazee wamechoka acha wapumzikw kama huwezi kuwa faraja kwao kwa kuwahudumia bhasi at least usiwape Mzigo wasiostahili kuubeba mwisho wakafa mapema kwa shida na mawazo.

Imeishaa hiyo TUBADILIKE.View attachment 1218140

Very productive Advice for the young ones, Children are the future let’s all join Hand to bring bright future for them

It feels Good to be responsible parent
 
Eeeeh kumbe huwa mnaficha???? Ni kosa kubwa sana tena sanaaaaaaaa
Na ninakushauri ukimpenda mdada mueleze ukweli ajiandae kiakili kuliko kumficha then umwambie ukimuoa my dear huyo mtoto hatompenda hata iweje na wewe utakuwa na mtihani kwa kudanganya
Sawa mama ushauri
 
Kuna Washkaji wengine wanaona kama ndio sifa na ndio ujanja au wanasema Ubaharia.

Uanaume ni kutunza na kujali damu yako isiteseke.

Sio kumpa majukumu maza ako au bibi.

Kumbafu wewe.
 
Kuna Washkaji wengine wanaona kama ndio sifa na ndio ujanja au wanasema Ubaharia.

Uanaume ni kutunza na kujali damu yako isiteseke.

Sio kumpa majukumu maza ako au bibi.

Kumbafu wewe.
 
Mkuu hongera sana kwa kulizungumza hili. Kiukweli ni changamoto sana kwa hawa wazee wetu halafu unakuta fara yupo mjini anjiita baharia while hata kutunza watoto shida. Kiujumla boss naunga mkono hoja. Ubarikiwe sana
 
Mkuu hongera sana kwa kulizungumza hili. Kiukweli ni changamoto sana kwa hawa wazee wetu halafu unakuta fara yupo mjini anjiita baharia while hata kutunza watoto shida. Kiujumla boss naunga mkono hoja. Ubarikiwe sana
Pamoja boss...!! Tabia inazidi kuota mizizi inaonekana ni kawaida sasa
 
Ndo hivyo wamemuachia bibi aleee

Nilishawahi kugombana na Best yangu kwa sababu ya mtoto,
Yeye na Bwana ake wanakaa Dar mtoto yupo Ileje kwa bibi,Bibi mwenyewe anahitaji kusaidiwa

Namuuliza sababu ya kutokaa na mtoto wanasema watashindwa kutafuta hela,

Nikamuuliza na kama bibi asingekuwepo je ! Anasema angekaa nae !!

Mwisho wamemchukua mtoto hata kiswahili hafahamu!
 
Nilishawahi kugombana na Best yangu kwa sababu ya mtoto,
Yeye na Bwana ake wanakaa Dar mtoto yupo Ileje kwa bibi,Bibi mwenyewe anahitaji kusaidiwa

Namuuliza sababu ya kutokaa na mtoto wanasema watashindwa kutafuta hela,

Nikamuuliza na kama bibi asingekuwepo je ! Anasema angekaa nae !!

Mwisho wamemchukua mtoto hata kiswahili hafahamu!
Anajua ugoniree tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom