Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Sitaki tu
We ushatest Zesh?
We ushatest Zesh?
Singo Faza wengi sana mjinina wao wafunguliwe uzi
Sitokaa niolewe na singo faza![]()



Acha kupinga maendeleo ww
Kwanini sasa? Hujui single father tunacare?
Hilo kweli hawachelewi kubebishana tena ukute mzazi mwenzie hajaolewa hapo lazima ujambishwe tuNasema hivi tusio na watoto hatutaki handicap Kwahiyo singo faza mpambane na hali zenu
Waoane wenyewe huko ili wawe wanapashana viporo huko!Sitokaa niolewe na singo faza![]()
Vipi tayari rafiki yako kashajua kama uzazi upo? Au bado anaendelea kutafuta!Hapo kutest kama ana uzazi, rafiki yangu aliniambia anataka kutest kama uzazi anao au la!, maana kashapigana za mchangani bila viatu hajashika mimba,
Kama ambavyo hamuoi singo maza, na mimi singo faza siwataki... Mpambane na mliowazalisha
Hapo kama Iringa, Njombe au Mafinga maana udongo kama wa huko 😂 😂Volume inatosha kabisa







kumbe huwa mnaficha???? Ni kosa kubwa sana tena sanaaaaaaaaNaanzaje kukwambia na mtt
Vipi tayari rafiki yako kashajua kama uzazi upo? Au bado anaendelea kutafuta!
Hilo kweli hawachelewi kubebishana tena ukute mzazi mwenzie hajaolewa hapo lazima ujambishwe tu







Kwa hyo jamaa yeyote sahivi atakae jichanganya peku kwakwe imekula kwake anakuwa baba bila kupenda?Hapo kutest kama ana uzazi, rafiki yangu aliniambia anataka kutest kama uzazi anao au la!, maana kashapigana za mchangani bila viatu hajashika mimba,
Mwenye uamuzi mimba itungwe au isitungwe ni mwanamke wanatutegeshea hawaHuwa nashindwaga kuelewa why mtu anazaa/zalisha na huku hajajipanga.
Kwa hyo jamaa yeyote sahivi atakae jichanganya peku kwakwe imekula kwake anakuwa baba bila kupenda?




Siyo jambo jema sana,wazazi wamepambana kukufikisha hatua fulani badala ya kuwapumzisha unawapa pia mzigo mwingine,tuwaonee huruma wazazi wetu,kibaya zaidi hata mia hutumiKuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizii vijana wa mjini kuzaa au kuzalisha alafu Watoto wanawapeleka kwa Bibi akawalelee, Ubaya haya hela za matumizi hawatumi watoto wanaishia kuzagaa mitaani na kuvizia chakula kwa watu akati Baba na mama zao wanapiga umalaya tu na kulewa mjini huku.
Kondomu zimejaa telee huwezi kumuhudumia mtoto ebu jitahidi usimlete dunia na kuanza kuwapa tabu bibi na babu wamekulea wewe kwa shida bado upeleke na wajukuu tena wawalelee?? Huku ni kujitafutia laana pia wazee wamechoka acha wapumzikw kama huwezi kuwa faraja kwao kwa kuwahudumia bhasi at least usiwape Mzigo wasiostahili kuubeba mwisho wakafa mapema kwa shida na mawazo.
Imeishaa hiyo TUBADILIKE.View attachment 1218140