Vijana tuache huu ujinga

Vijana tuache huu ujinga

Nakubaliana na wewe kabisa mkuu na sina tatizo na unachokisema.
Sasa ukishafanya maamuzi kwa kusikiliza presha za watu wa nje, jitahidi basi kuwajibikia maamuzi yako mkuu!!!
Watu watapiga kelele tu lakini hawatakusaidia kwa chochote! Mzigo wote unabaki kuwa kwako. Lakini ukilea wanao, nani atakusumbua kwa masimango?
ukweli ni kwamba wahusika wanapenda kuwajibika lakini hawapo tayari kwa namna moja au nyingine
 
Sasa huko ndio kutokuwajibika kwenyewe.
Kumbuka kwamba waliyoyafanya wengi walifanya kwa msukumo kutoka nje na sio msukumo kutoka ndani. Na mara nyingi mabadiliko ya kweli yanatakiwa kuletwa na tamaa iwakayo ndani mwa mtu si kutoka kwenye jamii inayomzunguka
 
Kumbuka kwamba waliyoyafanya wengi walifanya kwa msukumo kutoka nje na sio msukumo kutoka ndani. Na mara nyingi mabadiliko ya kweli yanatakiwa kuletwa na tamaa iwakayo ndani mwa mtu si kutoka kwenye jamii inayomzunguka

Mkubwa, unaelewa lakini maana ya kuwajibika?
Wameshikiwa viboko, kisu au mtutu wa bunduki ili kutekeleza hiyo misukumo kutoka nje?

Ok, tufanye umeshatekeleza tamaa kwa msukumo kutoka nje, tumia msukumo kutoka ndani sasa uwajibikie maamuzi yako.
 
Mkubwa, unaelewa lakini maana ya kuwajibika?
Wameshikiwa viboko, kisu au mtutu wa bunduki ili kutekeleza hiyo misukumo kutoka nje?

Ok, tufanye umeshatekeleza tamaa kwa msukumo kutoka nje, tumia msukumo kutoka ndani sasa uwajibikie maamuzi yako.
Msukumo huo unapeleka masingle mother kuongezeka..
 
Mkubwa, unaelewa lakini maana ya kuwajibika?
Wameshikiwa viboko, kisu au mtutu wa bunduki ili kutekeleza hiyo misukumo kutoka nje?
Ok, tufanye umeshatekeleza tamaa kwa msukumo kutoka nje, tumia msukumo kutoka ndani sasa uwajibikie maamuzi yako.
Ni rahisi kijana kujazwa upepo ili amjaze binti ujauzito.
Si rahisi kijana kujijaza upepo wa kuhudumia familia.
 
Zamani vijana walikua wanazaa ili wajenge familia..

siku hizi vijana wanazaa ili watest mbegu kama zina uwezo, vijana wa kike wanazaa ili watest matumbo ya uzazi.

wakishapata majibu ya test zao majukumu ya kulea wanahamishia kwa wengine..

ndo tumefikia hapo.
Hapo kutest kama ana uzazi, rafiki yangu aliniambia anataka kutest kama uzazi anao au la!, maana kashapigana za mchangani bila viatu hajashika mimba,
 
Kuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizii vijana wa mjini kuzaa au kuzalisha alafu Watoto wanawapeleka kwa Bibi akawalelee, Ubaya haya hela za matumizi hawatumi watoto wanaishia kuzagaa mitaani na kuvizia chakula kwa watu akati Baba na mama zao wanapiga umalaya tu na kulewa mjini huku.

Kondomu zimejaa telee huwezi kumuhudumia mtoto ebu jitahidi usimlete dunia na kuanza kuwapa tabu bibi na babu wamekulea wewe kwa shida bado upeleke na wajukuu tena wawalelee?? Huku ni kujitafutia laana pia wazee wamechoka acha wapumzikw kama huwezi kuwa faraja kwao kwa kuwahudumia bhasi at least usiwape Mzigo wasiostahili kuubeba mwisho wakafa mapema kwa shida na mawazo.

Imeishaa hiyo TUBADILIKE.View attachment 1218140
hii mbona toka enzi na enzi ipo mkuu
 
Ye anatekeleza ilani Tu, fyatuaaa
Ninapo ishi hapa mjini, kuna jirani yangu ambaye ni Bibi na babu mmoja..pia wanaishi na binti yao.huyo binti hajaolewa ila kazaa watoto watano hapo nyumbani kwao.Mazingira wanayo ishi ni magumu mnoo,nyumba ni ile ya kizamani mnoo.ina vyumba viwili,kula yao ni ya shida mnoo.huyo mtoto wao hafanyi kazi yoyote,yaan huyo bibi ndo muhangaikaji wa kuwalisha wajukuu.huyo dada ni kuzaa tu yaani.Inaniumiza mnooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom