Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
- Thread starter
- #21
Wanajijua na hawatacomment hapa watapita Kama wanaaga maiti
Sasa mbona ni kama kila mtu anawapiga mawe..? kwani hawa wanaozungumziwa hapa ni kina nani..?
Wanajijua na hawatacomment hapa watapita Kama wanaaga maiti
Sasa mbona ni kama kila mtu anawapiga mawe..? kwani hawa wanaozungumziwa hapa ni kina nani..?
Umejiunga juzi halafu unaleta ujuaji😡😡😡😡Nimegundua Hilo, wengi wao njaa kali sana ila Sasa Kwa kujitia wajuaji, unajua huwezi kufanikiwa Kwa kumchukia aliefanikiwa, vijana pigeni kaZi tafuteni pesa acheni makasiriko! Kuna vijana hapa WAO NDIO UTADHANI WAMEANZISHA JF wanajiona ndio wenye haki ya kupost chochote, vijana tokeni magetoni, tafuteni kazi mpige pesa, na kama mna shida ya michongo kujeni pm tuwape direction.
Haya njoon tena hapo kwenye comment
Amekaa mtaani hadi amesahau alichosomea sasa amekata tamaa ameona awachukie wale waliofanikiwa kupitia kada hiyo.Itakua ni mwalimu aliekosa ajira
Vijana Wana makasiriko sanaAmekaa mtaani hadi amesahau alichosomea sasa amekata tamaa ameona awachukie wale waliofanikiwa kupitia kada hiyo.
Namkumbusha kukubali mafanikio ya mwenzake ndiyo mwanzo wa mafanikio yake azingatie hilo.
NiniVawulensii imetoka twiraaa, sasa inahamia JF.
Wacha tusubiri tuone itakuajee,
Hakuna hata.Nini
Maisha yangu mimi wewe yanakuhusu nini ?? Mimi kutokuwa na ajira wewe unaumia nini. Kwanza suala la kushinda JF siku nzima ni maamuzi yangu uwezi kunipangia cha kufanya maana hata bando hujawahi kuninunulia so mind your business.Nimegundua Hilo, wengi wao njaa kali sana ila Sasa Kwa kujitia wajuaji, unajua huwezi kufanikiwa Kwa kumchukia aliefanikiwa, vijana pigeni kaZi tafuteni pesa acheni makasiriko! Kuna vijana hapa WAO NDIO UTADHANI WAMEANZISHA JF wanajiona ndio wenye haki ya kupost chochote, vijana tokeni magetoni, tafuteni kazi mpige pesa, na kama mna shida ya michongo kujeni pm tuwape direction.
Haya njoon tena hapo kwenye comment
Nimegundua Hilo, wengi wao njaa kali sana ila Sasa Kwa kujitia wajuaji, unajua huwezi kufanikiwa Kwa kumchukia aliefanikiwa, vijana pigeni kaZi tafuteni pesa acheni makasiriko! Kuna vijana hapa WAO NDIO UTADHANI WAMEANZISHA JF wanajiona ndio wenye haki ya kupost chochote, vijana tokeni magetoni, tafuteni kazi mpige pesa, na kama mna shida ya michongo kujeni pm tuwape direction.
Haya njoon tena hapo kwenye comment
Hahahah mmeona Sasa?? Nimerusha tuu jiwe mmoja huyu kashapiga yowe Mimi sijataja mtuMaisha yangu mimi wewe yanakuhusu nini ?? Mimi kutokuwa na ajira wewe unaumia nini. Kwanza suala la kushinda JF siku nzima ni maamuzi yangu uwezi kunipangia cha kufanya maana hata bando hujawahi kuninunulia so mind your business.
Washakuja mbonaMpaka sasa sijaona kijana aliyejitokeza... Wote wanacomment wakiwa wamevaa uhusika wa "uzee"
Yani ww una id ishirini unaandika unajijibu, unajijibu unaandika.Nimegundua Hilo, wengi wao njaa kali sana ila Sasa Kwa kujitia wajuaji, unajua huwezi kufanikiwa Kwa kumchukia aliefanikiwa, vijana pigeni kaZi tafuteni pesa acheni makasiriko! Kuna vijana hapa WAO NDIO UTADHANI WAMEANZISHA JF wanajiona ndio wenye haki ya kupost chochote, vijana tokeni magetoni, tafuteni kazi mpige pesa, na kama mna shida ya michongo kujeni pm tuwape direction.
Haya njoon tena hapo kwenye comment
Ip zipi sijakuelewaYani ww una id ishirini unaandika unajijibu, unajijibu unaandika.
Hapo chini chini hizo zote id zako.
Hawa madogo washukuru wameikuta Jf hii ,sasa kama hii wanaona wanayanyaswa ya Zamani wangesemaje ?adriz una kesi huku🤒