Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Tunakokwenda huenda Wanaume waliooa wakalazimishwa kuongeza wake.
Maana wanawake ambao hawaolewi ni hatari kwa usalama wa ndoa za watu.
Na ndiyo uzinzi unaongezeka!una dha
naona unaangalia kwa angle nyingine, ulishawahi jiuliza kwanini hawataki kuoa ?Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Tunakokwenda huenda Wanaume waliooa wakalazimishwa kuongeza wake.
Maana wanawake ambao hawaolewi ni hatari kwa usalama wa ndoa za watu.
Na ndiyo uzinzi unaongezeka!
Kwahyo mimi ni shetani mkuuUkiona Shetani amegeuka na kuanza kushawishi watu waingie mbinguni basi ujue hiyo mbingu haipo.
Dada una uhakika usije ukatuponza wenzio
Hapo kwenye mke mwema ndio kipengele.MITHALI 18:22
Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.
WAEFESO 5:31
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.
1 WAKORINTHO 7
Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
MARKO 10:7
Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.
MATHAYO 19;5
Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja
MWANZO 2:24
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.
MWANZO 2:18-25
BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Kabisa yan uache kula maisha ukimbilie majukumu we kijana ukipata hela kula maisha kwanza ndouoe.NDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI.
KATAA NDOA 🤒
Wanawake weng wa jf ni vibungo na singomazaMITHALI 18:22
Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.
WAEFESO 5:31
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.
1 WAKORINTHO 7
Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
MARKO 10:7
Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.
MATHAYO 19;5
Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja
MWANZO 2:24
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.
MWANZO 2:18-25
BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Wamelogwa 😁Imagine na baridi hiii mtu anajikunyata usiku, asubuhi anaamka yupo busy kukataa ndoa. Kuwekewa upaja usiku kutam jamani, au kugeuziwa mgongo ukutanishwe na nundu iliyoshiba, yaani nyie siwaelewi kabisa...
😂Ukiona Shetani amegeuka na kuanza kushawishi watu waingie mbinguni basi ujue hiyo mbingu haipo.
Wanashangaza sana!!Wamelogwa 😁
😆Acha wogaDada una uhakika usije ukatuponza wenzio
nikafe uko😄😆Acha woga
Na Kuna Mwehu namsikia ametoa na wimbo huku mtaani eti anasifia ubachelor😂Wanashangaza sana!!
Nimeusikia jana, ni mzuri ila haufai...anatuharibia vijana wetu, eti wasioe....waolewe au?Eti
Na Kuna Mwehu namsikia ametoa na wimbo huku mtaani eti anasifia ubachelor😂