Wazazi na ndugu zako bado wanaishi

Mr George Francis

Senior Member
Jun 27, 2022
186
212
Mwanaume unayetarajia kuoa au ambaye umeshaoa, pamoja na majukumu mengi uliyonayo, lakini unapaswa kukumbuka kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Neno la Mungu linasema,
MWANZO 2:24
"Kwa hiyo mwanamume ATAMWACHA baba yake na mama yake naye ATAAMBATANA na mkewe, nao watakuwa MWILI MMOJA."

MATHAYO 19:5
"Akasema, Kwa sababu hiyo, mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe; na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA?"

MARKO 10:7-8
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe;
na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA; hata wamekuwa si wawili tena, bali MWILI MMOJA."

WAEFESO 5:31
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA baba yake na mama yake, ATAAMBATANA na mkewe na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA."

Neno 'KUWAACHA' wazazi wako haina maana kwamba 'UWATELEKEZE' wazazi wako wala ndugu zako.

Mwanaume unapotimiza jukumu lako la kwanza kwa mke na watoto wako, usisahau pia kusaidia wazazi na ndugu zako.

Neno linasema,
"......, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili linakubalika mbele za Mungu."
1 TIMOTHEO 5:4

Upendo wako kwa wazazi na ndugu zako uendelee kudumu siku zote.

Neno linasema,
"Upendo wa ndugu na udumu."
WAEBRANIA 13:1

"Yeye ampendaye ndugu yake akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo."
1 PETRO 2:17

Usiwaache wazazi na ndugu zako wakiteseka kwa njaa, eti kwa kigezo kuwa shida zao hazikuhusu. Hapo utamkosea Mwenyezi Mungu.

Ndoa yako itajawa na baraka kama itakuwa ni kiunganishi kizuri cha undugu kati ya upande wa mume na upande wa mke.

Na nyote mkiishi kwa upendo, furaha na amani. Mtu awaye yote asiwe sababu ya utengano kati yenu.

Kama ilivyo kwa mwanaume, mke pia uyashike mafundisho haya. Majukumu ya familia yako, yasikufanye usahau kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Mungu awabariki sana.

#No_learnig_No_earning
So we have to Learn.

Prepared By
Mr George Francis
Contact: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com

IMG_20231023_191234_899.jpg
 
Mwanaume unayetarajia kuoa au ambaye umeshaoa, pamoja na majukumu mengi uliyonayo, lakini unapaswa kukumbuka kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Neno la Mungu linasema,
MWANZO 2:24
"Kwa hiyo mwanamume ATAMWACHA baba yake na mama yake naye ATAAMBATANA na mkewe, nao watakuwa MWILI MMOJA."

MATHAYO 19:5
"Akasema, Kwa sababu hiyo, mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe; na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA?"

MARKO 10:7-8
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe;
na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA; hata wamekuwa si wawili tena, bali MWILI MMOJA."

WAEFESO 5:31
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA baba yake na mama yake, ATAAMBATANA na mkewe na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA."

Neno 'KUWAACHA' wazazi wako haina maana kwamba 'UWATELEKEZE' wazazi wako wala ndugu zako.

Mwanaume unapotimiza jukumu lako la kwanza kwa mke na watoto wako, usisahau pia kusaidia wazazi na ndugu zako.

Neno linasema,
"......, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili linakubalika mbele za Mungu."
1 TIMOTHEO 5:4

Upendo wako kwa wazazi na ndugu zako uendelee kudumu siku zote.

Neno linasema,
"Upendo wa ndugu na udumu."
WAEBRANIA 13:1

"Yeye ampendaye ndugu yake akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo."
1 PETRO 2:17

Usiwaache wazazi na ndugu zako wakiteseka kwa njaa, eti kwa kigezo kuwa shida zao hazikuhusu. Hapo utamkosea Mwenyezi Mungu.

Ndoa yako itajawa na baraka kama itakuwa ni kiunganishi kizuri cha undugu kati ya upande wa mume na upande wa mke.

Na nyote mkiishi kwa upendo, furaha na amani. Mtu awaye yote asiwe sababu ya utengano kati yenu.

Kama ilivyo kwa mwanaume, mke pia uyashike mafundisho haya. Majukumu ya familia yako, yasikufanye usahau kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Mungu awabariki sana.

#No_learnig_No_earning
So we have to Learn.

Prepared By
Mr George Francis
Contact: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com

View attachment 2806160
Ujumbe mzuri shida inakuja pale ukianza kuonesha kuwa uko ready kuwasaidia ni mwanzo wa mtu kukaa na kudubiri weye ndiye umsaidie tu hakuna kujishughulisha
 
Mhhh! Ndio maana uchumi wa nchi za kijamaa ni mdogo sana. Mtu mmoja anatafuta kipato kwaajili ya watu zaidi ya 20.

Obligation ni kuwasaidia wasiojiweza(wagonjwa, wazazi wazee, walemavu) wengine wote sio obligation ni by the way/courtesy.

Tusaidiane lakini kila mtu apambane. Ukianza kuhubiri sana msaada jua kuna sehemu hutimizi wajibu wako au hukutimiza wajibu wako.
 
Mwanaume unayetarajia kuoa au ambaye umeshaoa, pamoja na majukumu mengi uliyonayo, lakini unapaswa kukumbuka kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Neno la Mungu linasema,
MWANZO 2:24
"Kwa hiyo mwanamume ATAMWACHA baba yake na mama yake naye ATAAMBATANA na mkewe, nao watakuwa MWILI MMOJA."

MATHAYO 19:5
"Akasema, Kwa sababu hiyo, mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe; na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA?"

MARKO 10:7-8
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA babaye na mamaye, ATAAMBATANA na mkewe;
na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA; hata wamekuwa si wawili tena, bali MWILI MMOJA."

WAEFESO 5:31
"Kwa sababu hiyo mtu ATAMWACHA baba yake na mama yake, ATAAMBATANA na mkewe na hao wawili watakuwa MWILI MMOJA."

Neno 'KUWAACHA' wazazi wako haina maana kwamba 'UWATELEKEZE' wazazi wako wala ndugu zako.

Mwanaume unapotimiza jukumu lako la kwanza kwa mke na watoto wako, usisahau pia kusaidia wazazi na ndugu zako.

Neno linasema,
"......, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili linakubalika mbele za Mungu."
1 TIMOTHEO 5:4

Upendo wako kwa wazazi na ndugu zako uendelee kudumu siku zote.

Neno linasema,
"Upendo wa ndugu na udumu."
WAEBRANIA 13:1

"Yeye ampendaye ndugu yake akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo."
1 PETRO 2:17

Usiwaache wazazi na ndugu zako wakiteseka kwa njaa, eti kwa kigezo kuwa shida zao hazikuhusu. Hapo utamkosea Mwenyezi Mungu.

Ndoa yako itajawa na baraka kama itakuwa ni kiunganishi kizuri cha undugu kati ya upande wa mume na upande wa mke.

Na nyote mkiishi kwa upendo, furaha na amani. Mtu awaye yote asiwe sababu ya utengano kati yenu.

Kama ilivyo kwa mwanaume, mke pia uyashike mafundisho haya. Majukumu ya familia yako, yasikufanye usahau kuwa wazazi na ndugu zako bado wanaishi.

Mungu awabariki sana.

#No_learnig_No_earning
So we have to Learn.

Prepared By
Mr George Francis
Contact: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com

View attachment 2806160
Ujinga mwingine wa Ki Afrika, nimefanya kazi na wazungu, Americans, British, nk, hawana hayo Mambo ya extended family, lakini mbona wameendelea?
We kamshahala chini ya milioni 2,unataka ukusanye ndugu na watoto wa ndugu usomeshe! We utaweka akiba ya kwako lini?
Ninaamini, ukiwa na ukwasi, tengeneza fulsa kwa ndugu na jamaa, amefsanya hivyo Hubert Kairuki, Bskheresa,
Angalizo ukishakuwa na ukwasi.
 
Ujinga mwingine wa Ki Afrika, nimefanya kazi na wazungu, Americans, British, nk, hawana hayo Mambo ya extended family, lakini mbona wameendelea?
We kamshahala chini ya milioni 2,unataka ukusanye ndugu na watoto wa ndugu usomeshe! We utaweka akiba ya kwako lini?
Ninaamini, ukiwa na ukwasi, tengeneza fulsa kwa ndugu na jamaa, amefsanya hivyo Hubert Kairuki, Bskheresa,
Angalizo ukishakuwa na ukwasi.
Hatuna maana kwamba uwachukue uishi nao Lakini, palipo na uhitaji usiwaache wateseke.

Kama hutaki kusaidia wazazi wako unataka nani aje awasaidie?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom