mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
Ijumaa Kareem!
Kwamba mmeamua kumwaga ugali au?
Naomba nisiongee mengi leo ila nashuhudia malalamiko mengi sana kutoka kwa wanawake. J Pili nikipiga jicho Kawe kwa Mwamposa naona mamia ya akina dada tena ni warembo wenye maumbo yao, wakitaka kuombewa wapate waume.
Vijana fungukeni, nini kipo nyuma ya pazia kwa nyie kukataa kabisa kuoa?
Hii kampeni ya 'kijana kataa ndoa' ilianza kama masihara humu JF, ila saa hizi mpaka mitaani vijana wenye mafanikio wengi wanaitumia.
Wanazalisha tu wanalea watoto.
Hii kampeni inazidi kusambaa kwa kasi ya ajabu with time.
Vilio kwa akina dada navyo ni vingi na si haba.
Hebu tusemezane sasa leo vijana.
Kwamba mmeamua kumwaga ugali au?
Naomba nisiongee mengi leo ila nashuhudia malalamiko mengi sana kutoka kwa wanawake. J Pili nikipiga jicho Kawe kwa Mwamposa naona mamia ya akina dada tena ni warembo wenye maumbo yao, wakitaka kuombewa wapate waume.
Vijana fungukeni, nini kipo nyuma ya pazia kwa nyie kukataa kabisa kuoa?
Hii kampeni ya 'kijana kataa ndoa' ilianza kama masihara humu JF, ila saa hizi mpaka mitaani vijana wenye mafanikio wengi wanaitumia.
Wanazalisha tu wanalea watoto.
Hii kampeni inazidi kusambaa kwa kasi ya ajabu with time.
Vilio kwa akina dada navyo ni vingi na si haba.
Hebu tusemezane sasa leo vijana.
