Matajiri wanao tafuta wachumba wanatafuta ID bandia ili wapate wachumba wa ukweli
Malengo yanatimizwa na pesaWanawake wamekuwa ovyo kama hauna pesa anakuambia eti huna malengo na mm
😂😂😂😂Mbona asubuhi sana mkuu huyo wa leo umemla kwa sh ngapi za kitanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona asubuhi sana mkuu huyo wa leo umemla kwa sh ngapi za kitanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Wewe....!Ndo ivo
JamanMalengo yanatimizwa na pesa
First priorityHata Wewe....!
😁😁ww una malengo na uchi basi.Wanawake wamekuwa ovyo kama hauna pesa anakuambia eti huna malengo na mm🤕🤕🤕
Sasa utatimiza na nn...Jaman
Ukiwa na maana ipi^Kwa umuhimu mkubwa ulio wazi kabisa, nashauri mods wafungulie mada ya mahusiano JF yake inayojitegemea^
Kudisco chuo ndio nini na mm nataka kujuaNashukuru Mke Wangu nilimuoa hukunsina mbele wala nyuma yaani tofauti yangu na kitumbua ni mafuta tu bandugu.
Kiukweli hata MIE Mke Wa kumuoa sikuwa namuonyeshea mambo mazuri yaani ni kumfanyia mauzauza ili nione anastahimili vipi.
Mkuu,mada ninzuri Sana,je hyo mipaka nikatika uashareti Tu au namambo mengi,pia,hujaelezea mbinu zipi tuzifanye ili kuweza kumuwekea mipaka, mwanamke,iwe mchumba au mke,or whateverChini ya Jua ,Pesa inaweza kuletea mwanamke yoyote unayemtaka, ila Haitakaa kukuletea mwanamke mwema.
Lkn pia Bado chin ya Jua, Umasikin utakuletea Mwanamke yoyote unayemtaka lkn hautakaa kukuletea Mwanamke mwema.