Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Sometimes Yes sometimes NO
KEYPOINT HELA ISIKOSEKANE HATA HUYO WIFE MATERIAL ANAHITAJI PESA
KEYPOINT HELA ISIKOSEKANE HATA HUYO WIFE MATERIAL ANAHITAJI PESA
Siku hizi usijisumbuwe na kutongoza
Wewe tafuta pesa tu watakutongoza wenyewe
Ushauri wa bure huu nimewapa
Wasikudanganye kuwa kuna wanawake wengine hawataki pesa ao walikuwa wa 0 mpaka wa 2004 lakini kuanzia 2005 mpaka sasa wote wanapenda pesa
Tuweke kwenye bango la mjini hii commentMkuu umenena
Kua na pesa haina maana utampata mtu unaempenda
Ni never never never!!!!!!!
Aise kuna wanadada wanajielewa sana
Ukiwa na pesa utapata haya makuruga kuruga tu yanauopaka mekapu sijui 24hrs
Ila kuna watu pesa ni something else kabisa kwao
Yaani haiwapi shida!
Ukiona umempata kwa pesa basi jua yeye ndio pesa!
Sio kweli,wangapi wameanza kulala chini lkn sasa hivi matajiri?Kutafuta mwanamke ukiwa mi maskini ni njia moja wapo ya kuupalilia umaskini.
Siwez kukataa ila huo ni mfumo wa kizamani , hauwezi kumhudumia mwanamke wa sasa , naukafanya mambo makubwa kama unaanzia 0 , labda ujiokotee wale wanawake ambao hata unashindwa kuwatambulisha kwa rafiki zako , hao kidgo unaweza jitafuta na kufanikiwa ukiwa nae, kijna anae enda kufanikiwa hata ukimwangalia mwanamke wake hawezi kukuvutia mkuu.Sio kweli,wangapi wameanza kulala chini lkn sasa hivi matajiri?