Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,342
Na huu pia ndo ukweli.Hamna kila kitu ni kujifariji kulingana na na Hali ya maisha uliyo nayo , Mwenyezi Mungu amebarki kila level inakuwa satisfied , Kama huna hela kuna type ya wanawake utawapata na ni wife material Kwa level hyo ya kutokuwa na hela, kama Una hela za Kati pia kuna wanawake level hyo na..
Unajua wanaume masikin hapa Dunian, ndo wanaamin kua wao wanamapenz ya Dhati..nakwamba wao ndio wakipendwa wanapendwa kwa dhati.
Ukweli nikua, Tajiri anaweza kupendwa kwa dhati au akapendwa kuchunwaa km.buzi.
Masikin pia anaweza kupendwa kwa dhati au akapendwa kuchunwa tu nando hapa Masikin anakua na madeni chungu nzima,kila mahali amekopa
Hawa wote wawili hata kama wameoa, bado wake zao wanaweza kuchapwa tuu... Wa tajiri akachapwa na masikin..wamasikin akachapwa na wa Tajiri.
Inshu ni ndogo sana... Wanawake wanaishi kwa kihisia na kuona .
Kuna tuvitu fulan huwa vinawawewusha sana wanawake ukiwa navyo uwe una pesa au hauna..
Utu tuvitu wasipoviona kwako hata kama unapesa au hauna, aisee watakuliza sana.