Jkt haiajiri hata siku moja. Kazi kuu ya jkt ni kutoa mafunzo mabalimbali Kama kilimo, ufugaji, etc na kufunza uzalendo , ukakamavu . HAIAJIRI.Habari wanajamvi.. ama baada ya kuwasalimu niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.
Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.
Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.
NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.