Vijana maelfu warejea nyumbani kutoka JKT 2019

Habari wanajamvi.. ama baada ya kuwasalimu niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.

Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.

Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.

NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.
Jkt haiajiri hata siku moja. Kazi kuu ya jkt ni kutoa mafunzo mabalimbali Kama kilimo, ufugaji, etc na kufunza uzalendo , ukakamavu . HAIAJIRI.
 
Nasikia hao wanaorudi ni wale waloingia na vyeti fake, au sifa fake.mkulu amewasanua Wote.wenye sifa tu ndio watabaki.
 
Nasikia hao wanaorudi ni wale waloingia na vyeti fake, au sifa fake.mkulu amewasanua Wote.wenye sifa tu ndio watabaki.
Sio kweli.. afu hii dhana ya vyeti feki inatoka wapi?? Vyeti vya elimu sasa hivi huwezi kufoji.. labda utumie cha mtu mwingine ukimaanisha chako. Ila ni ngumu sana kufoji cheti.
Wote wamerudi haijalishi una vyeti au la.. Wa darasa la saba wamerudi lkn pia hadi wenye masters wamerudi.
 
Habari wanajamvi.. ama baada ya kuwasalimu niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.

Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.

Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.

NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.
JKT siitakagi hata kusikia. Hukwo hakuna la maana unaweza kupoteza mda wako then ukirudi usiajiriwe
 
Huu ni uchonganishi dhidi ya serikali yetu.

Hayo mambo ni siri ya ofsin

Juzi hapa wameita wengine kujiunga jkt je hao 6000 ukijumlisha na wanaojiunga sasa si hatariiii
 
Waneshindwa kutengeneza yard za kufyatulia tofali na kuuza?

Wameshindwa kutengeneza mashamba?

Wameshindwa kutengeneza bustani kwenye mikoa yao?

Huko jeshini huwa wanafunzwa nini?
 
Dubai wanapenda Sana cheap labour huko ukienda unachexea mishahara ya USD 250-300 basi afu maisha yk ni ghali Sana.
Kwenye pesa nzuri ni Ulaya au Marekani. Mtu unayejitambua unaweza ukatoboa. Usione Trump anazuia wahamiaji haramu kule. Kule ukifanikiwa kupata nafasi ya kuishi kule unatoboa
 
Aisee hapo Dubai kuna nafasi nyingi sana ya kazi za ulinzi za kumwaga uwe na passport yako tu na visa salary 4000AED ×600 =2800000
Wadanganye hao hao wakudanganyika lakini tunaoifahamu Dubai ni akheri mtu ukachunge ng'ombe wa mmasai au msukuma angalao upate maziwa ya bure kwa kugombania na ndama. Ajira ya Uarabuni ni kaa la moto. Ukikaa miezi 6 hai wewe ni dume au weshakumaliza marinda yote hadi puani.
Nawaasa, vijana, msikubali waongo wanaowahadithia mema ya Uarabuni. Hakuna lolote kule ni laana tu
 
Habari wanajamvi.. ama baada ya kuwasalimu niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.

Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.

Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.

NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.
1000 ni wengi je jeshi la polisi, jeshi la magereza na uhamiaji bado hawajatangaza nafasi. Wakitangaza wengi wataajiriwa
 
Hakuna kitu kinauma kama kutoboa mkataba wa JKT bila ajira.

Unajua ukiwa JKT hata hawa polisi unawaona ni watoto yaan unajiona brigedia kamanda.

Kuna nyimbo za dharau kwa polisi hadi basi,kuna hii moja hapa " kazi ya jeshi ni ngumu aeeeeeee si kama ya polisi pushup kwenye godoro aeeeeeeee"

Sasa unarudi mtaani ukiwa huna tena kinga hata mgambo wa jiji anapita na ww ...aseee inauma kichizi,ukicheki miaka miwili umekuwa ukilima kama punda hahahahahahah unarudi nyumbani bila ramani asee wana hali ngumu sana .

Mm ni kuruti mtoro ninayetafufutwa kwa kukimbia mafunzo 824 KJ..

Kuruti wote 824KJ kunyweni maji mengi jeshi si la bibi zenu ...
 
Hakuna kitu kinauma kama kutoboa mkataba wa JKT bila ajira.

Unajua ukiwa JKT hata hawa polisi unawaona ni watoto yaan unajiona brigedia kamanda.

Kuna nyimbo za dharau kwa polisi hadi basi,kuna hii moja hapa " kazi ya jeshi ni ngumu aeeeeeee si kama ya polisi pushup kwenye godoro aeeeeeeee"

Sasa unarudi mtaani ukiwa huna tena kinga hata mgambo wa jiji anapita na ww ...aseee inauma kichizi,ukicheki miaka miwili umekuwa ukilima kama punda hahahahahahah unarudi nyumbani bila ramani asee wana hali ngumu sana .

Mm ni kuruti mtoro ninayetafufutwa kwa kukimbia mafunzo 824 KJ..

Kuruti wote 824KJ kunyweni maji mengi jeshi si la bibi zenu ...
Inaumiza sana. Heri yako uliyeliona hilo mapema.
 
Kama dharau zenyewe ni hizi, ni bora mmekosa ajira vibaka watarajiwa nyie(Raia).
Hakuna kitu kinauma kama kutoboa mkataba wa JKT bila ajira.

Unajua ukiwa JKT hata hawa polisi unawaona ni watoto yaan unajiona brigedia kamanda.

Kuna nyimbo za dharau kwa polisi hadi basi,kuna hii moja hapa " kazi ya jeshi ni ngumu aeeeeeee si kama ya polisi pushup kwenye godoro aeeeeeeee"

Sasa unarudi mtaani ukiwa huna tena kinga hata mgambo wa jiji anapita na ww ...aseee inauma kichizi,ukicheki miaka miwili umekuwa ukilima kama punda hahahahahahah unarudi nyumbani bila ramani asee wana hali ngumu sana .

Mm ni kuruti mtoro ninayetafufutwa kwa kukimbia mafunzo 824 KJ..

Kuruti wote 824KJ kunyweni maji mengi jeshi si la bibi zenu ...
 
Kuna rafiki yngu mmoja wa kike naye yupo MIONGONI mwa wanaorudi. Inaniuma sana
 
Back
Top Bottom