CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Habari wanajamvi.. ama baada ya kuwasalimu niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.
Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.
Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.
NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.
UPDATES...
Mara baada ya malalamiko makubwa kuhusu vijana hawa order imetoka kuwa tar 8/7/2019 siku ya J3 vijana wa OP KIKWETE na OP MAGUFULI wafike MGULANI kwa ajili ya USAILI WA JWTZ.
Haya ndio tuliyokuwa tunayapigania.
Welldone
Vijana karibu 6000 wanatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya kumaliza mkataba wao na JKT.
Nafasi za kazi zimejazwa na watu wachache katika intake hiyo ya OP Magufuli., Katika hali ya ukosefu wa ajira JWTZ imetoa ajira 1000 tu.
Mungu awape nguvu vijana wale waliojitolea kupata maarifa.
NB. JKT sasa hivi ni kama sehemu ya kupata cheap labour.
UPDATES...
Mara baada ya malalamiko makubwa kuhusu vijana hawa order imetoka kuwa tar 8/7/2019 siku ya J3 vijana wa OP KIKWETE na OP MAGUFULI wafike MGULANI kwa ajili ya USAILI WA JWTZ.
Haya ndio tuliyokuwa tunayapigania.
Welldone