Vijana kama hamna pesa msilazimishe mapenzi

Vijana kama hamna pesa msilazimishe mapenzi

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,389
Reaction score
7,750
Leo niko mkoani kwa ajili ya mapumziko kabla ya kuuanza mwaka, ingawa nishaona wazi kabisa mama yetu Samiah keshazidiwa kete na watoto wa mjini na madume ya Magufuli.

Tukirudi kwenye kichwa cha habari kama kawaida yangu sikutaka kulaza damu nikasema ngoja nijichanganye katika moja wapo ya viwanja fika pale weka kinywaji changu kizito na stoney tangawizi.

Muda si mrefu akaingia kijana wa kisasa barobaro na wanawake watatu nikawa najisemea moyoni kwamba “Vijana wa sasa hakika ni moto wa mbali pamoja na kula kuku wa kisasa na chips mayai bado wanaweza miliki wanawake wanne na akawamudu vyema kabisa”

Nilipokuwa nikitafakari moyoni ghafla ukatokea mzozo mdada mmoja akaagiza Jack Daniel na mwingine akaagiza Jameson jamaa akapaniki akawa anatoka anarudi bila vinywaji na simu muda wote iko masikioni.

Kwa kuwa nilisikia wale wadada wameagiza nini na fika nikajua kijana hawezi mudu gharama ya vinywaji hivyo nilichofanya nikamuita muhudumu nikamwambia awape Vinywaji walivyokuwa wakihitaji wale mabinti

Walivyoletewa mabinti walipigwa na butwaa mosi nikajua fika walikuwa wanamtikisa kijana wa kisasa, kwa pamoja wakahamia meza yangu.

Jamaa alivyorudi akakuta meza yake iko tupu wadada wamehamia meza yangu akapaniki akaanza nitolea lugha za matusi na kejeli, kosa alilofanya ni kutaka kunikaba nilimfua vilivyo. Nilimshikisha adabu akatolewa nje na security officer.

Hapa na mpango wa kupiga threesome kwa wadada hawa, na atakaye jilaisisha zaidi naweza ruka ukuta maana ni mabinti wa kanda pendwa ya watafutaji na ni wazuri hasa.

Wito, vijana tafuteni pesa mmiliki kila mwanamke unayemtamani, huna hela huna ulinzi usijisumbue kukanyaga maeneo ya starehe utakufa kabla ya muda wako.
 
Leo niko mkoani kwa ajili ya mapumziko kabla ya kuuanza mwaka, ingawa nishaona wazi kabisa mama yetu Samiah keshazidiwa kete na watoto wa mjini na madume ya Magufuli.

Tukirudi kwenye kichwa cha habari kama kawaida yangu sikutaka kulaza damu nikasema ngoja nijichanganye katika moja wapo ya viwanja fika pale weka kinywaji changu kizito na stoney tangawizi.

Muda si mrefu akaingia kijana wa kisasa barobaro na wanawake watatu nikawa najisemea moyoni kwamba “Vijana wa sasa hakika ni moto wa mbali pamoja na kula kuku wa kisasa na chips mayai bado wanaweza miliki wanawake wanne na akawamudu vyema kabisa”

Nilipokuwa nikitafakari moyoni ghafla ukatokea mzozo mdada mmoja akaagiza Jack Daniel na mwingine akaagiza Jameson jamaa akapaniki akawa anatoka anarudi bila vinywaji na simu muda wote iko masikioni.

Kwa kuwa nilisikia wale wadada wameagiza nini na fika nikajua kijana hawezi muda gharama ya vinywaji hivyo nilichofanya nikamuita muhudumu nikamwambia awape Vinywaji walivyokuwa wakihitaji wale mabinti

Walivyoletewa mabinti walipigwa na butwaa mosi nikajua fika walikuwa wanamtikisa kijana wa kisasa, kwa pamoja wakahamia meza yangu.

Jamaa alivyorudi akakuta meza yake iko tupu wadada wamehamia meza yangu akapaniki akaanza nitolea lugha za matusi na kejeli, kosa alilofanya ni kutaka kunikaba nilimfua vilivyo. Nilimshikisha adabu akatolewa nje na security officer.

Hapa na mpango wa kupiga threesome kwa wadada hawa, na atakaye jilaisisha zaidi naweza ruka ukuta maana ni mabinti wa kanda pendwa ya watafutaji na ni wazuri hasa.

Wito, vijana tafuteni pesa mmiliki kila mwanamke unayemtamani, huna hela huna ulinzi usijisumbue kukanyaga maeneo ya starehe utakufa kabla ya muda wako.
20211219_202239.jpg
 
Kuna ukweli kwenye uliyoyasema.

Vijana wengi hupenda kuji mwambafai kwamba wana pesa ilhali maisha yao ni ya kuunga unga tu..

Mi nimeshaandaa mpunga wangu Wa kuwavua watu Mali zao this January ili kuwaokolea Jahazi

Ila ni inferiority complex tu huchangia hizi tabia..
 
Pesa ni kwa starehe tu. Mapenzi ya kweli hasa kama utakutana nayo basi hayana masharti.
 
Leo niko mkoani kwa ajili ya mapumziko kabla ya kuuanza mwaka, ingawa nishaona wazi kabisa mama yetu Samiah keshazidiwa kete na watoto wa mjini na madume ya Magufuli.

Tukirudi kwenye kichwa cha habari kama kawaida yangu sikutaka kulaza damu nikasema ngoja nijichanganye katika moja wapo ya viwanja fika pale weka kinywaji changu kizito na stoney tangawizi.

Muda si mrefu akaingia kijana wa kisasa barobaro na wanawake watatu nikawa najisemea moyoni kwamba “Vijana wa sasa hakika ni moto wa mbali pamoja na kula kuku wa kisasa na chips mayai bado wanaweza miliki wanawake wanne na akawamudu vyema kabisa”

Nilipokuwa nikitafakari moyoni ghafla ukatokea mzozo mdada mmoja akaagiza Jack Daniel na mwingine akaagiza Jameson jamaa akapaniki akawa anatoka anarudi bila vinywaji na simu muda wote iko masikioni.

Kwa kuwa nilisikia wale wadada wameagiza nini na fika nikajua kijana hawezi muda gharama ya vinywaji hivyo nilichofanya nikamuita muhudumu nikamwambia awape Vinywaji walivyokuwa wakihitaji wale mabinti

Walivyoletewa mabinti walipigwa na butwaa mosi nikajua fika walikuwa wanamtikisa kijana wa kisasa, kwa pamoja wakahamia meza yangu.

Jamaa alivyorudi akakuta meza yake iko tupu wadada wamehamia meza yangu akapaniki akaanza nitolea lugha za matusi na kejeli, kosa alilofanya ni kutaka kunikaba nilimfua vilivyo. Nilimshikisha adabu akatolewa nje na security officer.

Hapa na mpango wa kupiga threesome kwa wadada hawa, na atakaye jilaisisha zaidi naweza ruka ukuta maana ni mabinti wa kanda pendwa ya watafutaji na ni wazuri hasa.

Wito, vijana tafuteni pesa mmiliki kila mwanamke unayemtamani, huna hela huna ulinzi usijisumbue kukanyaga maeneo ya starehe utakufa kabla ya muda wako.

 
Leo niko mkoani kwa ajili ya mapumziko kabla ya kuuanza mwaka, ingawa nishaona wazi kabisa mama yetu Samiah keshazidiwa kete na watoto wa mjini na madume ya Magufuli.

Tukirudi kwenye kichwa cha habari kama kawaida yangu sikutaka kulaza damu nikasema ngoja nijichanganye katika moja wapo ya viwanja fika pale weka kinywaji changu kizito na stoney tangawizi.

Muda si mrefu akaingia kijana wa kisasa barobaro na wanawake watatu nikawa najisemea moyoni kwamba “Vijana wa sasa hakika ni moto wa mbali pamoja na kula kuku wa kisasa na chips mayai bado wanaweza miliki wanawake wanne na akawamudu vyema kabisa”

Nilipokuwa nikitafakari moyoni ghafla ukatokea mzozo mdada mmoja akaagiza Jack Daniel na mwingine akaagiza Jameson jamaa akapaniki akawa anatoka anarudi bila vinywaji na simu muda wote iko masikioni.

Kwa kuwa nilisikia wale wadada wameagiza nini na fika nikajua kijana hawezi muda gharama ya vinywaji hivyo nilichofanya nikamuita muhudumu nikamwambia awape Vinywaji walivyokuwa wakihitaji wale mabinti

Walivyoletewa mabinti walipigwa na butwaa mosi nikajua fika walikuwa wanamtikisa kijana wa kisasa, kwa pamoja wakahamia meza yangu.

Jamaa alivyorudi akakuta meza yake iko tupu wadada wamehamia meza yangu akapaniki akaanza nitolea lugha za matusi na kejeli, kosa alilofanya ni kutaka kunikaba nilimfua vilivyo. Nilimshikisha adabu akatolewa nje na security officer.

Hapa na mpango wa kupiga threesome kwa wadada hawa, na atakaye jilaisisha zaidi naweza ruka ukuta maana ni mabinti wa kanda pendwa ya watafutaji na ni wazuri hasa.

Wito, vijana tafuteni pesa mmiliki kila mwanamke unayemtamani, huna hela huna ulinzi usijisumbue kukanyaga maeneo ya starehe utakufa kabla ya muda wako.
Kupigania mademu ni ufala.
 
Back
Top Bottom