computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 503
- 541
- Thread starter
- #101
this link isnt mine
this link isnt mine
Mbona izo program ulizotaja ni chache ukilinganisha na idadi ya watu?programming maelezo kidogo
ni kwamba jamiiforum, mpesa, tigopesa,airtel money,maximalipo,youtube,facebook,whatsapp,google vilitengenezwa na wataalamu wa programming
offcourse ndo mabilionare nchini kwetu kama sio duniani
so huo ujuzi watu hawazaliwi nao bali hujifunza, sio lazima uende chup unaweza jifundisha mwenyewe ukiwa nyumbani
na kumbuka mimi hela yangu ya kwanza niliipata ndani ya miezi mitatu ilikuwa shilingi laki tatu na nusu .......hiyo ndo ilinitia moyo na kuendelea kuchimba
unaweza ongezea na zako piaMbona izo program ulizotaja ni chache ukilinganisha na idadi ya watu?
We ume develop program gani?
jitaidi ata ukipata saa moja tu kwa siku itakusaidianapenda programming but muda ndo shida.....
tafuta app inaitwa sololearn itakusaidi kwa kuanziaUshauri mzuri sana mkuu.
Big up.
Mkuu ungeweka na summary kidogo mtu aanzie wapi ili asiangaike sana kwenye kutafuta hizo tutorials.
I mean main concepts ambazo akianza nazo huku pengine inabidi aendelee.
Ila ulivyosema programming kwa pamoja mtu akiwa mgeni sidhani kama atakuelewa aanzie wapi kama hao wanaotaka kujifunza themself.
sololearn app itawasaidiaHii kitu huwa napenda kujua lakin sijui pa kuanzi
Naomba uanzishe group la whtsp itakua vyemaa mkuu
ww ndo ulikuwa mzembe cz kuwa na computer na internet inatosha sana kwa ww kujifunza na kupratice isitoshe mwanga ulikuwa naoMi nina vyeti vizuri sana vya I.T ila walimu walikuwa lipua kwenye practical. Nataka kuwa mtamu katika either graphics, networks, web development and programing ile web based!
tafuta app ya sololearn itakusaidia sanKuna ombi hapa limetolewa lakini hakuna majibu. Nivema likajibiwa ili tujue kama inawezekana au haiwezekani kuanzishiwa group la WhatsApp ili sisi Wenye nia na uhitaji tupate mahala pa kupewa maelekezo
Sent using Jamii Forums mobile app
mh! kwel kufa kufaanagroup la telegram liko tayari fungua hii link ya telegram afrocode
send me you number i will join you
kiingilio ni 10000 tshs
utapata premium contents and awesome tricks,coached,mentored for the whole year
content utakaopata ni
full stack software development
entrepreneurship
inspiration contents
namna ya kulipia
lipa elfu kumi kwenda 065313361
hakikisha jina aziz yusuph linaonekana
sms the confirmation message to 0653313361
make you use your same number to complete the transaction
you will be joined to the group
namna ya kupata telegram
for desktop device https://telegram.org/dl/desktop/win
for android device Telegram – Програми Android у Google Play
for windows phone Acheter Telegram Messenger - Microsoft Store France
for iphone/ipad Telegram Messenger on the App Store
you welcome
Kiongozi fungua group what's upprogramming maelezo kidogo
ni kwamba jamiiforum, mpesa, tigopesa,airtel money,maximalipo,youtube,facebook,whatsapp,google vilitengenezwa na wataalamu wa programming
offcourse ndo mabilionare nchini kwetu kama sio duniani
so huo ujuzi watu hawazaliwi nao bali hujifunza, sio lazima uende chup unaweza jifundisha mwenyewe ukiwa nyumbani
na kumbuka mimi hela yangu ya kwanza niliipata ndani ya miezi mitatu ilikuwa shilingi laki tatu na nusu .......hiyo ndo ilinitia moyo na kuendelea kuchimba
telegram ndo nzuri kwani inasupport platform zote unaweza ipata hapaKiongozi fungua group what's up
SIJUI KESHO.
unaweza jifunza language (php,python,java) yoyote online lakini displine inaitajika kuwa mvumilivu na kutokata tamaa, cz sio rahisi .Duh! Ujifunzie tuu mtandao bila kwenda shule? Labda Html, lakini kwa Php,Javascript,C++,visual Basic.. tuache utani mimi nmesoma haya mambo ni magumu balaa yanahotaj muda wa kufundshwa pia kufanya kigroup zaidi
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
hongera mzeeprograming ni tamu asikwambie mtu
View attachment 574291